Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.6K
Threads
7.6K
Posts
193.6K

JF Prefixes:

Rais kasema hawezi kunyonga! anaogopa kunyonga kwakuwa anamuogopa Mungu!!. Sasa kwakuwa wapo hadi leo walio hukumiwa kifo,inamaana wataendelea kula bila kufanya kazi kwa kipindi cha miaka 8! na...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Miaka zaidi ya 18 sasa toka baba wa taifa atutoke naukumbuka sana mwaka huo 1999 wakati radio tanzania ilipotoa tangazo la kifo chako yalikua ni majonzi ya hali ya juu kwa watanzania wote na watu...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Bw. Kailima Ramadhan amewaasa wadau wa uchaguzi kuhakikisha kuwa uchaguzi mdogo wa madiwani utakaofanyika katika Kata 43, Novemba 26...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Tangu uchaguzi wa kanda ulipomalizika na ndio ilikua mwisho wa kusikika sosopi akilalamika demokrasia kuzingirwa na uongozi wa chadema taifa,hasikiki tena kiongozi huyu kijana haijulikani nini...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
TUMTENDEE HAKI LISSU Kwa wale walioamua kumponda au kumkebehi Lissu eti tu kwa maamuzi ya Serikali na Acacia hawamtendei haki. Kwanza Lissu alikuwa hashindani na mtu yoyote isipokuwa alikuwa...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Wale tuliobeza makubaliano haya tujifikirie upya !Tuendelee kushikamana kama watanzania na wazalendo. Tuwapuuze watu kama kina Zitto ambao ni wasaliti na watetezi wa matumbo yao. Hebu tusome...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Salamu wanajamvi! Naam! Ndivyo unavyo weza kusema. Hujafa hujaumbika. Usemi huu umesadifu barabara mazingira ya Nchi yetu kwa sasa kiuchumi na kisiasa.Niwarudishe nyuma kidogo, miaka ya 60 , na...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwa muda sasa niliamua kukaa kimya tu, nisitoe mchango wangu wa kisiasa, hasa siasa za nchi za kiafrika. sababu kuu ni kutoridhishwa namna siasa za kiafrika zinavyoendeshwa. Lakini baada ya kale...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Ndugu wanabodi,habari za asubuhi!!!!!!!!!!!!! Kwahali inayoendelea sasa katika nchi yetu kuna muhimu umuhimu kwa waastafu wote kwa kila idara waje watusaidie kutoa ushauri jinsi kuendeleza...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ziara ya Kagera, Magufuli chagua pia mwenyewe ambako ungetaka kwenda, yaoonesha wasaidizi wako hawapendi uje huku makwetu Rusahunga - Ngara kwani bila shaka utawatumbua tu. Mh. Rais ilikuwa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Sote tunakumbuka jinsi Rais alivyokaa muda mrefu kabla ya kuunda Baraza la Mawaziri. Lakini sote pia tunakumbuka kwamba Baraza hilo la mawaziri limebadilishwa mara kadhaa kwa wengine kuondolewa na...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
2 years on: Tanzania’s Magufuli isn’t a bulldozer. He’s a magician. BY DAN PAGET NOVEMBER 6, 2017 President John Magufuli hasn’t just “pushed through” change. He’s achieved things that were...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Leo hii sisiem wamelazimika kuhutubia miti na nyasi kwenye kampeini za udiwani kata ya murieti baada ya wananchi kuwasusa,asanteni sana wana wa A town
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Kabla ya mechi ya marudiano kati ya South Africa na Senegal kuanza, wachezaji wa South Africa walifanya mazoezi ya kupasha misuli wakiwa na fulana zenye kutangaza utalii wa nchi yao. Jezi zilikuwa...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenu wote, wote tumejionea matendo na mienendo tangu serikali hii iingie madarakani. Maslahi ya Wafanyakazi yamepuuzwa sana kwa kuleta visingizio vya uhakiki ambao si kweli, pia imeelekea...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Najiuliza tu endapo kila Waziri atasimama bungeni na kusema " sasa naiagiza Takukuru imshughulikie/ chunguze fulani" ina maana hao Takukuru wanasubiri kuagizwa na si kuinitiate wao wenyewe...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Takribani miaka miwili nimekuwa nikifatilia mienenendo na tabia za upinzani na watu walio ndani ya upinzani nimegundua ni watu wasioleweka japo sio wote . Tangu mwaka 1995 hadi 2015 takribani...
6 Reactions
16 Replies
991 Views
Wachambuzi karibuni. Mwl. Nyerere alisema,ili tuendelee tunahitaji mambo kadhaa,muhimu ikiwa ni Ardhi, Watu ,Uongozi bora na Siasa safi . Hapo kwenye kuendelea,naamini alimaanisha ni pamoja...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom