Naziona dalili mbaya kwenye taifa letu tena ya hatari hadi nimeanza kuiogopa matukio haya yanayo tokea sasa yana ashiria hatari kubwa huko tuendako ,watu wabaya nao watatumia mwanya huo huo...
Kwa moyo mweupe kabisa na nia safi ya kutaka nikufikirishe rais wangu kipenzi mh. John P Magufuri. Juu ya ziara za mfululizo kuelekea kanda ya ziwa.
Maana yangu siyo pana sana bado ndogo mno ila...
Kumejitokeza tabia mbaya katika Jamii ya watu kuweka fedha katika Benki kwa zero rate na wengine uvungun badala ya kuziwekeza na kuongeza ajira....hawa ni wahujumu wa uchumi...Tunaomba mh Rais...
Lisemwalo lipo na kama halipo basi linakuja. Wakati fulan palikuwa na tajir na masikin yule tajir hakumjali masikin ikafika mahali akawa anakula makombo sikumoja wote wakafa tajir moton masikin...
Mh. Rais pole kwa majukumu ya kila siku naomba nikushauri tu jambo moja
Mh.rais baada ya kuingia ikulu miezi kadhaa iliyopita umejitengenezea sifa kubwa kwa utendaji wako uliotukuka kwa ufuatilia...
Mh. Rais, inajulikana kuwa ni wewe ndiye uliyewateuwa Waheshimiwa wafuatao:- Maswi, Mhando, Mboma, Muhongo, Simbachamwene na Masele. Katika kundi hilo wapo walioidhalilisha Serikali yako kwa...
Ni utaratibu wako uliojiwekea kila mwisho wa mwezi. Sasa imepita miezi kadhaa hukuhutubu. Kwanini? Umebadili utaratibu wako? Au hakuna 'issue' ya kuiaddress?
cc Salva Rweyemamu, Kibanga
Mzee...
Naomba mtakao kerwa na hii post muwe wavumilivu
Mimi kama mtanzania ninayo haki ya msingi ya kuhoji ili kupata habari juu ya nchi yangu, Rais wetu ukisikia kasafiri ni nadra sana kusikia ameenda...
Mh. Rais KIkwete,
Kwanza nikupe pole kwa kazi kubwa unayoifanya ya kuongoza TAIFA. Kwa miaka 8 sasa umekuwa ukisafiri mchana na usiku kutafuta misaada na connections kwa ajili ya Taifa letu...
Busara na hekima ulizonazo na kujali utu wa mtanzania ndiyo sababu ata Wanasiasa MCHWARA wanadiliki kukutukana. Dr KIKWETE Watanzania tulikuchagua kwa hiari yetu wenyewe na kukupa mamlaka ya...
Comrades, salaam tena.
ninaomba kuandika kwakifupi sana and straight to the point.
wakati wa ujio wa raisi wa marekani hapa Tanzania Bw. Barak Obama, nakatika kutoa hotuba fupi katika viwanja vya...
Mh. Raisi we ndo baba wa familia yetu hii ya watanzania na maamuzi ni yako ila kwa hili la kuwasamehe hawa adui wa maendeleo ya familia yetu hii umetukosea sana...tuombe radhi mheshimiwa atleast...
President Jakaya Kikwete and his wife, Salma Kikwete and Minister for Tourism in Jamaica, Mr Edmund Bartlett (right) and Chairman of the Mystic mountains conservation, Mr Horace Clarke, touring...
Mh Rais katika uteuzi wako angalia watendaji wa kata.hawa wana kaz ngum sana na kweli wanazijua changamoto za Wananchi hasa masikini kwa maendeleo.Wateue nafasi za UDED,DAS na nafasi zingine...
Mh. Rais, kwanza nikupe pole kwa majukumu mazito uliyonayo ya kutuongoza. Pia naelewa una washauri wengi sana na muda mchache wa kusikiliza kila kitu kinachoongelewa mitaani.
Sina uhakika hata...
Wakati mnafurahia kuteuliwa kwa Prof LUOGA, Uteuzi ambao unaanza rasmi januari baada ya Gavana wa sasa kukabidhi ofisi desemba, Mteuliwa huyo atakuwa anastaafu mwaka 2018 kwa mujibu wa sheria...
Ndugu zangu Hapa arusha kuna wazalishaji wa bidhaa wengi sana kwa kutumia umeme hasa sisi wazalishaji wa Bidhaa za karanga na Mafutaya alizeti. lakini Arusha umeme unakatika saa 2 Asubuhi hadi saa...
Kwako mheshimiwa Rais.
Nikupongeze kwanza kwa kazi ngumu ya 'kuthubutu' kunyoosha nchi yetu iliyooza kimaadili,kiutendaji na kinidhamu kuanzia Serikali kuu,Serikali za mitaa,taasii za umma na...
Toka Baba wa Taifa Julius Nyerere alipotawala Tanganyika 1961 na baadae Tanzania, vuguvugu la mawazo kinzani yalikuwepo sana!Tofauti ya Nyerere na Rais wetu ni Moja! Ni Nyakati.
Rais Nyerere...
Rais wangu Magufuli naomba nianze kwa kupinga kauli yako ambayo maudhui yake ni kama vile kuwataka Marais wastaafu kukaa kimya hata pale wanapoona mambo hayaendi sawa. Ni katika nchi ya kidikteta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.