Wizara ya Fedha na Benki ya Maendeleo Afrika(ADB) zimesaini mikataba yakuikopesha Tanzania shilingi bilioni 750 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi sekta mbili za maendeleo ya ujenzi wa barabara na...
Ushirikiano kati ya Afrika na China utashamiri zaidi katika miaka mitatu ijayo, Je, tunajiaandaaje kuchukua fursa zitakazopatikana kujiendeleza kibiashara, kielimu, au hata kiafya?
Rais Xi...
Evarist Chachali
KWA wanaofuatilia safu hii, watakumbuka kuwa mara baada ya CCM kumpitisha Dk. John Magufuli kuwa mgombea wake wa kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu uliopita, niliandika makala...
Kwa jinsi Muheshimiwa Dr. JPM anavyokamua majipu kila kukicha, inaonekana wazi kabisa taifa hili limeangushwa watumishi wachache tuliowaamini na kuwalipa mishahara mizuri kwa lengo wasije pokea...
watanzania walio wengi wameendelea kusherekea na kufurahia kile kinachoendelea kufanywa na mheshmiwa rais wa awamu ya tano furaha inayowasahaulisha kabisa kufikiria nn kitatokea kama madhara ya...
Dear Raisi wangu Magufuli,
tumeiona nia yako njema na tunaikubali.
cha kwanza ni uchumi,,,, naam... huwa kuna mawili hapa.....nidhamu ya kukusanya na nidhamu ya matumizi.....
la pili ni kwamba...
Nimelifikiria sana hili suala.Hivi kuna wizara ngumu zaidi ya mawasiliano uchukuzi na ujenzi,,kama muheshimiwa raisi bado ana fikiria waziri napendekeza achukue msomi aliebobea kwenye hizo fani...
Wizara zilizoundwa na Rais wa awamu ya tano baadhi yake kwangu Mimi zinatamkika vibaya na hazina utamkaji wa kisayansi. ( They are not scientifically arranged).
Kwa mfano wizara kama ya afya...
Wakati wapenda maneno na siasa za kukosoa wakati wote, wasio ona jema hata moja wakiendelea na uchambuzi wao wa jinsi wanavyoliona baraza la mawaziri la JPM, Askari wa mwavuli wa JPM wameanza...
Je, Mawaziri wa Maghufuli walioapishwa leo, bado wanatumia Mashangingi au wamepewa magari madogo zaidi kama saloon na pickup ili kubana matumizi ya serikali?
Kwa mliowaona wakiondoka Ikulu mtujuze?
[*=2]
ASHUKURIWE MUNGU MAANA INGEKUWA NI SIKU YA KAZI LEO TUNGEZUNGUMZA VIFO VYA WATU KADHAA KAMA SIYO MAJERUHIII KADHAA MAANA HUWEZI AMINI KILICHOTEKEA KWENYE JENGO ZURI LA KUVUTIA LA LPF...
Nimemsikia waziri Lukuvi kupitia ITV saa 2 usiku huu akitangaza kusudio la serikali kuanza kuwanyang'anya mashamba watu wote walioshindwa kuyaendeleza mashamba waliochukua na wale wote waliotumia...
Jaffo naye afanya ziara ya kushtukiza Bahi
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Utumishi na Utawala Bora, Selemani Jaffo amewatangazia kihama wakurugenzi wote nchini watakaoshindwa...
Wananchi wa vijijini wamesahulika katika tawala zote zilizopita. Wao maisha yao bado ni duni kwa kiasi kikubwa japo kwa miaka ya karibuni nguvu ya sayansi na teknolojia imeonekana ikileta ahueni...
Kwa kuwa bank ya STANBIC imekuwa ni uchocholo wa wezi wanaoibia serikalini pesa ambazo ni kodi za walala hoi, na serikali imekuwa haifanyaji juhudi kuufahamisha umma ni akina nani walipitisha...
Baada ya kuingia madarakani pamoja na sifa zote alizopewa lakini ukweli ni kwamba alianza kuendesha nchi kwa amri. Watu wamekamatwa, nyumba zimebomolewa na sherehe kufutwa. Likaja baraza nalo...
Nimejaribu kufuatilia mada karibu zote anazoanzisha huyu memba mwenzetu zinamhusu Lowassa,
Najiuliza hivi matatizo yetu ni Lowassa pekee?
Habari ya mjini ya sasa ni kukusanya kodi, kubana...
Hii ni kauli ya Makamu Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Patrick Olle Sosopi.
Amesema pamoja na kwamba uchaguzi uliopita kura zake hazikutosha lakini bado ataendelea kutatua yale yote aliyoahidi...
kama mtakumbuka wakati wa kuhutubia bunge pamoja na mambo mengine mheshimiwa magufuli aligusia swala la matumizi ya hovyo na akagusia kuwa enzi za jk kuna mashirika ambayo vikao vyake vya board...
kwa upande wa TRA na Bandari raisi alikuwa anahakikisha makusanyo ya kodi na tozo mbalimbali yanayostahili yanakusanywa.
lakini kama mapato haya hayatasimamiwa kufanya kazi kwa tija hapo bado ais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.