Concentrate na eye contact, pamoja na mikono
WEDNESDAY, MARCH 09, 2016
Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein akiambatana na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Ikulu na Utawalabora Mheshimiwa Dkt...
Nilikua nimekaa jana maeneo ya Sinza, hakika hali si shwari kabisa, Ukata, Ukata, Ukata, Pombe imechachuka na wanalazimishwa kuinywa hivyo hivyo. Hakuna Madili tena, hakuna posho bali wana poshoka...
The term political entrepreneur first surfaced with Max Weber in his essay on Politics as a Vocation. He used it to refer to people who live off politics in a systematic way.
Max Weber alikuwa...
JPM agusa jipu BoT
SHARE THIS
TAGS
* Azuia hundi bil. 900/- zilizokuwa katika hatua ya Mwisho kuchotwa
* Fedha hizo ni karibu ya mukusanyo ya kodi ya mwezi mzima ya TRA
Na Veronica...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
TAARIFA KAWA VYOMBO VYA HABARI
Kumekuwa na taarifa za upotoshaji zinasombazwa kwenye mitandao ya...
Hii ni makala ya Saed Kubenea
Kupitia MwanaHalisiOnline.
===========================
==========================
KATI ya mambo mawili yaliyofanywa na Rais John Magufuli wiki...
Wakuu, taarifa nilizozipata zinasema Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea leo atapandishwa kizimbani katika mahakama ya Kisutu kuunganishwa katika kesi inayomkabili Mbunge wa Kawe Halima Mdee na Mbunge...
watoto 34 wamefanyiwa upasuaji katika hospital ya moyo ya Jakaya Kikwete. Kinachonishangaza hawa akina Mengi na Lions club mbona hawapeleki watoto kutibiwa hapo? au kule india kulikuwa na siri...
Well,ni jambo jema mwenzako akiwa mgonjwa utamjulia hali na kumfariji. Huo ni ubinadamu
Lakini Ubinadamu huo kama ni wa dhati basi unapaswa uuonyeshe kila mara hata kama maslahi yako yapo...
Jana kwa Mara nyingine tena matumaini ya Watanzania Wakandarasi, waalimu, wakulima na Wazabuni waliokuwa wanaidai serikali kwa muda mrefu na kudhani muda wa kulipwa umefika yalipotea tena.
Sababu...
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Viongozi wakuu wa Nchi za Afrika ya Mashariki.
Kiingereza kibovu cha Rais Magufuli chaibua jipu la miaka 55
KATI ya mambo mawili yaliyofanywa na Rais...
CHADEMA YABWAGWA KESI YA UCHAGUZI JIMBO LA MLIMBA
Patamu hapa labda niseme hivi ili tuekewane vema "CHADEMA WABWAGWA NA Chama Cha Mapinduzi KATIKA MAPINGAMIZI WALOWEKA KTK KESI YA JIMBO LA...
Serikali ya Marekani imeamua kutaifisha mali za mfanyabiashara wa dawa zilizopigwa marufuku za kulevya kutoka Tanzania, Ali Khatib Haji Hassan, maarufu kwa jina la “Shikuba” na mtandao wake na...
Ukitizama hii video unaona jinsi wazanzibari walivyo na hamu ya kutaka Magufuli akatumbue majipu Zanzibar.
Tatizo ni katiba ya muungano na ile ya Zanzibar haimuruhusu kuingilia kutumbua majipu...
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe amewasili jijini Mwanza leo.
Kiongozi huyo mkuu wa upinzani nchini amewasili jijini Mwanza mchana huu akiwa na siri nzito moyoni kuhusu uteuzi wa nafasi...
WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetangaza kuiunga mkono Polisi nchini katika operesheni ya kukamata wateja wa makahaba kuhakikisha biashara hiyo inakoma nchini...
Leo sikutaji. Nakuhifadhi. Lakini, una cheo kikubwa kwenye moja ya Jumuiya za kichama (CCM). Mwanao mmoja ameula kwa kuteuliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum. Wewe ni Mjumbe wa CC ya CCM. Ulikuwa...
Viongozi wa ngazi ya juu wa CHADEMA wameanza kuwasili jijini Mwanza ikiwa ni siku moja kabla ya kufanyika vikao vya juu vya chama hicho.
Leo, wajumbe wa Kamati Kuu wakiongozwa na Mwenyekiti...
SERIKALI za Tanzania, Zambia na Malawi zimefungua ukurasa mpya kwa kuanzisha ushirikiano katika kupambana na vitendo vya ujangili dhidi ya wanyamapori, FikraPevu linaripoti.
Hatua hiyo imekuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.