Najiuliza sana maswali kuhusiana na wabunge waliohusika na kupitisha mikataba yenye ukakasi kwa kupiga kelele za "ndiyooooo"
Wengi wao(bila shaka) hupiga hizo kelele bila hata kujua yaliyomo ndani...
1. Ni utani ulioje kwa aliyekuwa wa kwanza kuitikia ndioooooooooooooo! kwa lisauti la kuunguruma na kushangila miswaada kupita pia akifurahia wapinzani kufukuzwa nje ya geti la bunge leo...
Kampuni ya Acacia iliyoenda kinyume na Makubaliano kuhusu mchanga wa Madini ipo kwenye mkakati wa kupunguza wafanyakazi hasa kwenye sekta ya ulinzi. Inadaiwa watu 400 wataondolewa.
Chanzo: The...
Wakuu, nikiwa kama Mtanzania mwenye uchungu na nchi yangu huwa nasikitika sana jinsi akina Lissu, Mdee, Zitto, Kafulila nk jinsi wanavyodhihakiwa huku wakitetea maslahi ya Watanzania.
Binafsi...
Jana nilikuwa makini kuangalia Tv ili kujua ripoti ya Tume ya pili juu ya uchunguzi wa mchanga pamoja na ushauri wa nini kifanyike.
Raisi aliongea kwa uchungu sana, na mwisho akasema Watanzania...
habari wadau.
jana nimemuelewa rais wangu kipenzi why hataki wamachinga wasumbuliwe.
maana wanahangaika wapate ugali wao tu sababu rasilimali zao zote kama watanzania viongozi mnaziiba na bado...
Ni mbunge wa Bariadi Mashariki, Mhe Andrew Chenge ameapa kuwashughulikia mafisadi wanaoshindwa kufuata taratibu katika kutekeleza majukumu yao wilayani humo atawashughulikia kwani yeye ni ndie...
hii barua inautata .. huyu mwandishi alikuwa amekurupushwaaa au ndio mwisho wa ufahamu wake??
barua imeandikwa 29 may 2016 ikijibu barua ya 04 may 2017....????
ACACIA imeundwa kimkakati ili ikitokea chochote haswa kesi za ukwepaji kodi au utoroshwaji wa maliasili iwe ngumu kuiwajibisha kisheria. Ni dhahiri kuna watu ndani ya Tanzania wamevuta pesa ndefu...
1. wakati miswaada hii ya kijambazi inapelekwa bungeni kwa dharula upinzani ulitolewa nje ya bunge kwa amri ya maccm ili yaitikie ndiooooooooooo na mkulu akiwa wa kwanza kwa sauti...
Ni kweli yawezekana kuwa kujiuzulu Uwaziri kumepokelewa kwa furaha na wengi (mimi mmoja wao). Yawezekana kwa kufanya hivyo uchunguzi utakuwa huru (sidhani alikuwa anazuia uchunguzi anyway)...
Wakati Mahakama ya Kisutu imetoa arrest warant leo Chenge akamatwe, Kikwete anaingia jimboni kwake Bariadi Magharibi kumnadi kama alivyofanya kwa Mramba na Lowassa.
Mahakama imeona kuwapo kwa JK...
Leo hii picha ingekuwa na maana sana. Na mimi ningelia maana haya malori yote yangukuwa yetu 100 % tuliyochimba sisi....
Kwa nini pamoja na utajiri wote tuliougundua tunao tume haikutoa wazo la...
Katika kile ambacho wachunguzi wa mambo ya kisiasa wamekiita tukio la kimapinduzi na mwanzo wa mabadiliko mapya ndani ya CCM, Mgombea wa Urais kwa ticket ya CCM Dr. John Magufuli amefanya kile...
Wakuu,
Tumesikia watu wakishangaa Benki Kuu kuwa na PhD holders 17 lakini hawakurekodi dhahabu kama export yetu kwa muda wote huo. Sasa na mimi ningependa kujua, mabaraza ya mawaziri kwa nyakati...
Kwa Nguvu Kubwa inayooneshwa na huyu mama ni Wazi Kuwa Chadema watakua na Maumivu mengine mtu asiyeweza Kutembea kwa gari Nchi nzima ama kuhutubia kwa angalau dakika 8 atakua akigombea Urais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.