Habari za siku Mingi..? Wadau wa Jf...Siku nyingi sijaingia toka..Uchaguzi...Anyway tuyaache hayo..Tufanye kazi...
Wimbo wa Sozanje wa Mrisho Mpoto..Umebeba Ujumbe mzito ambao uko kwenye...
Inajulikana kuwa wapo watu wengi waliowahi kuwa mawaziri serikalini kwa miaka mingi lakini lakini leo hakuna kinachoonekana cha kuwakumbuka. Wapo wachache waliofanya mambo watakayokumbukwa daima...
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Dkt. Nkosazana Dlamini Zuma mara tu baada ya kuteuliwa kuwa mwakilishi wa Afrika katika mchakato wa usuluhishi wa...
Barabara imefungwa (Indira Gandhi kutoka AKs hadi Morogoro Rd) kutokana na kuendelea na uvunjwaji wa Jengo la Ghorofa 16
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi alitoa siku...
NI wiki nyingine muhimu katika ulingo wa siasa za hapa nchini. Mkutano wa pili wa Bunge la 11 unatarajiwa kuanza keshokutwa. Tunasubiri kushuhudia kasi ya Bunge hili ndani ya Serikali ya Awamu ya...
habari wanajamvi,
siku nyingi nimesikia kuwa kuna baadhi ya nchi zimewekewa vikwazo eidha vya kiuchumi au vya kisiasa,mfano iran,north korea,cuba nk,ninachojiuliza ni kuwa hivi vikwazo vina athari...
Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Watoto na Wazee Mhe.Hamis Adrea Kigwangalla akijibu maswali kutoka kwa wabunge mbalimbali katika kipindi cha maswali na majibu katika kikao cha Tano...
Kama wewe ni mteja wa Vodacom siyo siri kwamba ukinunua kifurushi cha 'Cheka' unapata dakika za maongezi, mb za internet na idadi ya sms, say for 7 days. Kwa sababu ya ufinyu wa mb za internet...
Kuna Udanganyifu uaofanywa wa Kuandika Upya Historia. Mara nyingi wanaofanya Hivyo Ni wahalifu wanaotaka si tu kuwadanganya Jamii ya watu Waliopo kuhusiana na Maswala fulani ya Kijamii, Bali...
Kuna siri gani iliyojificha hapa?
Pengine leo Tanzania bara ingekuwa inarudia uchaguzi baada ya kundi la ma-IT kutoka ndani na kushirikiana na watu kutoka nje kujaribu kuchakata matokeo.
kwa...
Mbunge wa Kigoma, Zitto Kabwe (ACT Wazalendo) ameitaka serikali kumwagiza Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) ili kubaini wizi wa Sh. 608 trilioni zilizokopwa kupitia Benki ya Stanbic...
Kwenye kipindi mashuhuri cha Je, Tutafika? kinachorushwa na Chanel 10 , jana usiku kiliutanabahisha umma kuwa tatizo la Zanzibar hasa ni la kibaguzi linatokana na muundo wa chama cha ASP...
JAJI Mkuu wa Tanzania Othuman Chande ametoa siku saba kwa mahakimu 508;watoe maelezo ni kwanini wasifunguliwe mashtaka ya nidhamu na kuwajibishwa, baada ya kufanya kazi chini ya kiwango.
Jaji...
Kwa idadi ya wabunge wa upinzani bungeni sio bisara spika kuwa na maamuzi yote yeye mwenyewe
Pili kwa idadi ya kura wapinzani walizozipata kwenye uchaguzi 2015 pia sio busara kutokuwa
shirikisha...
Wapo wabunge sichoki kuwasikia wakichangia bungeni.Mfano ni SUGU leo kasema kama uwaziri mkuu ingekuwa unapatika kwa kura za wananchi,Yeye alistahili kuwa waziri mkuu maana ndio mbunge alipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.