WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk Augustine Mahiga ameuelezea Umoja wa Mataifa (UN), maendeleo ya kiuchumi ya Tanzania na kubainisha kuwa nchi imejiwekea malengo...
Tanzania ni moja kati ya nchi ambazo zina majaji wanawake waliobobea kwenye fani ya sheria na wameonyesha uwezo mkubwa katika kufanya maamuzi.
Kwa ajili hiyo hata dunia ilimwona jaji Mama...
Sijamsikia muda mrefu huyu mzee wala ule ukaribu sanaaa na Chama siuoni tena.
Naomba kujuzwa wazee wa Lumumba ni kweli bado katibu mkuu na kama bado katibu mkuu anafanyia wapi kazi zake au...
Ni ajabu sana watu wanahangaika kuiba au kushawishi diwani mmoja tu,wanaacha kuruhusu mikutano ya kisiasa ili wawavune wale maelfu waliompigia kura huyo DIWANI....
Na pia ni ajabu sana kumtuma...
Vurugu zimeibuka katika uchaguzi wa marudio wa kumpata mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM (UVCCM) Wilaya ya Nyamgana baada ya wajumbe kutoka Kata ya Mahina kuzuiwa kuingia...
Manji: Nimejiuzulu klabu ya Yanga kwa sababu ya dawa za kulevya na niliandika barua kwa DC Temeke kuachia udiwani
================
MAHAKAMANI: Dakika 215 za Yusuf Manji kujitetea kesi ya Dawa...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, kimezifuta barua walizoandikiwa madiwani sita wa Halmashauri ya Moshi, wakitakiwa kujieleza kwa usaliti.
Mbali na kufuta barua...
Kampuni ya MINOLACS ya Burundi imeahidi kuendelea kuitumia Bandari ya Dar es Salaam baada ya kuridhika na ufanisi wa hali ya juu wa kuhudumia shehena ya ngano Tani 12,000 za kampuni hiyo hivi...
Shukurani nyingi sana kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, hasa uongozi wa awamu ya nne, kwa ujenzi wa chuo kikuu cha Dodoma; chuo kikubwa A. Mashariki na kati. Chuo hiki kimetusaidia...
Watanzania tunadai maisha ni magumu sana, na tunailamu sana serikali yetu.
Jambo la kushangaza ni kuendelea kuongezeka kwa wageni tena wengi wao wanaoishi kinyume cha taratibu huko mitaani...
Rais Magufuli amewazungumzia wabunge wawili wa (CHADEMA) Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema pamoja na Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Mhe. Joshua Nassari kuwa ni wabunge halali wa majimbo...
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha imepokea tena maombi ya kukata rufaa nje ya muda kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Longido mkoani Arusha kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
Waziri Mahiga amesema amekutana na wajumbe wa nchi za Afrika, Asia, Ulaya&Marekani na wapo tayari kuja nchin kupata uzoefu kutoka kwa Rais John Pombe Magufuli
Jamani nimeona kwenye vyombo vya habari kuwa kuna kikao cha chama kinaendelea Ikulu. Sasa mimi najua wale wengine waliisha pigwa stop siasa mpaka 2020 na mikutano marufufu hata ile ya ndani ni...
Dar es Salaam.
Askofu wa Kanisa Katoliki Ngara, Severin Niwemugizi amesema yuko tayari kuitwa mchochezi endapo kundi la watetezi wa haki za binadamu watachukuliwa kama wachochezi.
Askofu...
WAHARIRI wa Gazeti la MwanaHalisi linalomilikiwa na Mbunge, Saed Kubenea lililofungiwa na serikali wamekanusha taarifa ya serikali kuwa gazeti hilo linaandika habari za uongo, wamedai kuwa wao...
Mpaka sasa sielewi kwa nini watu wamekuwa emotional na kulazimisha wafanye kazi serikalini
Mtu ushasoma na uko equipped ku survive kwenye dunia hii ya leo ambayo ni globalised na unaweza kutumia...
ASKOFU SEVERIN NIWEMUGIZI :ASEMA YUKO TAYARI KUITWA MCHOCHEZI
Askofu wa Kanisa Katoliki Ngara, Severin Niwemugizi amesema yuko tayari kuitwa mchochezi endapo kundi la watetezi wa haki za binadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.