Wakuu,
Kesi namba 458 iliyo chini ya Hakimu Victoria Nongwa imeahirishwa hadi tarehe 22 Januari 2018.
Imeanzwa kusikilizwa leo saa 8 na dk 12 mchana.
Wakili wa Jamhuri (Batilda Mushi)...
Bunge la Afrika Mashariki linataraijiwa kufanya uchaguzi wa spika wake leo baada ya mchakato huo kushindikana jana
Uchaguzi huo ulishindikana baada ya kujitokeza kwa mvutano ni nchi gani...
Jana katika hotuba yake ya kushukuru na kufunga mkutano mkuu wa CCM rais Magufuli alivishukuru vyama vya upinzani walivyovialika na kuhudhuria na kuvitaka navyo vijifunze kufanya chaguzi katika...
EAC: Bunge la EALA kujadili umoja wa sarafu
2017-12-19
Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki linatarajiwa hivi karibuni kuanza mjadala wa kuwa na sarafu ya pamoja.
Bunge hilo hasa litajadili...
Uzi huu una lengo la kuwasaidia wananchi, wanasiasa watafiti na wasomi kuelezea kisayansi na kwa kina sana matukio ya wanasiasa wanaohamia CCM kwa madai ya kumuunga mkono rais (Scientific...
Mgogoro wazuka kwenye uchaguzi wa spika wa jumuiya ya EAC
Desemba 19, 2017
Makao makuu ya jumuiya ya Afrika Mashariki mjini Arusha, Tanzania
Mvutano mkubwa uliibuka Jumatatu mjini Arusha...
Tokea mwaka 2015 ulikuwa mwanachama hair wa chama chetu cha mapinduzi na taarifa zangu hazionyeshi kuwa hapa katikati umewahi kuhama chama
Tangu kipindi hicho ukiimba nyimbo za kumpigia kampeni...
Angalau nafsi yangu imetulia nilipomsikia M/kiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndugu Dr. John Pombe Magufuli, akiwataka viongozi wa CCM waliochaguliwa kuhakikisha washindani...
Hii ni dalili mbaya kabisa kwa NEC , kwa hatua iliyofikia kwa kujitamhulisha rasmi kwamba wao ni tawi muhimu LA CCM.
Chadema ilisha toa msimamo, na chadema kama chama cha siasa kina taratibu...
Niwaase tu viongozi wa vyama vya upinzani bara na visiwani wasiishie kususia chaguzi tuu, hii itawakatisha mataa watanzania ambao hawana imani kabisa na serikali hii ya CCM ambayo kwa sasa...
Igwe wanaJF!
Nichukue fursa hii kuwapongeza ndugu Mbowe na Zitto kwa kutoa maazimio ya vyama vyao ambayo kimsingi yameonyesha kukubali utendaji wa Raisi JPM na CCM yake katika kuwaletea maendeleo...
JUKWAA LA KATIBA LATOA TAMKO KALI LEO
KUMB NA. JUKATA/TAMKO/DISEMBA/009 17 DISEMBA 2017
YAHUSU: TAMKO KWA UMMA
Baada ya kutafakari kwa kina juu ya mwenendo na matukio mbalimbali yanayoendelea...
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imesema inafuatilia tuhuma za rushwa zinazotajwa dhidi ya wabunge wanaohama vyama vyao.
Msingi wa kauli hiyo ya Takukuru ni swali lililoulizwa...
*KWA UFUPI YALIYOJIRI MAPOKEZI YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA MKOA WA DODOMA JUMATANO 13 /12/2017 VIWANJA VYA CCM MAKAO MAKUU*
Umoja wa Vijana wa CCM(UVCCM) Mkoa wa Dodoma leo tarehe 13/12/2017...
Nimekuwa nikijiuliza sana kwa nini CCM na wapambe wao wamekuwa wakimwandama sana mwenyekiti wa CHADEMA MH. Mbowe.
Baada ya kutafakari nikagundua CCM na wapambe wao wanaojiita kama ACT-Wazalendo...
Dr Salim Ahmed Salim ameng'atuka katika uongozi wa chama na sasa atabaki kuwa mwanachama wa kawaida. Dr Salim amewaaga na kuwashukuru wajumbe wa vikao vya CCM kwa ushirikiano waliompatia wakati...
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) amesikika asubuhi hii wakati akihojiwa na Radio Clouds Fm kwenye kipindi cha Power Breakfast, akisema kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
Dar/Singida. Wakati zikiwa zimebaki siku 25 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mdogo katika Jimbo la Singida Kaskazini, kivuli cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Lazaro Nyalandu kimeigawa Chadema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.