Najaribu kuota, nionavyo siku takribani 110 za JPM ndani ya Ikulu; ametumbua vipele tu, majipu hata kuyapapasa hajaweza. Naona kama vile vidole na mikono yake inapitishwa mbali na majipu yalipo...
Kwa ninavyomjua jpm na madudu aliyoyakuta BOT huwa anasema haya anaondoka na kwenda ikulu kurusha kombora.N
aamini kuna masaa machache zile tower zilizojengwa kwa pesa ndefu zitatikisika hâta hao...
Kufuatia wanachama na wapenzi wa Chadema na Ukawa nchini kuwa na shauku ya kujua nani atavaa viatu vya katibu mkuu wa Chadema taifa. Wanachama wa chama hicho mkoani Tanga wameamua kufunga safari...
Basi sina shaka kura halisi za mtanzania zitaipa upinzani ushindi mkubwa tatizo ni tume kujaa uccm kuanzia mwenyekiti hadi kule chini ni ccm
Mwisho niseme tu tunaitaji tume huru ya uchaguzi hili...
Rais John P. J. Magufuli amefuta hati ya mashamba 13 ya wawekezaji wilayani Monduli ambayo yalikaa kwa muda mrefu bila kuendelezwa.
Uamuzi wa Rais,wenye baraka za kisheria,umetangazwa hukohuko...
Wengi tunalia leo kwa Biashara zetu kuguswa,Wengi tumeguswa kwa namna moja au nyingine {Kodi,bomoa bomoa,utumbuaji,},Wengi Tunajuta kwa namna Moja au Nyingine...
Wadau mnaweza kuniamini au kutoniamini au kunipuuza!
Nakubali yote; Ila Maalim Seif atakuwa Rais wa Zanzibar siku sio nyingi!
Nitataja sababu kwa ufupi sana na sitatoa maelezo hata baadae!
*...
NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashashu Kijaji, amesema kasi ya serikali yake katika ukusanyaji wa kodi inaweza kufanikisha kukusanya hada Shs. 22 trilioni, ambazo ni sawa na bajeti yam waka...
Kuna msema wa kiswahili usemao, ukitaka kukata kuumaliza mti basi ng'oa mizizi yake maana, ukikata matawi tu, mvua ikinyesha huchipua na mti ukawa mbichi kuliko hapo awali.
kwa akili ya...
Huko Nssf ndiko ajira ZINA Mashaka zaidi ya BOT,Nakushauri Waziri nenda ufanye ka rais alivyofanya BOT,Shirika litakufa soon maana halina tija kwa sasa na staff ni wengi sana na wengi wao hawana...
Hivi rais anapokuwa na taarifa ya uhalifu halafu anasamehe wahusika
Akidai kuwa wajirekebishe wakati
huo huo anajinasibu kutumbua
Majipu ya wahilifu wengine hii
tuite ni double standard au woga...
Nimeambatanisha picha tatu,picha mbili zinamuonesha Dr Shein akiwa Serena Hotel kumjulia hali Jongwe Maalim Seif,wale wazee wa "body language" wanaweza kuona "uso" wa Dr Shein na ule wa Maalim...
Akitolea Maelezo ya awali ya muelekeo wa bajeti 2015/16 kwa kamati za bunge waziri SaadaMkuya amesema hii no bajeti ya wafanyakazi na Huduma za kijamii. kunaongezeko la asilimia 15.
Hongera JK...
Karibuni tujadili ahadi hii walioitoa wanachedema kwa Lowassa ya kwamba hata iwe vp hawatamuacha! but miezi michache tu tangu shughuli ya uchaguzi mkuu ziishe mzee amesahaulika kabisa, hawamtaji...
Mimi najua Tabia za Marekani, hawa watu wanamasilahi yao kila nchi kila mkoa na wilaya. Mimi nadhani utumbuaji huu wa Majipu umewagusa Pakubwa sana.
Natamani kujua mipango yao kwa sasa!
Juzi kati...
Japo sijafanya utafiti wa kina, ila inaonekana kuna uhusiano chanya (positive strong correlation) kati ya kuishi maisha marefu, buheri wa afya na uana siasa.
Embu tuangalie baadhi ya mifano...
Kuna watu nlishakataa kuwaita waheshimiwa maana sioni wanachofanya hasa cha kustahili heshima yangu. Kesho nina appointment ya kuongea na waziri flan. Lakini huyu ni mmoja ya watu wa hovyo kabisa...
ANSBERT Ngurumo, Mhariri na mchambuzi wa habari aliyekerwa na Kiingereza cha Rais John Magufuli wiki iliyopita, amempongeza kiongozi huyo kwa usikivu, hasa kwa kutumia Kiswahili jana Jumatano...
Lugha ndio urithi wa kwanza kabisa wa binadamu na taifa lake, mtz anayedharau lugha ya kiswahili huyo ni mhaini.
Lugha sio maarifa wala usomi, bali ni nyenzo ya kuyatoa /kueleza Maarifa au jumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.