Jamani naomba msaada kidogo kwa hili...najua kwenye bunge letu majuzi wameteua mwakilishi wa bunge la sadc baada ya kifo cha ndugu yetu mpendwa rich nyaulawa...naulzia je huyu ndugu akienda...
Tatizo la Kikwete, ndiyoo.. huyu Raisi wetu..
Yeye anaaamini mtu yeyote yule anaweza kuwa Raisi, cha muhimu ni mbinu tu tena hasa mbinu chafu kama alizotumia yeye mwaka 2005 kuhonga wanahabari...
Siasa ya ujamaa na kujitegemea ilitudumaza - Mtikila
na Ratifa Baranyikwa
Tanzania Daima
Jumapili, 3 Februari 2008
Hivi karibuni Mwenyekiti wa Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher...
Kwa mujibu wa tume ya Uchaguzi, Kikwete alishinda Jimbo la Hai na alipishana kwa nukta jimbo la Kigoma vijijini. Majimbo haya ni ya Freeman Mbowe na Zitto Kabwe.
Can anyone explain to me what...
Je fikra zile zile zilizokifikisha CCM kwenye asilimia 61 zilizotangazwa na TUME (toka 81% za 2005) bado zinaweza kukiwezesha kushinda mwaka 2015? CCM kinahitaji fikra mbadala ili kiishi au fikra...
Malipo ya Dowans yamechukuwa nafasi kubwa katika habari nchini mwetu. Kuna kila sababu ya kuchukuwa hiyo nafasi kutokana na upuuzi unaofanywa na serikali inayoongozwa na Jakaya Kikwete kukimbilia...
Chama cha demokrasia na maendeleo(chadema)kinachoshiriki kugombea nafasi ya kiti cha ubunge iliyochoachwa wazi na rostam azizi wa ccm kitaangushwa vibaya kutokana na kutokuwa na madiwani wa...
chanzo changu kimeniambia kuwa katika uchaguzi wa mwaka 2010 majimbo yote ya mkoa wa kigoma yalidondokea upinzani.
Mchezo mchafu ulifanywa katika yale majimbo machache yaliyotangazwa kuchukuliwa...
Napenda kujitokeza tena kushare fikra angavu tena,,,
fikiri juu ya chaguzi ndogo zinazochukua picha mpya kila kukicha ambazo ni gharama kuendesha, hivi
ni lini tutafanya maendeleo? Fedha nyingi...
SIKIKA ni shirika lisilo la kiserikali linalotekeleza shughuli mbali mbali zenye lengo la kuchochea upatikanaji wa huduma za afya zenye uwiano, viwango na ubora unaokubalika, gharama nafuu na...
Wana JF leo kulikua na mkutano wa M4C ukiongozwa na Mh Lema, mstahiki meya Jafari pamoja baadhi ya madiwani akiwemo Abuu shayo wa kata ya Langoni, Mh mbonea kata ya mji mpya pamoja na baadhi ya...
ccm wajuta kumfunga maranda kwani ndie mtu pekee alie waingiza watu wengi ccm kuwatoa chadema ila baada ya kumfunga maranda wenyewe wanamwita muasisiwa yalemakundi makubwa na matawi makubwa...
Miongoni mwa mawaziri bora Tanzania ukiacha Mwakyembe na Magufulu huyu mh. Mwanry ni mchapakazi bora sana yupo serious na ni hodari katika utendaji wake.
Sasa hivi yupo katika taarifa ya habari...
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, amesema hafanyi kazi kwa msukumo ama amri zinazotolewa na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), likiwamo suala la...
Kitendo cha Waziri wa mambo ya kigeni wa Tanzania Benard Membe kufanya harambee ya uzinduzi wa filam "I LOVE MWANZA" ambapo alisema ametumwa na Rais Kikwete kufanya hivyo na kuwanunulia filam hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.