Humu ndani, kuna watu wakiona Hayati Julius Nyerere, the First Preisdent wa URT anasemwa vibaya basi wanakuja juu!! Kinachonikera mimi, ni wengi wao kuhusisha na imani za dini!
Kwamba, mtu...
Wana JF,
Bahati mbaya nimekuja wakati mjadala ukiwa tayari umefungwa na sikuweza kupata fursa ya kujibu baadhi ya hoja ambazo kimsingi zilikuwa zinatakiwa kupewa majibu. Mwanzoni sikutaka...
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha...
Kwanza kabisa niwashukuru wafanya kazi wote mnaendelea kuchapa kazi japo kamshahara kadogo sana lakini leo nimeamua kumwambia mheshimiwa kuwa wafanyakazi wote tumekuchoka na kama hali hii...
Nimetafakari, nikaona nipate pia mawazo wanafikra weledi juu ya baadhi ya kauli zenye utata za viongozi kwa wananchi
Je, huu ni uungwana kweli?
Kauli tata za vingozi wa Tanzania
Mtakula nyasi...
Nayasema haya bila kupepesa macho wala kutikisa masikio. Nasema na kuamini kuwa kama CHADEMA ikimpokea Edward Lowassa kuwa mwanachama wao,CHADEMA itakuwa inajifuta kwenye ramani za siasa za nchi...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation ambayo ni mmiliki mkubwa wa kampuni ya...
Wakuu nimeipata hii youtube, inatisha na huwezi kuamini.
mikakati mikubwa inachorwa na kutekelezwa na watu tunaowaamini ni wanamapinduzi na wanamageuzi.
Hii sasa hatari.
Jionee na kusikiliza...
Guys I am informed there’s a guy shooting randomly near Stanbic Bank, anyone with more news?
Inadaiwa kuna watu wameuawa. Ni Karibu na Makao Makuu ya Stanbic.
========
Mtu mmoja ambaye...
MATOKEO - LIVE:
Wakuu,
Tunawaletea matukio na matokeo rasmi kwa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yatakavyokuwa yakitangazwa.
Orodha rasmi ya wagombea...
If the theory hold kwamba next president atatokea Bara na atakuwa mkristo, na kama utabiri wa siasa za Tanzania utaendelea kuwa sahihi kama ilivyokuwa kawaida ya nchi yetu, kiongozi ambae...
Baada ya bunge kwenye kikao cha asubuhi kusema swala la Escrow limeingizwa kwenye ratiba na ripoti itawasilishwa kuanzia jioni ya leo. Tujumuike kwa pamoja kuhabarishana yanayojiri jioni hii...
Niliwahi kusema hapa kwamba Rais alipiga kura kuwaunga mkono Hamas kwa msukumo wa dini wengi mlitoka povu. Kuna video inasambaa ktk mtandao wa X inatisha sana. Moyo wangu unavuja damu mtanazania...
Leo Chadema wameanzisha maandamano ya amani Arusha kupinga uchaguzi wa meya wa Arusha ambao haukufuata taratibu sahihi. Maandamano haya ni baada ya kupewa kibali na kamanda wa polisi wa Mkoa wa...
Imekuwa ni jadi na utamaduni kufurahia sikukuu hii na kuwaenzi waasisi wa Muungano wetu Mwalimu Nyerere na Mzee Abeid Karume kwa matamasha, gwaride na shangwe kebekebe.
Lakini imekuwa ni dhambi...
Baada ya Mh Lema kumtuhumu Mh Zitto kuwa ni MNAFIKI kwenye suala la POSHO na hana uzalendo wowote,
Mh Zitto Kabwe alijibu hivi:
Habari/tuhuma hizi sio za kweli. PAC ni marufuku kupokea posho...
Mwanasheria mkuu wa chama cha CHADEMA Tundu Lissu ametangaza kuvuliwa rasmi uanachama kwa mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam...
Baada ya CCM kushinda kwa kishindo uchaguzi wa 2005 sasa yaanikwa vikali kwa maovu ya mwaka mmjo tu wa kuwa madarakani, skendo zimekuwa nyingi wananchi wamefungua macho sikujua watanzania wana...
Safari inaendelea. Vitisho. Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku. Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko
Kuna watu hawa miongoni mwa wengi. Yeye anaandika "Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali...
Ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na Watanzania hasa wakazi wa Jiji la Arusha imewaadia ambapo Mgombea wa Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk. Magufuli atafanya mkutano mkubwa wa hadhara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.