Na Mwandishi Uzalendo,
Unajua kuna baadhi ya watanzania tuna matatizo sana, Watu wanaosema kua CHADEMA kwa sasa kinaenda kufikia mwisho ni kwa sababu zipi hasa? Wamepoteza nini hasa ndani ya...
Tokea siasa ya 1992-2017 nimeona mengi sana!
Enzi zile kampeni bila Mgogo Malecela zitanogaje?!
Enzi zile likitajwa jina Mrema polisi yupi asingestuka?!
Enzi zile bila Pius Ng'wandu Maswa...
Historia ni mwalimu mzuri kweli. Kiongozi yoyote aliyesoma historia ni rahisi sana kuongoza.
CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Ndicho chama kinachofuatia kwa kuwa na wafuasi...
FROM the HIGH COURT OF TANZANIA at Dar es SALAAM :
Mbele ya Mheshimiwa Jaji WILFRED DYANSOBERA, Mahakama Kuu ya Tanzania imeipiga marufuku Bodi FEKI ya Lipumba kufanya shughuli zozote zinazoihusu...
Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho unaofanyika Mjini Dodoma.
Kijana huyu wa kizanzibar amestahili kuaminiwa tena na Ndugu Mwenyekiti wa CCM Taifa na UVCCM Taifa kushika wadhifa wa katibu mkuu UVCCM Taifa katika kipindi cha 2017-2022.
Awali alikuwa naibu...
Hivi hawa wanatupiga changa la macho au Ni kwamba sisi wajinga hatuoni au wanalofanya ni sawa...??
Ni kwamba hawa watu wanatumia kipengele cha kampuni mpya kupewa Miaka Mitano ya Kutokulipa...
Naomba kusema kitu kimoja, kama hakuna kitabu chochote cha Mwenyezi Mungu kinachozuia mtu kuhoji watawala wake au kupinga kila asichokubaliana nacho ndani ya serikali sioni sababu ya watu kuzuiwa...
Mwaka 1988, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa bado ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi alialikwa kama mgeni rasmi wa maadhimisho ya miaka 11 ya CCM ambayo yalifanyika Kitaifa...
Kumekuwa na vyama vya upinzani ambavyo vimekuwa vikilaumu Tume huru ya uchaguzi kuwa haiko huru, na hoja yao kubwa ni jinsi wajumbe wa tume wanavyopatikana.
Sasa Leo niombe kuuliza; hivi ili...
Jana wakati Mh. Rais Dkt. John Pombe Magufuli anafungua tawi la benki ya CRDB-LAPF Dodoma ameiagiza Benki Kuu ya Tanzania "kudhibiti matumizi ya fedha za kigeni kwenye matumizi ya biashara na...
Awali, uongozi wa Chadema ulitangaza kuwa kamwe hautashiriki katika uchaguzi huo mdogo katika jimbo hilo na pia lingine la Longido mkoani Manyara kutokana na kutoridhishwa na masuala kadhaa ndani...
Nashauri ili KUKOMESHA hii Tabia ya baadhi ya watu kuvamia maeneo /viwanja/MASHAMBA ya Watu/Taasisi wachukuliwe Sheria Kwa kufikishwa Mahakamani badala ya kuwavunjia tu.Wavamizi hao wamekuwa...
Kwenye mkutano mkuu wa CCM, nimemsikia kiongozi mmoja mstaafu akisema Mwinyi na Kikwete ni wastaarabu hawawezi kuita watu wapumbavu. Lakini Mkapa ndio anaweza kuita watu wapumbavu. Hii maana yake...
Kiongozi katili na korofi wa Liberia akizungushwa mitaani akiwa kakatwa masikio na uume
Maisha haya kuna watu wanajisahau sana,wanajiona kama wao ni wadogo zake Mungu na maisha yatabaki hivihivi...
Naona Kama Chadema/Ukawa wanavumilia Ushenzi ambao hauvumiliki kabisa! Ni mtu aliyelogwa pekee anayeweza Kuvumilia hujuma za CCM dhidi ya Katiba na Haki za Kisiasa za Vyama Vingine.
Nawaheshimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.