Serikali yatangaza miradi mikubwa minne ya umeme.
Na Freddy Azzah, Mwananchi
WAKATI taifa linakabiliwa na upungufu mkubwa wa nishati ya umeme, serikali imetangaza mpango mkakati wa kutekeleza...
Matokeo rasmi mpaka sasa Chadema inaongoza kata 10 kati ya kata 19. Tayari barabara kadhaa zimefungwa kutokana na watu kujaa wakishangilia. Mgombea ubunge wa Chadema Lema yupo katika kituo cha...
Nimekuwa nafuatilia michango ya wabunge vijana wa ccm kwa muda sasa, nilichogundua ni kwamba ccm kuna wabunge vijana ambao kwa hakika ndio watakaokuwa chachu ya ushindi 2015. Wabunge hao si tu...
, Apr 15th, 2012
Tanzania / Tanzania | Sunday, April 15th 2012
Makongoro Nyerere
A tough battle to the East African Legislative Assembly started officially here yesterday as the relatives...
Hoja ya j.makamba imemezwa, wajane wana nyanyasika, kigamboni imekufa nakuingia mdudu hatari wa siasa, magari yaliyotolewa na world bank kwamsaada wa kushuhulikia mambo ya ardhi ymeshindwa...
Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimedai kunasa waraka wa siri wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaokwenda kwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya, Jaji Joseph...
Baada ya kupita maeneo mbali mbali ya nchi yangu ya Tanzania nimegundua nchi yangu ni nzuri sana yenye rasilimali nyingi ila haina wawakilishi bora mfano mzuri baada ya kuzunguka nimegundua kuwa...
Naona kuna utaratibu mpya umeanza kwa mtu akitaka kuwa balozi wa nyumba kumi lazima awe kada wa CCM na awe na wanachama hai wa CCM wasiopungua 50.
Je kwa wale ambao si wana CCM ina maana...
Bongo raha sana,yule mwizi na mwezeshaji wa wazungu wezi naye anashika tama kwa masikitiko makubwa akishangaa jinsi tunavyoibiwa!
CCM ilipewa dola,vyanzo na vyombo vya kila namna kulinda...
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe. Ayoub Mohamed Mahmoud Akimpokea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa...
Wakati tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa kwa Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu likiwa halijapatiwa ufumbuzi juu ya akina nani waliohusika, chama hicho kimepaza sauti kikitaka...
TORONTO, CANADA: Shirika la Royalty Exploration Corporation limepongeza Rais Magufuli.
Hivi karibuni Serikali ilipitisha sheria mpya iliyoundwa ikilenga kuongeza mapato ya serikali na kutoa...
Naomba Bw.Kafulila atuhakikishie iwapo ataweza kuibua tuhuma za UFISADI akiwa ni Kada wa CCM.
Naamini wengi wanaofanya ufisadi ni watumishi, WATENDAJI au makada wenzake je Ana ushujaa huo...
SASA NIMEELEWA MWONGOZO ( BLUE PRINT) YA TANZANIA YA VIWANDA YA RAIS MAGUFULI ,WATANZANIA TUMUUNGE MKONO.
Ndugu ,
Watanzania Na Wanabodi
Huu ni mwaka mpya wa 2018, ambao sasa ndio...
Chama cha upinzani hutarajiwa kuwa na katiba, dira na sera zilizo kamilifu sana kuliko chama tawala. Hii ni kwakuwa upinzani kujijenga katika msingi wa kuboresha yaliyo mapungufu ya chama tawala...
Wadau, amani iwe kwenu.
Upinzani sasa umekufa. Umevurugwa na umevurugika. Kadri siku zinavyoenda CCM inazidi kupendwa zaidi na wananchi. Hii ni kutokana na kuwa na sera madhubuti pamoja na ilani...
Mlio karibu na viongozi , mnaoweza kuongea nao,hata Rais, washaurini wapitie JF waokoteze moja, mbili.
Mwenye Mungu wa kweli atajifunza kitu! Mwenye shetani wa kweli ataondoka patupu!
Mh Mayor wa Ubungo atakuwa ndani ya East Africa Radio na Zambwela katika kipindi cha super mix leo tr 19 April 2019(Ijumaa)
Fuatilia kwa karibu kuazia sa 4:30 asubui hadi saa Sita mchana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.