Mgogoro wa CUF umeingia katika sura mpya baada ya viongozi waliosimamishwa uanachama kutishia kumshtaki Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya chama hicho, Julius Mtatiro wakitaka athibitishe kama...
Wataenda mahakamani kuwashtaki viongozi wa CUF ili wathibitishe kuwa "Lipumba" ndiye "mtekaji" wa "Bashange"
Wafuasi wanadai ulikuwa ni mpango wa kumchafua Lipumba!
Mgogoro wa CUF umeingia...
Hivi kwanini serikali na Tanesco huwa hawashindi hata kesi moja? Itokee basi washinde hata kikesi kimojawapo Uchwara, dah!
Mara hii wamepata pigo jengine katika mgogoro wao wa kisheria wa muda...
Mambi ya marejeo ( Review) dhidi ya maamuzi ya mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Arusha dhidi ya ushindi wa Mbunge wa Arusha Bwn. Lema, aliyekuwa akiwakilishwa na wakili Komomogoro wa Arusha...
Inashangaza hadi muda huu nipo viunga vya Sumbawanga si Mbowe wala Mbatia alikanyaga hapa kwenye janga la mvua ya mawe iliyoathiri mali na nyumba za wakazi wa mkoa huu wa Rukwa.
Wananchi wa hapa...
JPM apongezwe uratibu maafa Kagera
Joseph Martin, Nottingham
WATANZANIA bado tuko katika masikitiko kufuatia maafa yaliyoletwa na tetemeko la ardhi mkoani Kagera na baadhi ya maeneo ya Kanda ya...
1. Mradi wa Rapid Bus Transport (BRT) maarufu kama Mwendokasi ni hasara kwa taifa kama utaendelea kama ulivyo sasa.
2. Serikali ifanye tathmini ya haraka ili matumizi bora na yenye tija kwa taifa...
"Rais Magufuli amewashukuru rais Museveni, Kenyata na Kagame kwa michango yao".
Mara nyingi rais amesikika akiwataka waathirika wa tetemeko kufanyakazi na wasitegemee misaada kutoka serikalini...
Habari wanaJF,
Taarifa zimeripoti zikisema kuwa Mwenyekiti wa CCM-Taifa, Rais John Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza Ofisi ndogo za CCM zilizopo mtaa wa Lumumba, jijini Dar es Salaam asubuhi...
Bila shaka weekend iko njema, mnakumbuka kipindi cha tetemeko kule bukoba kuna habari ililetwa kuwa baadhi ya misaada ambayo ilitolewa na wapinzani, viongozi wa jeshi kule bukoba walipita baadhi...
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mkoa wa Kagera umelalamikia kitendo kinachofanywa na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutumia janga la tetemeko la ardhi...
Na Mwandishi Wetu
Shirikisho la Vyuo vya Elimu ya Juu, limetoa pole kwa wale wote waliokumbwa na kuathirika na maafa ya janga la tetemeko la ardhi yaliyotokea katika mkoa wa Kagera, na baadhi ya...
Baada ya rais Magufuli kusoma hotuba yake kwa lugha ya Kiswahili baadae ilitolewa kwa lugha ya kiingereza kwa manufaa ya wageni wasiojua Kiswahili.
Mimi najiuliza je Yeye angeenda India au China...
Baadhi ya Vijana waliohitimu katika fani ya ufundi wa magari chini ya Mradi wa Uwezeshaji Vijana Kiuchumi (YEE) wakifanya mazoezi ya kurekebisha magari katika gereji ya Halmashauri ya Wilaya ya...
Je hii nayo ni hapa kazi tu au kuishi kama Mashetani? Ndugu wanajamiiforum naomba kujuzwa sababu zilizopelekea Serikali kuongeza parking fee kutoka 1000 hadi 2000 kwa saa apa JNIA, maana hii sio...
Mwaka 2001, mwezi Desemba katika milima ya Tora Bora baada ya mapambano ya siku kumi na moja toka tarehe 6 hadi 17 na mabomu kadhaa kudondoshwa katika milima hiyo hatimaye askari wa miguu walianza...
UN General Assembly inaanza Jumatatu Sept 19 2016. Hivi ni lazima Rais aalikwe kuhudhuria mkutano huo au huwa wanaenda tu?..Rais wa Nigeria atahutubia na ameshawa taarifu wananchi wake nini...
ORDERED TO PAY $148M: Washington-based tribunal rules in favour of Standard Chartered Bank, saying dubious payments from the Tegeta escrow account do not discharge TANESCO's obligations to the...
Ningeomba kufahamishwa hawa viongozi wa vyama vya upinzani nchini wamechangia kiasi gani katika tukio la kusikitisha lilitokea mkoani Kagera.
Ikumbukwe kuwa viongozi mbalimbali wameonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.