Uchaguzi wa ubunge wa Afrika mashariki kupitia CCM umegubikwa kwa Rushwa .. Wagombea utoa Rushwa kati ya Tshs 2 Milion hadi 5 Milion.
Wagombea wanaongoza kwa kutoa takrima ni Ndg Adam Kimbisa na...
Kitendo cha Rais kutoa amri ya kiachiwa msanii ney na wimbo wake kuruhusiwa kupigwa ni funzo tosha kwa
1:Polisi
Aikuchukua muda mrefu mukamtia ney mikononi na kumleta Dar sasa Rais anataka mutumie...
Kuna Mijitu mijinga Jinga Kama Joshua Nassari wakati Lema akiwa Ndani kwa amri ya Maonevu ya Magufuli yeye yuko akijipitisha Pitisha Mananilii na Akina Magufuli na Majaliwa, Basi Mpuuzi akakubali...
Nikiri kusikitishwa na Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali(CAG) aliyoiwasilisha leo kwa Rais Magufuli. Kipande kilichonisikitisha hasa ni kile kinachoihusu TANESCO.
CAG Prof. Mussa...
Kesho inabidi Rais Magufuli amuombe msamaha mwanamuzi Ney kwa kitendo kilichofanywa na watu waliochini ya mamlaka yake na kumsababishia Ney usumbufu mkubwa kwake yeye binafsi na familia yake...
*Yah. RC Makonda na Masahibu*
Ukweli utabakia kuwa ukweli, hapa tatizo sio vyeti! Tatizo ni kuwashika pabaya watumiaji na wauzaji wa Madawa ya kulevya.
Maana aliwahi kuwa Rais wa vyuo vikuu...
Zamani nilikuwa navutiwa sana na mwanasiasa machachari, msomi, mwenye kujiamini na mdhubutu kusema na kusimamia anachokiamini. Huyu si mwingine ni mhe. Zitto kabwe.
Zitto kabwe alikuwa akianza...
HATUA 12 ZA BUNGE KUMUONDOA RAIS MADARAKANI.
SEHEMU YA I: UTANGULIZI.
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kisheria na kikatiba lina mamlaka ya kumuondoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
Nikichukua mfano kutokea Indonesia wao kufikia mwaka 2020 wameingia mkataba wa ujenzi wa copper smelter plant 2 na inaenda kugharimu kiasi cha $4 billion hii ni taarifa ya maofisa wa serikali...
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA(TANESCO)
TAARIFA YA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA UMEME - KIGAMBONI
Shirika la umeme nchini Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wote Wilaya ya Kigamboni kuwa...
Serikali lazima ijitazame sasa,hii siyo picha nzuri kiuongozi!
1.Jeshi la polisi linakamata(wizara ya mambo ya ndani),Baraza la sanaa la taifa linafungia(wizara ya habari,utamaduni,sanaa na...
Nilipata kusema wakati nachangia uzi fulani kwamba, kama rais anahitaji kupata front page basi itamlazima kufanya matukio yanayohitajika na watumiaji wa habari na hivyo kupelekea magazeti...
Mh.naomba utupe feedback juu ya agizo lako la kutaka mtu aliemnyoohea Nape bastola akamatwa na kuhojiwa kutokana na kitendo kile.
Sitarajii ingechukua hata masaa kumkamata na kumuhoji huyo mhusika.
The Tanzania government has imposed a TZS 1,000 monthly charge on Sim cards. According to the Mobile Operators Association of Tanzania (MOAT) the monthly charge which took effect on 01 July...
Yule bwana mwingine alikuwa mpole sana hadi akaitwa 'dhaifu'. Yeye alikuwa hatengui tengui teuzi zake.
Yeye ilikuwa mtu akipwaya sana anapewa muda mwingi wa kujirudi. Hali hiyo ilipelekea yeye...
Serikali yasema imeanza mchakato wa kununua meli mpya itakayotoa huduma ndani ya ziwa Victoria.
Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amewahakikishia wananchi katika...
Licha ya vita iliyoanzishwa na mkuu wa mkoa kisha Rais kumteua kamishna wa kupambana na madawa hayo, biashara ya madawa ya kulevya bado imeshamiri Dar, mateja bado wananunua dawa hizo japo wanadai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.