Jana rais Magufuli alitua Bank of Tanzania (BoT) akiwa na iliyojulikana kama list ya wafanyakazi wote wa pale wakiwemo wafanyakazi "hewa"
Nitafafanua kidogo hili linaloitwa wafanyakazi hewa ila...
Msaidie Rais wako atawale.
Wengi waweanza kuhoji Mh. huyu aliahidi hiki na kile katika kampeni mbona bado hajatekeleza?
Kwenye vyanzo vya mapato Bandalini,kodi za wafanyabiashara wakubwa na...
Nazungumzia suala la kuongoza nchi kwa vitisho na hofu nyingi bila kutengeneza mfumo wa kukomesha uchafu huo. Yeye mwenyewe ni shahidi kwa aliyoyakuta BoT jana.
Kinachotakiwa ni badiliko la...
MFUMO WA PAMOJA WA FORODHA{SINGLE CUSTOMS TERRITORY} UNASABABISHA MADHARA MAKUBWA HASA YA KIMAPATO KWA BANDARI ZETU HIVYO KUDIDIMIZA JITIHADA ZA NCHI KUJITEGEMEA KATIKA KUSUKUMA KASI YA MAENDELEO...
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Gerson Lwenge amewasimamisha kazi mameneja tisa wa Shirika la Majisafi na Majitaka la Dar es Salaam (Dawasco), akiwamo mkurugenzi aliyestaafu kwa tuhuma za...
Hii sasa ni kali soma polepole.
Wakati Magufuli ameshatamka (siku alipozindua bunge) kuwa amepokea kiporo chamchakato wa katiba na ataendelea na hatua ya kura ya Maoni.
Na waziri Mwakyembe...
Mada: Nini matarajio ya watanzania kwa serikali ya awamu ya tano.
Yaonyesha Kilala alimmiss Polepole jinsi anavyotembea na vocal zake.
Polepole: Waliokwamisha katiba mpya wameshaondoka CCM...
Kwa kuwa mpaka sasa hakuna dalili za kumpata Katibu Mkuu Huko CDM, ebu basi mfikirieni Huyu bwana aliyejitolea kuwa Afisa habari wenu wakati wa Kampeni mpaka akawatosa wanawe na kusalimika peke...
Sisi wastaafu tumekuwa tukipata Pensheni zetu kila mwezi bila matatizo yeyote lakini kwa mwezi wa Februari,2016 hatujapata PENSHENI zetu.
Ifahamike kuwa sisi WASTAAFU hatuna kazi yeyote ni hii...
Nimeona tena Leo Rais kafanya ziara ya kushtukiza (kama ilivyoripotiwa) katika taasisi nyeti sana nchini nayo ni BOT.
Hapo ndio ambapo anaweza kupata dira na mwelekeo wa hali halisi ya uchumi na...
Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe ameilalamikia serikali ya Magufuli kwa kitendo chake cha kukaa kimya kuhusu ufisadi unaoendelea kufanywa na Harbinder Singh Seth, mmiliki wa IPTL, ambaye huvuna...
Watu wasiojulikana wamechoma moto Kituo cha Afya,nyumba tano za wakaazi na Afisi ya CCM huko Kibirizi,Pemba.
Habari zaidi zitafuata kadiri zitakavyopatikana
Chanzo:Radio One breaking news
Maafa hayo yametokea usiku wa kuamkia leo majira ya saa kumi usiku ambapo kamati ya ulinzi na usalama kisiwani humo imethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Chanzo: ITV habari za saa.
Tangu Novemba 5 wakati Dk John Magufuli alipoapishwa, ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Augustine Mahiga pekee waliotoka nje ya nchi, lakini jana Rais aliwaruhusu...
Naomba kujua wadau hivi hawa makatibu wakuu na manaibu katibu wakuu walioahidiwa kupangiwa kazi zingine, je mishahara yao bado ni ile ile ya kazi zao au ilisha shushwa? Pili, je wanaripoti kazini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.