habar wakuu,
Leo hii amenukuliwa Spika Job Ndugai akidai kwamba wakimtaka Makonda hachomoki,..hapo sasa ni mwendo wa kutunishiana misuli kati ya bunge na serikal..kwan taarifa zilizopo ni kwamba...
Kiongozi mwenye ujasiri wa kumtaja kigogo papa hadharani ni makonda pekee wengine wazugaji tu.
Mkuu makonda hebu tutajie aliyeingiza Rangerover kinyemela na sababu za yeye kufanya hivyo ni zipi...
Ideology ni maono, beliefs, principles, ideas za mtu (au kikundi) anazotamani jamii iliyopo au anayoiongoza izifanyie kazi ili kufikia malengo anayotarajia.
Nimebahatika kuishi katika vipindi...
____________________
Pongezi kiduchu zimfikie Nape Nnauye kwa kuonesha kuwa kinyume na ufedhuli, lakini pongezi hizo kiduchu na hatua yake ya kuwa kinyume na ufedhuli, havifuti ufedhuli wake...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Joseph Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Prof. Justin Ntalikwa kuanzia leo tarehe 26 Machi 2017...
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Maswali yangu Kwa Kamati ya Nape:
1. Waziri wa Habari ametumia kifungu cha sheria ipi (ITAJE SHERIA na KIFUNGU) ndani ya Tanzania kuunda kamati ile ya...
Profesa Lipumba ameshangazwa na ripoti iliyotolewa na umoja wa mataifa ikitaja Tanzania kuwa nchi ya 3 kutoka mwisho kwa furaha huku ikipitwa na nchi kama Burundi na Syria
Amesema hii ianaonyesha...
Baada ya rais magufuli kuchukua nchi viongozi wetu wastaafu mzee mkapa na kikwete walikuwa wakipishana kwa siku zile za mwanzo za uongozi ,ispokuwa tu mzee mwinyi na hatujui zumuni la kwenda ikulu...
Wakuu
Kuna wanabodi wengi wanapendekeza January Makamba amfuate ndugu yake Nape, na wengine wakimuhusisha Mwigulu, swali la kujiuliza kwanini Hawa watatu wanawekwa sehemu moja.
Makamba ni moja ya...
Wadau mie ni mhanga wa mauaji ya kimbali yakiyotokea Rwanda Na kuua watu zaidi ya 800,000.Mauaji haya yalisababishwa Na Viongozi wetu waliokuwa wanautawala mbaya uliopelekea kutengeneza Ukabila Na...
Nitakueletea Updates zote za Mkutano huu na wanahabari Humphrey Polepole atakua akiongea.
Mkutano huu pia Utakua Live katika Facebook, Twitter, Instagram za Accounts za CCM. Azam pia Itaonesha...
Habari wanajamvi.....
Nimekaa chini na kujitafakari tangu awamu hii ya tano ya Mh Magufuli kuingia madarakani hadi Leo hii naandika haya bado sijapata majibu ya tafakari langu juu ya awamu hii ya...
Wakuu mlisikia Humphrey Polepole Akisema chama kikongwe chenye Ushawishi Mkubwa nchini kinatarajia kufungua chuo kwa ajili ya kunoa makada wake.
Nikiwa kama Mwananchi nisiye na chama ninaunga...
Nimesikiliza wimbo wa mwana muziki mmoja nikaambiwa anaitwa Ney. Sikuwa namfaham nilisikilizishwa wimbo wake na mwenzangu mmoja. Ni wimbo wa kisiasa. Nlisikitika kuwa mwimbaji hakuwa mbunifu...
Nape ni jabali (mwamba) la kisiasa Tanzania. Anapokuwa mezani anazungumza kwa hoja, lugha laini na mwanana ya kumtoa joka pangoni. Anapokua jukwaani anazungumza kwa kupaza sauti ama kusawishi au...
Sio lengo langu kutoa uzi huu kwa kivuli cha kampeni. Najua kuna mengi yanasemwa kuhusu Lowassa ambayo hata mie nakubaliana na baadhi. Hata hivyo, ni vema pia tukayasema ya Magufuli, ili...
In Summary
Only God and the angels know what this CCM government is going to do next, whilst President John Magufuli busies himself at the port of Dar es Salaam miraculously visiting the Port on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.