Sisi watanzania tumepatiwa malezi mema ya kupendana na kuthamini utu na ubinadamu. Ili kulinda na kutetea hali ya amani na utulivu watanzania tumelelewa na kufunzwa kuviheshimu na kuviamini vyombo...
Waraka wa kudai Sh 4 bilioni wasambazwa
Monday, 25 October 2010
Mwananchi
Mwandishi Wetu, Mwanza
WARAKA unaodaiwa ni wa polisi wa kawaida umepatikana jijini hapa ukiihoji serikali ya awamu...
Wana CCM wote, wenye uchungu na nchi yetu, wanaotafunwa na Umasikini, nawaomba na tena kuwasihi, kumpigia Kura Dr. Wilbrod Peter Slaa. Mimi ni mwana CCM wa Damu, lakini sidanganyiki kwa kumpigia...
MAMBO AMBAYO UNATAKIWA KUJUA KUHUSU KURA YAKO:
Na. M. M. Mwanakijiji
Kura yako ina nguvu gani na kwanini?
1. Kura yako ndiyo lugha pekee ambayo wanasiasa wanaielewa. Wanasiasa wote duniani...
KWA NINI WATANZANIA HAWAWEZI KUWAPA DOLA WAPINZANI!
Hadi sasa hawajafanya maandalizi ya kutosha kwa ajili ya viongozi wao kuongoza dola, wamekurupuka na kuacha maswali mengi ikiwa kuwa na...
Kama kuna wanasiasa wanaokenua na meno yote 42 yanaonekana ni Shibuda na Selelii ambao wamejikomboa kwa kukimbia kutoka CCM.
Je wanaujua wimbo wa Mshike, mshike ndege tunduni tuliowajanja...
Waungwana nisaidieni neno hili,nimejaribu kufikiri kuwa yule mtendaji wa PROPAGANDA FIELD ndugu makambale ataficha uso wake wapi siku ile tukufu ya kuanza mapambano ya safisha safisha mapakashume...
Kuna a kind of Mdahalo unaendelea sasa hivi live from radio 1 na BBC Swahili. Umelenga wasanii na uchaguzi. Yupo Sugu (Mbunge Mbeya mjini), Kala Pina (Diwani- Kinondoni), Pr. Haroun, Dokii n.k...
Kuna tetesi kuwa JWTZ na vikosi vyake vinaandaa gwaride rasmi la kumuaga JK kwa kumaliza kipindi chake cha kwanza cha uraisi siku ya Jumamosi katika viwanja vya chuo cha Polisi temeke.
Wanafanya...
Ukisoma magazeti ya leo na baadhi ya TV zenye ubia na serikali ya kifisadi ya JK na CCM yake utaona kuna msukumo wa kukichafua Chadema na hususani Dr. Slaa kuwa ni chama cha wahuni na hawafai...
Kuna taarifa kuwa mgombea wa CCM jimbo la bukombe yuko kwenye kashfa kubwa ya kuuza kinyemela eneo la pori la bukombe ambalo linasemekana lina akiba ya dhahabu nyingi kuzidi hata mgodi wa...
Wakuu habari za usiku?
Jana niliwaahidi kuwaletea picha juu ya mikutano ya kampeni za Mbowe jimboni Hai mchana wa leo.
Naomba mnisamehe kwa kushindwa kuziweka hapa kwani kifaa changu cha...
Katika mdahalo Mh Slaa alisema kuwa Tanzania ni nchi ya 2 au 3 kwa umasikini Barani Afrika. Aliyasema hayo bila kutoa Chanzo (source) cha kuthibitisha maelezo hayo.
Huu ni uwongo LIVE, kama...
1. Ameingia Ikulu 2005 kwa wizi wa kura.
2. Ameingia Ikulu 2005 kwa fedha za EPA.
3. Amekiuka katiba kwa kutetea ufisadi/mafisadi.
4. Uteuzi wake wa nafasi mbalimbali ni kwa uswaiba.
5. Serikali...
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba CCM wameandaa mikakati michafu kuhakikisha kwamba wanashinda Uchaguzi wa Ubunge jimboni Ubungo kwa gharama zozote. Wamekaa kikao na kukubaliana...
TWO THINGS INVOLVED
When you are born a man, whether ul be from a developed Country or a undeveloped country;If you come from a developed country you are safe but if you are from undeveloped...
Makamanda wa PCCB huko Bariadi wamemkamata mke wa Andrew Chenge aitwaye Tina kwa tuhuma za kugawa hongo ya Sh5,000 na kanga kwa wapiga kura katika vikao vya siri alivyokuwa anavifanya.
Source...
Kama kakukosea msamehe,natubu kwa niaba yake,naomba kesho ukakuratafadhari...!!mfumo wa utawala umezeeka so inabidi ubadilishwe.kesho usifanye kosa utakalokumbuka na kujutia miaka 5.mpe slaa kura...
Huu ni Usia wa Mwisho kwa Chadema...
Nawataarifu tu kwamba kuna uwezekano mkubwa sana wa Kikwete kushinda uchaguzi huu ikiwa Chadema watazembea ktk kuweka wasimamizi sehemu ambazo wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.