Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ, Mhe. Haji Omar Kheri, amesema Zanzibar ina mpango wa kuweka Camera za CCTV katika baadhi ya Maeneo Zanzibar katika kukabiliana...
Mwenendo mnaokwenda nao ni kuhamasisha vurugu kubwa isiyowahi kuwapo hapa nchini. Haiwezekani wabunge na viongozi ambao wanafaa kuwa mfano wa kuiga leo wanageuka kuwa kioo cha utovu mkubwa wa...
Salaam wakuu, kwanza poleni sanaa kwa uzuni tulizonazo kwa kuondokewa na mzee wetu Ndesamburo
Niende kwenye lengo kutokana na vuta nikuvute kati ya Bulaya, Mdee na Mnyika
kamati ya maadili...
Ni habari za kuaminika kwamba mipango imekamilika kabisa kama CCM watamteua Lowasa kugombea urais kupitia chama hicho basi kundi la Sitta litaunganisha nguvu na CHADEMA kuhakikisha CCM inapotezwa...
Wadau naomba tusaidiane kuliokoa Bunge letu japo Kwa ushauri.Bunge letu kuyumba Na kutokuwa imara kama mabunge yaliyopita tatizo ni nini?
Elimu ndogo Kwa wabunge wetu?
Kuwa la kichama sana Kwa...
LEO taifa linaadhimisha kifo cha muasisi wa taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere.
Katika maadhimisho haya hotuba mbalimbali hutolewa, shughuli mbalimbali hufanyika, ibada na kuweka mashada ya maua...
MH. NDUGAI, TOKA LINI UMEKUWA RPC, KAMANDA SIRO AU AMIRI JESHI KUU?.
Kwanza nianze na kuwapa pole wale Askari wa bunge waliondolewa bungeni kwa kosa la kuchelewa kumkamata na kumtoa nje Mh...
Bunge letu limetoka mbali sana, ila niatajikita katika bunge la vyama vingi, bunge ili limeanza Mwaka 1995, kuwa na Wabunge wengi wa upinzani.. Matarajio yetu sisi wananchi kungekua na mambo mengi...
Baada ya yule Prof. kuwa katibu mkuu, na sasa Anna Mgwira, bila shaka itafuata zamu ya Zitto Kabwe. Hivyo Mh. Zitto Kabwe anaungana rasmi na waheshimiwa Lyatonga, Ahamadi Rashid, Lipumba, Lamwai...
CHADEMA IMENUNULIWA, UKAWA IMEKODISHWA, BORA LENDE!
Naona kuna upotoshaji mkubwa unafanywa na watu dhidi ya chama chetu cha ACT, nafikiri kuna haja ya kuweka mambo sawa au kukumbushana tu, sababu...
1. Kuwatetea wanaCCM waliopewa adhabu kuliko wanaCCM wenyewe kiasi cha kutoa cheo cha ushujaa kwa wanaofukuzwa ama kupewa adhabu kutokana na kwenda kinyume na chama cha CCM.
2. Wanamchukia Prof...
Kwanini asinge unganisha lake chala lake jipe akapindisha kuicha maranu Kenya. Swali maranu kuna nini?
Alikuwwa na interest gani kukata vitu vyote vizuri kama lake chala, mt. Kilimanjaro,lake...
Salaam wakuu,
Siku mbili baada ya Rais John Magufuli kupokea ripoti ya Kamati ya Prof.Abdulkarim Mruma, iliyochunguza mchanga wa dhahabu unaosafirishwa nje ya nchi, Katibu wa NEC Humphrey...
Dar es Salaam. Viongozi wa dini wanajiandaa kumpa tuzo Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kwa utendaji mzuri uliojaa ubunifu na uwajibikaji.
Hayo yameelezwa katika...
Kutokana na geographical nearness ya Arusha na Moshi kuwa ni Mwendo wa Lisaa Limoja hadi Moshi. Mrisho Gambo ameamua aache shughuli zake zote za Leo na kwenda Kuhuduria na kutoa Pole Kwa Familia...
Kwa muda mrefu nimekuwa mfuatiliaji wa siasa hasa za wabunge hapa Tanzania. Wakati bunge linarushwa mubashara vipindi vya jioni vilikuwa havinipiti na nilifanya jitihada kupata kila...
COORDINATOR
Sn. Position Quantity 1 Training Coordinator 1
a. Reports to: VTC Principal
b. Job purpose: To effectively and efficiently administer and maintain trainees’ enrolment, registration...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.