nimesikiliza hotuba ya Mkuu wa nchi alipokuwa anawahutubia jumuia ya chuo kikuu cha Dar es salaam lakini sikupenda kauli yake kuwasema baadhi ya wanafunzi waliofukuzwa ni vilaza.tafsiri ya neno...
Chadema katika jiji la Arusha inayoongoza halmashauri ya jiji hilo chini ya meya wake Kalisti Lazaro wameanza ujenzi wa Barabara ya Lami kwa Mrombo.
Mwandishi wa Habari hizi Mwanahabari Huru...
Wana JF, hakika Rais wetu mahiri ndugu Dkt John Magufuli bado ana changamoto kubwa sana kutoka kwa baadhi ya viongozi na vyombo vya utoaji haki katika jamii. Hebu someni misconduct hii ya ajabu na...
Kwanza niwapongeze kwa kuona siku ya Leo.
Professional ndalichako anapambana na mazingira yaliyomng'oa
Ujio wa Raid John Magufuli utamsaidia kuweka mambo sawa.
Lkn je chuo kizima cha udom...
Nimemsikia Rais John Magufuli akisema waliofukuzwa UDOM ni vilaza sana. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu hawa vijana ni vilaza wanafunzi wa UDOM waliosalia wanaweza kuthibitisha kwani vijana hawa...
Habari za jioni wadau.
Wiki hii Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekuwa na sintofahamu kati ya Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson na Wabunge wa Upinzani wakiongozwa na Kiongozi wa Kambi ya...
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo amewasimamisha kazi maofisa wawili wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha kwa kukiuka agizo la Rais John Magufuli la kusafiri nje ya nchi bila kibali maalumu cha...
Hawa si ndio watoto wa wanyonge ambao mama zao ni mama ntilie? Hawa si ndio watoto wa waunza michicha? Si ndio tuliambiwa kua wanyonge tumeshakombolewa tayari?
Jamani hata kama walifeli...
Ikumbukwe wananchi tupo katika janga la ukosefu wa sukari huyu mama hatumuoni akitetea wanyonge kuhusu matajiri walioficha mpaka sasa tunaelekea hilo tatizo kuisha, cha ajabu juzi wabunge fulani...
Magufuli amewaita wanasiasa wa upinzani kuwa ni vilaza, na ndio maana wanatetea wanafunzi vilaza! je unakubaliana na kauli hii, karibu tujadiliane bila jazba
Rais Magufuli tunakuunga mkono kwa dhati kupambana dhidi ya ufisadi. Tunakupinga kwa nguvu zote kupambana dhidi ya demokrasia.
Kuanzia mwanzo tumekuunga mkono dhidi ya ukwepaji kodi, ubadhirifu...
Msikilize Waziri wa fedha na mipango Dk Philip Mpango akielezea kuhusu wizara yake kujipanga kukabiliana na mihamala shuku inayohusu utakatishaji wa fedha haramu na ufadhili wa ugaidi
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi, Tanga limewasimaisha kazi watumishi wawili na wengine wawili kupewa adhabu kwa madai ya ukikwaji wa taratibu za utumishi wa umma...
Nilidhani maisha ya maskini yataboreka ila naona kiza kinene.
1) Huku mtaani watu wameanza kusahau ladha ya sukari.
2) Wakazi wa mabondeni ambao wengi ni hohehahe pressure ipo juu.
3) Maskini...
Mbunge wa Nkasi Ally Kessy
Na. Awadh Ali Said
Natafakari tu, kuhusiana na hoja ya Mh. Ally Kessy kuwa Wabunge kutoka Zanzibar wasishiriki shughuli za Bunge pale yanapozungumzwa mambo yasiyo ya...
UJUMBE wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya (EU EOM) kwa Uchaguzi Mkuu Tanzania 2015, leo umewasilisha ripoti yake kamili iliyo na mapendekezo ya marekebisho ya kuboresha mchakato wa...
Wizara ya Fedha na Mipango yataja maeneo matano ya kimkakati.
Utakatishashi wa fedha haramu na ugaidi, Sera ya fedha, Mpango wa kuondoa umaskini, Mfumo wa dirisha moja TRA na Bandari, Miradi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.