Baada ya Magufuli kuingia kama kiongozi wa awamu ya tano; bila shaka na sote ni mashahidi kuwa ameleta changamoto kubwa sana katika public sector na Taifa zima kwa ujumla.
Nchi yetu ilikua...
wakuu
Nchi inahitaji saaana busara na hekima toka kwa wazee, hivyo tunawazee ambao ni wakongwe na wabobezi wa siasa tunahitaji kusikia sauti zao zilizojaa nasaha!
Ni dhahili sasa nchi imepitia...
Amani ya Bwana iwe nanyi wapendwa
Kabla ya yote husika na kichwa cha habari hapo juu
Najua hizi ni habari mbaya sana kwa ndugu zangu watetea wezi
Ukweli ni huu hapa, uchaguz ujao Lissu huna...
Jimboni kwake tuna shida nyingi, tena siyo shida za kukalia kimya. Tunapatwa na mshangazo kuona mbunge wetu kuwa kimya. Ukimya huu labda ungefanywa na mbunge ambaye jimbo lake walau...
Waziri mkuu amepokea pole kwa mauajiyanayofanywa Kibiti na sasa wanahakikisha wanawapata wahalifu halisi ili kuepuka kuingiza watu wasiohusika kama watu wanavyoleta hisia kuwa mauaji hayo...
Mwigulu Nchemaba amesema anaweza kufungia taasisi zinazopingana na kauli ya Rais aliyoitoa huko Pwani na kusema hayo yalikuwa ni maelekezo na sio maoni na hawahitaji mjadala
Amesema msimamo ni...
Kama lengo la serikali ni kutunza maadili na kuzuia ngono katika umri mdogo basi justice for all!Sio wale watakaotiwa mimba tu!Napendekeza watoto wawe wanapelekwa hospitali kila mwanzo wa mwaka wa...
Awamu ya tano ipo kuuwa Upinzani kwa nguvu si kwa sera, kuweni Makini.
CUF ni mwanzo tu, yafaa kuungana kuipigania CUF ili wasione ni njia ya kuuwa Upinzani,
Yafaa kuishitaki Tanzania hata...
Kimsingi nimewahi kufanya kazi na serikali zote, lakini hii ya awamu ya tano ni kiboko. Haya ni baadhi tu ya mambo ya uwongo ambayo waliwahadaa watanzania; .
1: kila kijiji kitapewa milioni 50...
Wana jf wenzangu
Idd Mubarak
Awali ya yote ninamshuru mwwnyezi Mungu kwa kunipa afya njema Leo tena.
kuna mambo kadhaa ambayo kama mkulu asipokuwa makini na kuyarekebisha atajikuta anafanya kazi...
Ulokole wa Mwigulu Nchemba hatari kwa usalama wa Taifa
Tanzania ni Taifa lisilofungamana na dini yoyote kwa mujibu wa Katiba yetu (1977), katika ibara ya 3. Lakini, kila kukicha, utamsikia Rais...
Waziri Nchemba awatisha wanaopendekeza Wanafunzi wazazi kurudi shuleni
Chanzo: swahilitimes.com
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba ametishia kuzifutia usajili asasi zisizo za...
Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni ugaidi (terrorism).
Lengo la ugaidi ni kuwatia watu hofu na kufikisha ujumbe kwa wengi kwa njia ya hofu.
Matukio yanayoongelewa sana kwenye vyombo vya habari...
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam, imeufuta mtaa uliopewa jina la mchezaji wa Kimataifa wa Kenya katika Kata ya Ubungo jijini Dar es Salaam.
Kamati ya Kata ya Ubungo jana...
Wakuu viongozi wa Dola, heshima kwenu.
Kuna hili suala Kila siku mnahimiza wananchi kulipa kodi.
Ni jambo jema Sana, kwani kodi ni msingi wa maendeleo kwa serikali bora, serikali inayotumia...
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF–Chama Cha Wananchi)
TAARIFA KWA UMM A NA VYOMBO VYA HABARI
Imetolewa leo Tarehe 25 June, 2017
VIONGOZI WA CUF, WANACHAMA NA WANAPENDA MABADILIKO NCHINI MPUUZENI...
Uhuru wa kujieleza nakupata Habari uko Kikatiba na Kimataifa pia tumesaini Kama Haki za Binadamau, Uhuru wa Vyama vya Siasa Upo kisheria Tanzania na Duniani kunamikataba Tumesaini ya Uhuru wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.