Rais aliyepatikana kwa njia za kidemokrasia anapiga marufuku mikutano ya kisisa , amabayo ndio iliyomuungiza madarakani ! Anataka kutuaminisha kuwa
1. Aliingia madarakani kwa njia zisizo za...
Ukiichaga UKAWA ni kama kulala mlango wazi.
Tunamkumbuka sana Mnyika na usemi wake bungeni ati Kikwete ni dhaifu.
Na walikuwa UKAWA wakisema udhaifu wa Kikwete ndo udhaifu wa serikali.
Sasa...
JUMLA ya wanafunzi 90,248 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ufundi mwaka 2016 ambapo kati yao wasichana ni 28,911 na wavulana 36,050. Hata hivyo, jumla ya wanafunzi 24,258 sawa...
Nianze kwa kumshukuru Mwenyezimungu muumba wa vyote,pia niwape hongera wanajukwaa kwa michango mbalimbali ya kuelimisha,kufikirisha ingawaje wengine hukereka kwa baadhi ya maoni ya watu bali...
MSAJILI wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi ametetea kauli ya Rais John Magufuli kuhusu kufanya siasa wakati huu na kwamba alichotaka kiongozi huyo wa nchi ni ushirikiano kutoka kwa...
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana lilipitisha kwa kauli moja Sheria ya Marekebisho Mbalimnbali, ambayo pamoja na mambo mengine, yamempa Jaji Mkuu mamlaka ya kuanzisha Divisheni ya...
Mkuu,naona umeamua kujilipua ila nachojiuliza mwenzetu umejipangaje?Hiyo barua mbali kuwa na muhuri wa siri, bado inaoneka kuwagusa wenyewe sasa sijui kama watakuvumilia.
Hata hivyo,nasema...
Zipo aina kuu nne za watu ambazo zimegawanyika kutokana na tabia walizo nazo.
Tabia hizo ni kutawala (Choleric – Dominance), mhamasishaji (Sanguine - infuluencing), asiyeyumbishwa (Phlegmatic...
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA KWA MSTAHIKI MEYA BONIFACE JACOB
Asalaam aleikum wananchi wa wilaya ya kinondoni na viunga vyake, niendelee kuwaombea ndugu zetu waislamu funga yao iwe na heri na baraka...
Ameandika Ben-Rabiu Wa Saanane
------------------------------------------------------
Meya wa Kinondoni Boniphace Jacob anaonekana ni msomaji mzuri wa kitabu cha 48 Laws of Power cha Robert...
CHAMA cha Kutetea Haki za Walimu (CHAKAMWATA) kimemtaka Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Salum Hapi, kuwaomba radhi walimu nchini au kuifuta kauli yake aliyoitoa Juni 16, mwaka huu.
Akiwa katika...
CLUELESS GOVT.
Waziri anatangaza Muhimbili utaingia kwa elfu hamsini 10elfu ya kitanda, 10elfu medical consultancy, 30elfu msosi.
Mkandarasi akaanza sijui walikuwa nae tayari maana tenda...
MEYA JACOB AMFUMBUA MACHO MAGUFULI???
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA KWA MSTAHIKI MEYA BONIFACE JACOB
Asalaam aleikum wananchi wa wilaya ya kinondoni na viunga vyake, niendelee kuwaombea ndugu zetu...
Andaa dodoso yenye maswali haya na kisha uipitishe vyuo vikuu uombe wanafunzi wakujazie.Majibu utakayopata yatakusaidi kujua ni kwanini tuko hapa tulipo kama Taifa.
Maswali:
1.Taja jina la...
Anashangaa Meya na Mbunge wa Kinondoni kutokuwepo Biafra wakati ameshindwa kushangaa viongozi hao hao alivyowazuia kuzungumza na umma wao!?
Nani amesahau Meya wa Jiji na Waitara walivyodharauliwa...
Kitendo cha waziri Ummy Mwalimu, kufuta utaratibu wa kuuza chakula kwa wagonjwa wanaolazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili ni sawa kabisa. Tena huo utaratibu wala usifikiriwe kuanza. Ni uhuni tu ule...
Serikali kuu na taasisi za umma zinatumia sehemu kubwa ya bajeti ya serikali ya JMT,Lakini kumekuwepo na mianya mingi ya wizi,uhujumu uchumi,ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka ya kisiasa na...
Kwa sisi tuliokulia mazingira ya karibu na hifadhi za wanyama tulikua tukifundwa na wazee wetu kua unapokua unachunga ng'ombe ukipita mahali porini ukamwona simba amelala, kama anakuangalia...
Kumekuwa na kauli za kukinzana za Mh. Magufuli pale anapokuwa anahutubia wananchi kwa hotuba za Kichwani.
Mfano: Nimejitoa Mhanga kutumbua majipu. Hatachomoka mtu.
Baadae, Nitawalinda wastaafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.