JESHI la Polisi kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka wa Serikali (DPP), limetaifisha mali zenye thamani ya Sh bilioni 11 zilizopatikana...
Wapinzani wamegomea kuingia bungeni kwa na kujadili hotuba ya rais sababu hawana cha kujadili sababu siku ya hotuba hawakuwepo hivyo hawana cha kujadili.
Tuwaombe wabunge wa upinzani tulieni...
Kama mwananchi wa kawaida sina budi kumpa hongera Mh.Mafuli raisi namba moja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar aka TANZANIA.
kwa namna alivyoanza tu na kuwamsha wafanyakazi wazembe...
Hili swali linapasua sana kichwa changu gt nisaidieni. Hawa CCM wasasemaga wanajiamini sana na kwao ushindi ni lazima,, sasa kwanini hawaruhusu matokeo yatangazwe na mshindi apatikane?
Mbunge wa Nzega mheshmiwa husen Bashe amekiri kua Magufuli ndiye rais tuliemhitaji kuiongoza nchi yetu kwani ni mtu anaesimamia anachokiamini bila kusita wala kumuonea haya mtu yeyote hivyo...
Wana JF,
Baraza la Mitihani Tanzania mwaka uliopita wa 2015 liliendesha mitihani ya darasa la nne kama ilivyo ada.Lakini mwaka huo wa 2015 ilifanya mabadiliko kidogo katika usahihishaji kwa...
Wadau,
Naangalia star tv muda huu kipindi cha tuongee asubuhi,mada kuu ni "BUNGE LA 11" pamoja na washiriki wengine mtangazaji amesema Mh.ZZK pamoja na mbunge wa sikonge nao watashiriki live...
Wananchi wa Zanzibar ambao wamekuwa wakipatikana na mambo ya maajabu kila unapokaribia uchaguzi,wakati wa uchaguzi na baada ya Uchaguzi.
Suali kwa na utumwa kwa Wabunge wa Zanzibar ambao...
Naona hoja ya kurusha matangazo ya bunge TBC live nape ameangalia mambo mawili
1. Kupunguza gharama alizozitaja za bilionl 4 kwa mwaka ili zisaidie masikini.
2. Kuwapa watumishi wa umma kuudumia...
Kuna habari kuwa sanamu maarufu jijini Dar itahamishwa na kupelekwa mwenge vinyago na hivyo kukuza utalii katika soko maarufu la vinyago la Mwenge,habari hiyo inadai kuwa sanamu hiyo kuwa Posta...
CLEAR understanding of the fact that under the two-government structure of the Union between former Tanganyika (now Tanzania Mainland), and Zanzibar, and of its Constitutional implications on the...
RAIS John Magufuli pamoja na mawaziri wake, wamehimizwa kutovunjika moyo kwa kauli za kubeza kazi wanazofanya, badala yake wahakikishe wanaendelea na kasi yao kudhihirisha wanachofanya si moto wa...
Katika hali ya kusikitisha san,ITV wanaonesha habari kuwa sio tu wabunge wa upinzani walifukuzwa bungeni bali hata waandishi nao walisomeshwa namba kwa kutolewa nje ya bunge ili wasitoe habari ya...
Ninaziona dalili kali sana za Mungu kukurudishia jimbo lako , unahitaji uvumilivu kidogo sana .
Uzuri wake ni kwamba wananchi wa Mtama ( ambako ni kwenu ) bado wanakuhitaji kuliko unavyodhani ...
Hili ni andiko la Hussein Bashe:
Bashe:
Membe Amuache Ndg Magufuli Afanye kazi
Membe amekuwa Waziri for ten yrs ametimiza wajibu wake amuache Ndg Magufuli atimize wajibu wake. Aliomba Urais...
Ni aibu kuonataifa la kidemokrasia kama Tanzania kuanza Kuhujumu watanzania kupata habari za wale waliowatuma kuwawakilisha. Matangazo ya bunge ni kioo cha kutuonesha kama kweli wanatimiza wajibu...
Nashindwa kuelewa ni kweli Mh.Rais kakubaliana na hii dhana ya kuongerea nyuma ya pazia au ni mbinu ya kumgombanisha na wananchi ili ashindwe kutumbua majipu?
Habari wanabodi,
Kuna taarifa kuwa, ili kuonesha kuchukizwa na Ufisadi/Rushwa. Wapinzani wamekubaliana kutoka nje kwenye vikao vyote vya Bunge vitakavyoongozwa na Chenge.
Hii imefikiwa kwenye...
Wakulima wetu wanatumia nguvu nyingi na masaa mengi kazini na kuishia kuvuna mazao kidogo na kupata bei ndogo wanapoyauza, Jitihada nyingi zimefanyika tangu uhuru kuhusu swala hili. Ila bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.