2020 MAGUFULI KUKOMA URAIS
"Rais Magufuli ni bingwa wa kuvuruga. Amevuruga demokrasia. Amevuruga haki za watu. Na sasa anavuruga kwa kasi uchumi wa nchi. Tunatuma salamu kwake. Mwaka 2020 will be...
Huku nyuma kuna Mtu mmoja aliwahi kuniambia kwamba ni kheri Mtu akakupiga tu Ngumi ya moja kwa moja au Kukutukana tu Tusi la moja kwa moja ujue moja kuliko kuyafanya yote mawili katika mwamvuli wa...
WARAKA KWA UVCCM YA SASA NA MCHAKATO WA UCHAGUZI UNAOENDELEA
Na Hassan Bombokojr
Mwaka huu (mwezi December) ni muhimu sana kwa Jumuiya ya Vijana ya CCM (UVCCM). Ni mwezi ambao Jumuiya linaenda...
NOTE: Thread hii haijamlenga mtu yeyote yule, thread hii inalengo la kuelezea ugonjwa huu ambao inaonekana wanasiasa wengi wanao.
‘’Narcissistic personality disorder’’ ni aina ya ugonjwa wa utu...
Kwa mujibu wa vyombo vya habari ni kuwa ni marufuku vyama vya siasa kufanya mikutano ya siasa kwenye kampeni ya kuwanadi wagombea wa Udiwani nchini kote. Sasa, hapa nachanganyikiwa, utafanyaje...
Mpaka sasa sielewi ni kwanini Mh Kingwangalla aliamua kutumia dk zake kumi na tano kumparua makucha Nyalandu badala ya kujenga hoja jinsi ya kuimarisha na kuistaiwisha wizara yake.
Watu wengi...
Kwa kauli za Kigwangalla jana bungeni, huyu mtu ni hatari kuliko waovu wote Tanzania. Inawezekana "labda" kuna substance aliyoyasema, lakini kwa utaratibu ule, unaona kabisa kuwa huyu mtu ni...
Imeandikwa. Na atubuye dhambi husamehewa na hata ziwe nyekundu kama damu zitakuwa nyeupe kama theluji.
Kuna nyakati binadamu hasa sisi ngozi nyeusi tunaendekeza sana kuiishi leo kwa shibe ya...
Leo Waziri wa Habari, Dkt. Harisson Mwakyembe akiwa kwenye kongamano la “Vyombo vya Habari dhidi ya Taarifa za Uongo” amesema mitandao ya kijamii ni vijiwe na haviwezi kurasimishwa kama Vyombo vya...
Imesema wanasiasa wawanadi wagombea na watoe ahadi tu ya nini atawafanyia akiwa Diwani. Siyo kuwaambia wananchi udhaifu wa serikali.
Mrufuku hiyo imetolewa Jana na Tume ilipokutana na wawakilishi...
Siku ya jana mbele ya Mheshimiwa Jaji Wilfred Dyansobera wajumbe wa bodi ya Wadhamini ya CUF ya Lipumba waliitwa kusikilizwa maombi yao ya kumtaka Jaji Dyansobera ajitoe kusikiliza mashauri yote...
Dodoma. Mbunge wa Kibamba (Chadema), John Mnyika amesema bomoabomoa iliyofanyika katika barabara ya Morogoro ni haramu kwa sababu sheria ya barabara iliyotumika ilitungwa mwaka 1932 na...
NASUBIRIA SIKU AMBAYO NYALANDU ATAPEWA KADI CHADEMA .YAANI CHADEMA ITAKUWA NDO MWISHO WENU
HIVI CHADEMA HAMNA KAZI ZAIDI YA KUPOKEA MAFISADI?MBONA MNAJIAIBISHA? HII NI AIBU SANA
ONA HUKU...
Mwenyekiti wa BARAZA LA WAZEE Wilaya ya Arusha Mjini Mh Emmanuel Zacharia (Baba Boni) na watu wanne waliokuwa kwenye gari ndogo aina ya Suzuki wameshambuliwa vibaya na Green Guard.
Watu wawili...
Chadema Kimara ktk kampeni
Kufuatia Serikali kuboa nyumba za wakazi wa Kimara bila fidia kwa kufuata sheria ya hifadhi ya barabara ya miaka kabla ya uhuru moja kwa moja CCM haitapata ushindi Kata...
Katika kipindi ambacho Tanzania inaongelewa sana na vyombo vya habari vya kimataifa hasa hasa kwenye nyanja ya kiuchumi na mabadiliko ya uongozi wa kisiasa basi ni wakati huu
Mh Rais Magufuli...
Hakika sipati jibu hii Falsafa ya CCM ya kuwa MSAFI ukiwa ndani ya CCM lakini Ukitoka tu CCM WEWE utaitwa majina yote kama vile Mwizi,Fisadi,Jambazi n.k.
Anaandika kada wa CCM Mansour Jumanne,
LEO JPM ATAMFUKUZA HUYU CCM
"Naona nguvu kubwa ambayo wenzangu wa CCM wanayoitumia kumnanga Lazaro Nyalandu.
Naona namna ambavyo rafiki zangu akina Muro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.