Bundi katua ukawa baada ya vyama vinavyounda ukawa kumkimbia kamanda mbowe kwenye mkutano na waandishi wa habari, hivyo kupelekea kamanda kusimama kama jeshi la msaliti mmoja.
ukakasi huo...
"Mimi nasema afadhali ya Sitta (Samuel) mara kumi kuliko huyu Makinda. Sitta alikuwa na aibu ya kupindisha sheria na ilikuwa ukimbana kwenye hoja anakubaliana na hoja yako kwa manufaa ya...
Kurejea CCM akitokea CHADEMA kumemtia hofu Mwenyekiti wa CHADEMA, freeman Aikaeli Mbowe akihofia msanii huyo kuvujisha siri ambayo mpaka sasa hakuna anayejua ni siri gani hiyo.
Hali hiyo...
Patrobas Katambi (Mwenyekiti alieng'atuka BAVICHA) amesema kwa picha ya kijeshi jeshi CHADEMA ni sawa na MGAMBO (hawajaiva kisiasa) na CCM ni jeshi kamili (JWTZ) ndio maana amehamia.
Akizungumza...
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imepiga hatua kubwa dhidi ya vita vya rushwa na kuwataka waliokuwa wakisema kuwa nchi hii haiwezi kudhibiti...
Uchaguzi wa Mwenyekiti wa UVCCM unaonekena kuzua malalamiko ya chini kwa chini kwa baadhi ya vijana wa umoja huo ingawa ukweli wa kilichotokea wanakijua wao wenyewe.
Karika kipindi hiki cha...
Kesi namba 457 inayoikabili JamiiForums, kuhusu kampuni ya CUSNA Investment ambayo ilidaiwa kufoji nyaraka bandarini, kukwepa kodi na kuwatesa wafanyakazi wazalendo na kupendelea wageni toka nje...
Watanzania wametoa wito kwa Vyombo vya habari nchini viisaidie nchi kwa kuchunguza vitendo viovu vya serikali yakiwemo masuala ya rushwa na mengineyo.
Nimependezwa na maoni haya ya wananchi. Kwa...
Kuna watu sijui ndio tuseme wameshakata tamaa au ndio hawana data...
Yaani wao ukiwauliza unadhani ndani ya miaka 3 ijayo tutapata Katiba Mpya? Aidha watakujibu 'Sijui' au watakuangalia tu...
Mpaka mwezi Februari mwaka 2016, kiwango cha uelewa wananchi kuhusiana na Sheria Mpya za Takwimu na Sheria ya Makosa ya Mtandao maarufu kama #cybercrime kilikuwa chini sana..
Upande wa sheria ya...
Utafiti uliofanyika mwaka 2016 umekuja na majibu yanayotoa taswira ya hali halisi ya kisiasa nchini na mitazamo ilivyo kwa wafuasi wa vyama vya siasa..
Katika watu 10 ambao ni wanaCCM, 6 kati yao...
Mimi ni mzalendo. Ni mfuatiliaji sana. Napenda kujua mambo yanavyoenda.. Sipendi kuwa kizani... Nimeumbwa hivyo, sio mnoko!
Ukienda ofisi nyingi za umma kuomba taarifa kuhusiana na jambo fulani...
Nakumbuka utunzi wa Mwanamuziki Juma Mchopanga 'Jay Moe' alipokuwa akiuliza swali kuhusu kilicho bora kati ya Mvua na Jua halafu watu wanamjibu majibu tofauti kwa pamoja..
Ikabidi aulize "Mbona...
Nimemsikia Polepole jana, katika Mkutano wa UVCCM kuomba na kutoa taarifa kwa Mwenyekiti wake na wajumbe kuwa atakuwa anatembea nao wananchama wote wapya kama akina Kafulila, Katambi, Mtolea, na...
Ni uoga au hofu ya ushindani wa kisiasa? Matokeo ya utafiti yanaonesha kuwa 37% ya wafuasi wa chama tawala cha CCM wanaunga mkono zuio la vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na maandamano...
Mnaambiwa Ccm mpya,Hii ni ccm kanda ya ziwa.Nadhani toka kuanza kwa chama hiki ndio kwa mara ya kwanza tunaona Ccm unaongozwa na watu wa kanda moja tu.
Zile propanganda juu ya chadema na...
Sio maneno yangu, ni utafiti..
Kama utakavyosoma kwenye jedwali hapo chini, imebainika kuwa wabongo wengi kwanza kabisa wanaamini sana wanachokisikia kwenye redio.. Kisha wanaamini wanachokiona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.