Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.6K
Threads
7.6K
Posts
193.6K

JF Prefixes:

Naibu Katibu Mkuu wa CUF-Chama Cha Wananchi, Zanzibar, Mhe. Nassor Ahmed Mazrui, atakuwa Live na Mkutano na Waandishi wa Habari katika Ukumbi wa Ofisi ya Makao Makuu, Vuga, Mjini Unguja. Kupitia...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Kupitia mwaka wa fedha 2016/17 serkali ilitenga fungu la kuweza kuajiri watu zaidi ya 70000 bunge hilo la bajeti lilihizinisha kiasi hicho lakini mpaka sasa ninauhakika kiasi hicho kijatumika...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Ndugu zangu, nimeshindwa kuelewa kwanini benki kuu wanaposti report ya hali ya uchumi ikiwa na makosa, kwa kukopi na kupaste kile walichoripoti mwezi uliopita. Katika repoti ya hali ya uchumi ya...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Ni kweli kwamba biashara ya viroba ilikuwa biashara halali,na ilikuwa na leseni zote. Katika kipindi ambacho biashara hiyo ilikuwa halali,kuna wafanyabiashara walinunua stock kubwa na kuweka...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
MAGUFULI WAKATI POVU LA MDOMO LIKIKUTOKA NA “KA-TA” UMEME ZANZIBAR KWA DENI LA BILLIONI 121 TUNAKUKUMBUSHA KUWA TANESCO INAENDESHWA KWA RASLIMALI ZA MUUNGANO IKIWA NI PAMOJA NA KODI YA MAPATO...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Uchumi waathiri sekta za kilimo na viwanda Tanzania 28 Februari 2017 Mshirikishe mwenzako Ripoti mpya ya Benki Kuu ya Tanzania inaeleza jinsi ukuwaji wa taratibu wa uchumi wa taifa ulivyo athiri...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna wakati unaweza ukaona vyema Ikulu kuongozwa na genge la wahuni wenye hofu ya Mungu na maadili kwa wananchi kuliko ikaongozwa na Mtu mmoja anayejipa ufalme na ukuu wa miliki zote hadi zisizo...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Habarini Ningependa kuweka kumbukumbu sawa kuwa wale wabunge wawili wa CCM na Chadema wa mkoa wa Mara waliomuudhi Mh.Rais kwa kuachiana mda wa kuongea bungeni walikuwa wakichangia kuhusu...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Kama kawaida nikiwa mdau wa masuala ya Siasa za Tanzania nimeona ni jambo la Afya kwa pamoja tukijikumbusha na kuziangalia sifa zinazozingatiwa wakati wa Uteuzi wa mgombea wa Kiti cha Ubunge...
1 Reactions
15 Replies
13K Views
"Katika mazingira ya sasa kwenye sekta ya afya huko nchini Kenya, kukubali kuajiriwa nafasi ya udactari Kule, ni Sawa na uvamizi wa AJIRA za wenyeji, siyo hivyo tu, Bali ni Sawa na uharamia dhidi...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Sakata la kushikiliwa kwa mfanyabiashara maarufu nchini, Yusufu Manji limeendelea kuchukua sura mpya, safari hii yakiibuka mabishano Mahakama Kuu baada ya Serikali kukana kumshikilia...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Ha ha ha ha, siasa ni maisha, siasa ndo kila kitu, ukiweza kuzicheza vzr bac mambo yako yatakunyokea tu! Hawa ni magwiji ambao wamekuwa mahili sana ktk kuzicheza turufu zao kwenye siasa zetu wkt...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Nina uona ushindi wa Baba Jesca kuwa chini ya 40% ifikapo 2020. J.K kipenzi cha watanzania mtoto wa mjini ushindi wake ulishuka kutoka 80.28 Mwaka 2005 mpaka 62.83 Mwaka 2010 likiwa ni anguko la...
4 Reactions
15 Replies
5K Views
Nape bado ni kijana mdogo, ana nafasi ya kujiimarisha zaidi kisiasa. Binafsi ningemshauri kuungana na Benard Membe, Sophia Simba na Mama Salma ili kujiimarisha zaidi na kuhakikisha wanaiteka kanda...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Moja ya sifa kuu za kiongozi wa taifa nikulinda umoja na amani ya watu wake. Kiukweli kabisa Mh Magufuli hili tayari limemshinda na sasa taifa kila mtu anasema la kwake. Umoja wetu, mshikamano na...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Push-Up Anniversary! Ubishi Unaendelea.Sasa Leo Warudi hapa...! Leo ni Mwaka Mmoja Tangu mgombea Urais wa CCM John Pombe Magufuli alipoongeza nguvu katika kampeni zake za Urais kwa kuaminisha...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Arusha. Mbunge wa zamani wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo ni miongoni mwa makada wawili wa Chadema waliojitokeza kuwania uenyekiti wa chama hicho kanda ya Kaskazini. Katika uchaguzi huo...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Unaweza Ku imagine mtu kajeruhiwa damu inatoka puani na mdomoni,halafu wewe unakuja kuzuia damu isiendelee kutoka kwa vile itaisha.Wazo lako ni zuri.Ila unapoziba pua na mdomo ili kufanikisha...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Salam! Moja kwa moja kwenye mada. Ubakaji (kutoka mzizi wa Kiarabu) ni tendo la kumlazimisha mtu afanyiwe asichokubali. Juzi juzi hapa,media zimelalamika kufanyiwa vitu wasivyovikubali,aka...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom