Chama cha chadema kimefanya kazi ya ziada leo hii mitaa ya mbezi baada ya kupokea taarifa kutoka kwa wasamaria wema kuhusu hujuma zinazofanywa na wafuasi wa ccm, mpaka sasa mtuhumiwa anahojiwa...
Mapambano dhidi ya Rushwa ni suala la Kisera linalohitaji utashi mkubwa sana wa kisiasa kwenye kuyafanikisha. Tangu enzi za "Tume ya Rushwa" iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba, mahakama ilitajwa...
LHRC wamepinga kuongezewa mkataba wa uzalishaji umeme wa kampuni ya Independent Power Tanzania Limited,
Wanasema kampuni hii inahusishwa na kashfa ya uchotaji wa mabilioni kupitia akaunti ya...
Tangu kuingia mfumo wa vyama vingi nchini tutakumbuka kuwa kulikuwa wanasiasa wa upinzani wenye vipaji vya kuongea na wapangiliaji wazuri wa kuisema serikali ya chama tawala lakin mwisho wa siku...
Kitendo cha CCM kukurupuka na kuanza kunadi majukwaani kuwa matukio ya mauaji yanayoendelea huko ni ya kisiasa hakika tumefeli kabisa, na Tatizo hili tutapata taabu kulimaliza.
Tunashindwa...
Wabunge wetu hakika hawajielewi, nadhani kujua kwao kusoma na kuandika ndio matokeo ya yote haya. Katika mazingira ambayo serikali imefeli sana katika utekelezaji wa bajeti iliyopita unapata wapi...
Katika Biblia Takatifu, kwenye kitabu cha Mwanzo 4:1-10 tunakutana na simulizi la kusikitisha la Ndugu wawili wafahamikao kama Abeli na Kaini, kutokana na wivu, Kaini anamuua Ndugu yake, na...
Kuna makosa makubwa tena fanywa na polisi ,
Wachangia maada hapa n.a. wanachama wavyama cha siasa.
Polisi:mnapo pewa information ya kikundi fulani kina husika hiyo information iwe siri.mkiaambiwa...
Wabunge ni miongoni mwa watu wanaoutumia sana mtandao wa Jamii forum, hivyo nimeona kupitia thread hii ni raisi kwa Wabunge kusoma yale yanayoendelea na kusemwa juu yao.
Ukipita mitaani,sokoni ...
1. Wananchi waelimishwe tena wazi wazi kwamba askari kama hana kitambulisho asiruhusiwe kuondoka na mtu au kumkamata (isipokuwa kama amevaa mavazi ya kiaskari). Tunapoelekea hao wajulikanao kama...
Nina imani kubwa sana na idara ya usalama wa taifa TISS ktk Utendaji kazi wake, mauaji ya kibiti, ni mauaji ya kishenzi na kikatili Sana.
Wauaji wanaonekana kuwa ni kundi hatari Sana ambalo...
Hizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro
Ukweli ni kuwa...
Mama Anna Mghwira Mkuu mpya wa Mkoa wa Kilimanjaro aitembelea familia ya Ndesamburo na kutoa pole kwa wafia kwa kusaini kitabu cha maombolezo alipowasili mkoani hapo kuanzia kazi baada ya...
Maneno yangu ni kiduchu tu!
Mh Tundu Lissu alishasimama kidete muda mrefu kupigania mikataba mibovu ya madini nchini, aliitwa mchochezi na kisha akafungiliwa kesi mahakamani.
Hivi sasa wengi...
Nimeona taarifa ya ikulu jumatatu ile kamati ya rais ya pili kuhusu madini itawasiisha ripot yake na vyombo vyote vya habari vitakuwa mubashara.
Ni japo jema sikatai,Ila lazima Watanzania muwe...
Bunge letu lina wabunge wa kambi ya upinzani kutoka vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR-Mageuzi na ACT-Wazalendo.
Ikumbukwe kuwa CCM ina wabunge 276, CHADEMA ina wabunge 72, CUF 42, NCCR-Mageuzi 1 na...
Kupitia TBC Habari Waziri wa Mambo ya ndani ameamuru jeshi la polisi kuachia magari yote yaliyokamatwa kwa kosa la kutokulipa kodi ya leseni ya barabara.
Mwigulu akiwa katika mkutano wa hadhara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.