Kwanza nianze kwa pongezi nyingi sana kwa utendaji wako mh waziri Mwigulu Nchemba. Nakupongeza sio kwa unafiki ila ni kwa dhati kabisa, tumeona namna unavyofanya kazi na tukuombe uendelee na kasi...
Haya yanafanyika leo pale Mosses Machali atakapoamia rasmi chama cha mapinduzi baada ya kuka nje ya siasa kwa mda kidogo na kuonekana kuwa amesahaulika ndio mamuzi ya kuhamia chama cha mapinduzi...
Kutokana na kasi ya ukuaji wa nchi na ongezeko la idadi ya watu, ni wazi kuwa barabara ya Mlandizi- Dar haikidhi tena mahitaji yaliyopo na hivyo ni wakati muafaka kwa serikali kufikiria kuweka...
Salaam wakuu,
Nimekua nikifuatilia vizuri mno utendaji kazi wa Makonda, kwa kweli kimsingi kwa matamko mbalimbali aliyokwisha yatamka, napata ukakasi kuhusu kiwango chake cha elimu.
Kama kuna...
Kwakweli hali ilikua mbaya sana ilipofikia. Kila mtu aliyelipenda hili Taifa, alitaka apatikane kiongozi atakayeiondoa nchi kwenye uoza wa ufisadi uliopindukia, kukubalika na jamii na kufanywa...
Hili suala la matumizi ya hizi pesa lingekua limetokea nchini Afrika Kusini sijui mzee Zuma angekua katika hali gani.
Kwa majibu ya Ofisi ya waziri mkuu sijui hali ingekuaje! Kwakweli...
Habari wanajamvi,
Sasa hivi nchi nzima kuna migogoro ya wakulima na wafugaji. Kadhia hii si ya leo na inaonekana serikali imeshindwa kuiondoa. Chanzo kikuu ni wafugaji kuingiza mifugo yao kwenye...
Kuna hoja za kisiasa zinajengwa na baadhi ya watu wengi wao wakiwa wafuasi wa CHADEMA..'nchi hii tutawale wote si ya mtu mmoja au chama kimoja'. Ukiangalia juu juu unaweza usielewe maana yake, ila...
Gazeti Mtanzania Leo limeandika kuwa vyanzo vyake vya habari vimelipasha kuwa bodi imevunjwa kwa kukosa ubunifu wa vyanzo vya mapato. Kwamba rais ameivunjwa kwa sababu haoni kama bodi inamsaidia...
Anayezijua kazi za msingi za Bodi ya TRA anijuze. Nionavyo ni kwamba bunge na WF zinatosha kabisa kusimamia sera na utendaji wa TRA.
Nashauri Rais asiunde tena bodi hii na badala yake iundiwe...
NECTA wasema wameshatimiza wajibu wao walioagizwa na raisi John Pombe Magufuli na kuhakiki vyeti feki; NECTA wasema kazi yao ni kuanika madudu na kila mkurugenzi walipohakiki kapewa majibu ...
Dar es Salaam. Serikali ya Awamu ya Tano imefanya vizuri katika mwaka wake wa kwanza, ikifanikiwa kurejesha nidhamu ya kazi kwa kiasi kikubwa, kupambana na ufisadi, kukusanya mapato ya Serikali na...
Kinachoendelea katika halmashauri zetu ni kitu cha hatari kabisa.Ukata wa hali ya juu,ukata wa kukwamisha kwa kiwango kikubwa utoaji wa huduma kwa wananchi.
Wadau kwa wale wasio na taarifa ni...
TANGAZO LA KUANDIKISHA WANACHAMA WAPYA WAISHIO UINGEREZA/ULAYA
Ndugu Watanzania mnaoishi Bara la Ulaya, Chama cha ACT Wazalendo kinawajulisha kuwa kinakusudia kufungua matawi mawili mwishoni mwa...
Uchumi wa nchi unategemea sana siasa zake!
Tukienda pale zimbabwe kwa mheshimiwa sana Mugabe! Huyu mtawala ni wa siku nyingi sana! Na hapo awali ameifanyia makubwa zimbabwe!! Lakn ilifikia muda...
Kwenye domestic flights, routes za Dar - Mwanza ndizo zenye wateja wengi na zinalipa. Mashirika ya Precion air na Fast jet kila moja lina route tatu za Dar- MZA yaani saa 2 asubuhi, saa 6 mchana...
Wana jukwaa.
Kwanza nianze kusema Mimi ni miongoni mwa wahanga waliokosa mkopo mwaka huu wa masomo 2016/2017. Pamoja na kozi ninayoichukua kuwa ya kipaumbele ya uhandisi...
Baada ya kulifika chuo...
NI kijana alielelewa na UVCCM mpaka kufika nyadhifa za juu za kamati kuu... ila sasa mkulu anafumba macho juu ya lulu hii ambayo dar es salaam iliiona kama tumaini mbele ya maisha mema!!!
jerry...
Nimeona clip ya Trump ya zamani akilalama kuwa Marekani inagandamiwa kichumi na nchi zinazouza bidhaa mbalimbali nchini Marekani . Mimi kwa upande wangu naona ni wazo zuri sana. Tutunge sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.