Nasubiri kwa hamu kuona fisadi mmoja wa mfano ambaye atawajibika kwa matumizi mabaya ya fedha za uma.
Nasubiri hili likichagizwa na uwepo wa mahakama ya mafisadi.
Nasubiri kuona fisadi huyo...
Wanabodi,
Rais Magufuli Akizungumzia Mishahara ya Peponi.
Kwenye tamko la Rais Magufuli, kuhusu watu kulipwa mishahara minono kama ya peponi, alitoa tuhuma nzito ya posibility za bodi...
Nataka kuwaasa wapinzani kusoma alama za nyakati na kubadilika kulingana na siasa inavyobadilika.
BAADA YA MTEMI WAO KUUKOSA URAISI, WALIJIPANGA SANA KUPINGA NA KUDHOOFISHA UTAWALA WA RAIS...
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Dk. Reginald Mengi, amesema Tanzania inapoteza zaidi ya Sh. trilioni moja kila mwaka kutokana na bidhaa feki ambazo ni asilimia 35 hadi 45...
Ngwangaluka Rais, mwamisha mohla,Safari ya kujagha ku maendeleo Doho Mchezo.
Mh Rais kwa kuwa umejua huko nyuma mambo yalikuwa hovyo sana,na kwa kauli yako mwenyewe umesema ni hovyo kweli...
Imenilazimu nimtafute aliko Mzee wetu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba Mh.Samwel Sitta .Mzee huyu amekuwa kimya sana wakati nchi chini ya Mh.Magufuli inapambana kutumbua majipu.
Nilitegemea Mzee...
Kuna jambo limenitatiza, nimekutana na kisa ambacho kimsingi kimenishangaza na sielewi usahihi wake, mwanzoni wa utawala wa JPM tuliahidiwa kupunguziwa ada kwa shule binafsi kwa maana ya serikali...
Kwa hatua zinazochukuliwa na serikali ya awamu ya Tano, ni dhahiri kuna dalili za nchi kurejesha heshima katika tasnia ya utendaji na itapelekea watumishi wake kujitafakari wanapokuwa wanachukua...
Tulifundishwa kuwa maendeleo ni mabadiliko toka hali duni kwenda iliyo bora maana yake ni mabadiliko kutoka mbinu hafifu kwenda mbinu zilizo bora, kutoka uzalishaji duni kwenda kwenye uzalishaji...
Makampuni ya Richmond na Kagoda yalikuwa maarufu kimjadala wakati zilipoibuka kashfa za kifisadi za mabilioni ya shilingi za kitanzania. Kagoda ilitajwa kwenye kashfa ya EPA na Kampuni ya Richmond...
Kuna wakati niliwahi kusoma taarifa moja ya hulka ya mtu mweusi. Hulka yake kubwa ni kupenda kutumia kuliko kuzalisha. Kule Marekani kulifanyika utafiti juu ya mtu mweusi. Wamarekani weusi...
Christopher Olesendeka msemaji mpya wa kamati kuu ya chama cha mapinduzi.matokeo yake ya mtihani wa mwisho wa form six uliofanyika 1987 yanaonesha alipata 0.
Bajeti ikitengenezwa inabidi ieleze kila kifungu ni kwa ajili ya kitu gani. Mfano ieleze kuwa ni kwa ajili ya mishahara, maji, umeme. Kieleze wazi tumizi lake bila kumeza maneno.Kuna kipengele...
Kampuni ya Lugumi imekuwa kaa la moto!
Kila kitu kimeandikwa nasubiria siku tatu zimalizike nione huo mkataba utatokea kwa nani!
Maana hata Waziri husika sisikii yeye kuwahimiza watendaji wa chini...
Mmiliki wa kituo cha mafuta cha OILCOM jirani na Wizara ya Kilimo amekamilisha ununuzi wa nyumba zilizokuwa wanaishi wafanyakazi wa Tazara na Jeshi la Polisi maeneo ya Sokota/ Mikoroshini.
Swali...
The flood will make Malawi's food shortages worse
Malawi President Bakili Muluzi has declared a "state of national disaster" and called for international assistance following severe floods in...
Waungwana na wapenda Maendeleo,
Awali ya yote nimpongeze Mh Rais kwa kazi ngumu ya kutumbua majipu ambayo yamekuwa ni matunda ya watangulizi wake.
Najua niwengi mmeona ama kusikia kitendo cha...
Mwenyekiti wa TLP taifa Dkt. Augustino Lyatonga Mrema amesisistiza ombi lake la kazi kwa kumkumbusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwamba ampe kazi yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.