Kama Watanzania hawaijui katiba, basi hakuna haja ya kuwa na Serikali, hakuna haja ya kuwa na Bunge wala hakuna haja ya kuwa na Mahakama. Turudi kwenye utawala wa jadi ambao haukuwa na katiba...
Nisingependa niandike mambo mengi,
Watanzania mnaoishi nchi hii kwa sasa hata wale mliotangulia mbele za Haki kama mnaweza soma andiko hili jitokezeni mseme ni nani anaweza jitokeza akapambana...
Viongozi wa CCM wamekuwa wakitu elezea kuwa ili katiba iwe na manufaa kwetu inabidi wananchi tuelimishwe hiyo katiba, hilo ni jambo jema.
Elimu hiyo yenye viwango vya chuo itatolewa na viongozi...
Akifungua mkutano maalumu wa Baraza la Vyama vya Siasa leo hii trh 11/9/2023, Rais Dkt Samia amesema kuwa Katiba mpya ni Mali ya Watanzania wote, wenye vyama na wasio na vyama, wenye dini na wasio...
Inashangaza na kuchukiza kusikia Eti Wananchi wa Nchi hii Hawaijui KATIBA ya NCHI yao.
Wenye AKILI KUBWA TULISEMA Mapema kuwa CCM haitaki WATANZANIA wapate KATIBA MPYA .Dalili za KUKATAA zilianza...
Mimi sikubaliani na wanasiasa wanaotaka kutuyumbisha kwa kutaka kutengeneza katiba mpya huu ni usanii, upuuzi na ufujaji wa mapato.
Tujikite kwenye katiba iliyopo tuboreshe maisha ya Watanzania...
Huo ndio ukweli. survival ya Ccm inategemea katiba mbovu waliojifungia wenyewe wakaiandika. Leo wamekiri wenyewe kupitia mwenyekiti wao kuwa watu hatuijui katika ya sasa (japo twaijua).
CCM...
Siyo rahisi Watanzania kusubiri kuelemishwa kuhusu katiba. Wengi wetu tunajijua.....yaani tuache Ajira ya kubeti kweli. Kama ni kusubiri Kila mmoja kuelewa katiba basi ccm watatawala milele.
Basi...
UKAWA walisusia Bunge la Katiba 2014 wakiwa wameshatia mfukoni kodi za Walalahoi wa nchi
Swali ni: Kama Katiba Mpya haiwezekani hadi Wananchi wote waelimishwe ilikuwaje UKAWA na ile Tume ya...
Raisi Samia sasa ameanza kuwa myeyushaji na mpotoshaji na hili ni la kusikitisha sana. Watanzania wamekuwa na hii katiba zaidi ya miaka 30 lakini ni zaidi ya miaka 10 sasa tunaongelea katiba mpya...
Nitoe pole kwa familia ya mkuu wa ICT wa Tume ya Uchaguzi ya Kenya kwa msiba wa kusikitisha na ulioacha majonzi.
Kabla ya kuwa na katiba mpya wapinzani na pengine wengi wa wananchi wa Kenya...
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo zinachapishwa kwenye gazeti la Nipashe kila siku za Jumapili.
Leo naendelea na...
Akizungumza kupitia mjadala kwenye mtandao wa kijamii, Tundu Lissu amesema CCM wamekataa maridhiano, kwasababu CHADEMA ilipeleka mapendekezo mazuri juu ya kila kitu kinachohitajika kufanyika ili...
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama, ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa...
Habari wanajamii
Kwa mujibu wa katiba yetu inayotumika hadi sasa ukomo wa kugombea nafasi ya urais ni miaka 10 kwa kila kiongozi ikiwa ni awamu mbili yaani uchaguzi wa raisi kila baada ya miaka...
Wanabodi,
Kama kawa, kila nipatapo fursa
Kufuatia tishio la matamshi yenye viashiria vya uhaini dhidi ya serikali ya JMT kwa baadhi ya watu, na watu hao kushikiliwa na vyombo vya dola...
Mpango wa Serikali kutumia miaka mitatu kutoa elimu ya Katiba kwa wananchi kabla ya kuendelea na mchakato umepata upinzani mpya baada ya mawaziri wakuu watatu wastaafu kuhoji sababu za uelimishaji...
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema akimaliza mkoa wa Mara kituo kinachofuata ni Kanda ya Nyasa na wataanzia Mbeya kwa Wakili Msomi Mwabukusi kisha wataendelea Songwe kwa mh Mdude, Rukwa...
Tofauti ya Chadema na vyama vingine vya kisiasa ni hii , Yaani huku Chadema mtu yeyote mwanachama akipewa kibali na chama chake anaweza kuitisha Mkutano wa hadhara na akajaza Umati.
Kwa mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.