Serikali yangu itakuwa na vijana wengi maana wazee ndo wametufikisha hapa tulipo" (JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI)
baada ya kuwateua vijana kazaa Kama MIZENGO KAYANZA PITA PINDA na ANNA MAKINDA...
Mada ya. Vyeti feki imelitikisa taifa kiasi Kuna. Watu this time wanatamani kuacha kazi. ILA Kuna mambo ambalo nilazima tulitambue nakuwa makini Sana ktk zoezi hili hasa ikizingatia wapo watu...
Bado nafikiria tu, kwa akili ya kawaida Jakaya Kikwete anamkabidhi vipi Joseph Pombe Magufuli chama? Yaani sababu kubwa ni kwamba eti ni utaratibu toka mwanzo?Pamoja na jinsi JPM anaongoza nchi...
Wadau kuna hali isiyo ya kawaida muda wa siku karibia nne sasa katika king'amuzi cha startimes. Katika king'amuzi hicho unaweza kuona chanel 2 tu za nyumbani iwapo hujalipia kifurushi chochote...
Katika kauli ya SOFIA SIMBA hii ya tarehe 20th June 2010 alisema...DR hamuungi mkono, sofia alisema ifuatavyo
"Ninyi wanawake wenzangu ambao waume zenu wapo katika vyama pinzani na mnajua wazi...
Nilikua natazama taarifa ya habari Azam Two nikaona taarifa yenye headline 'ziara ya Rais Magufuli Ikulu' nikamuona Rais ametembelea wanaoshona nguo hapo na yeye mwenyewe akishona kidogo....
But...
Siyo makusudio yangu kumpigia mtu debe, lakini kwa jinsi ninavyoona hali ya mkoa wa Dar es salaam inavyokwenda kuna uwezekano mkubwa Ndugu Makonda akaelemewa na hili Jiji, na kama hatakuwa makini...
Vijana Wa Bavicha wamesema mpango Wa kwenda Dodoma upo palele na kinachoendelea sasa ni kutazama mpango B wa kufika huko.
Wamesema hawawezi kuacha Uhuru wa kufanya siasa ukitekwa na wachache huku...
Naiona tofauti kubwa kiutendaji ktk wizara ya Kilimo , Mifugo na Uvuvi kati ya Waziri Nchemba na Dkt.Tizeba.
Kwa kipindi alichokaa ktk wizara hiyo Nchemba alitembelea maeneo mengi kikazi lakini...
Hii ni program maalum na inapatikana JF tu. Haihitaji taaluma kubwa sana kujua namna inavyofanya kazi. Unajua inafanyaje kazi? IPO kwa muda gani? Imeanzishwa na nani? Na watumiaji ni akina nani...
Waziri mkuu anafanya ziara huko Lindi ajiwa kaambatana na viongozi wa ccm na kufanya mikutano ya hadhara.
Ule waraka wa polisi yeye haumuhusu? Kama ni kazi za kiserekali hao viongozi wa ccm...
Katika dunia ya leo elimu ni muhimu sana katika utendaji wa kazi mbalimbali. Lakini siyo kila mwenye elimu anao uwezo wa kutenda kama wengi wanavyowez kutarajia.
Ni mara nyingi sana unaweza...
Tunaambiwa makusanyo ni makubwa, mianya ya wizi imedhibitiwa ikiwa na utoroshaji wa fedha nje. Lakini mbona thamani ya fedha yetu haiboreki zaidi ya kudidimia ingawa sio kwa kasi lakini ni...
Baraza la vijana CHADEMA leo linatarajiwa kuweka kila kitu hadharani katika mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika makao makuu ya CHADEMA leo.
BAVICHA ambalo kwa sasa ndiyo baraza bora...
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetoa ufafanuzi kuhusu vituo vilivyofungiwa na Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala na kusisitiza kwamba vimekiuka masharti ya utoaji...
Huyu MTU kipindi cha kampeni alikuwa mpenzi sana wa Magufuli!
Dunia Imebadilika Sana Sana Ikilinganishwa Na Miaka Kumi Ishirini Iliyopita. Kuanzia Mfumo Wa Maisha Hadi Mfumo Mazingira. Kwa Hali...
je SAID NASSOR BOGOILE NA HAMISI ANDREA KIGWANGALLA ni watu wawili tofauti au ni MTU mmoja? jeshi la polisi tunaomba msaada uchunguzi huo ufanyike ili kutoa utata na kujua km ni MTU mmoja? km ni...
Nimetazama taarifa za matukio ya jaribio la kutaka kumpindua Rais wa Turkey....Kwa waliotazama speech yake ni kuwa amewaomba wananchi wafanye maandamano kuelekea kwenye uwanja Taksim square...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.