Alhamisi njema Wadau,
Tofauti na ilivyozoeleka kwa Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Rushwa na Mbunge wa zamani wa Monduli, Edward Ngoyayi Lowassa kuonekana kwenye kwenye matukio mbalimbali...
Katika Ibada Kuu ya Pasaka ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Mwenge, Dar-Es-Salaam; wakati wa Neno la Pasaka 20.4.2014, lenye kichwa, "JE, KUIDAI TANGANYIKA NI HALALI KATIKA MPANGO...
Tambueni tu hawa mabwana wanajaribu kutikisia kiberiti huku wakitambua nguvu kubwa waliyonayo viongozi hawa na wakiona hawatetereki wala kurudi nyuma, bila kuchelewa hawatakawia kuwata kwa lengo...
Na
*Abdul Nondo*
Habari watanzania nimependa kuchangia nanyi jambo hili kujua mstari wa siasa na dini.
Jana nikiwa na rafiki yangu *Deogratias Mahinyila* tukiongea,huku nikiperuzi simu yangu...
Za jioni wana JF. Ningependa kujua hao wadau wa enzi zileeeee ya miaka 2015 kurudi nyuma wapo wapi. Wanafanya nini, wapo kwenye mrengo gani wa siasa hivi sasa? Je wanaionaje hali kisiasa nchini...
Tanzania ni moja ya taifa ambalo wanasiasa wengi sio wakomavu na hawajielewi. Wamekuwa wanasiasa fuata upepo na muda mwingi hupotea kutokana na upepo fulani ukipita. Wanasiasa ambao hawana vision...
No offense, lakini matukio haya ya wagombea kudondoka jukwaani sio ishara nzuri hata kidogo.
Tunaweza kuja kuwa na Raisi ambaye ana matatizo ya kiafya akaiingiza nchi kwenye matatizo makubwa...
Nimefatilia Leo hoja na tamko LA Wizara ya mambo ya ndani kupitia Katibu Mkuu wake juu ya kufuta taasisi za dini zinazo kosoa serikali.
Katibu Mkuu amesema kuna katiba na sheria zinazo wapa...
LETTERS FROM A NAIROBI HOSPITAL BED
By Tundu AM Lissu (MP)
I
INTRODUCTION
More than sixty four years ago, on 21st September 1953, Nelson Mandela, then serving a ban...
Salamu wanabodi !
Sasa ni dhahiri kuwa hawata mkamata na kumhoji mtu wa madhabahu,wakili wa Mungu Askofu Zachary Kakobe. Wengine walikuwa wanajipendekeza tu kwa mkubwa. Aliyetumwa ambae hakika...
.LETTERS FROM A NAIROBI HOSPITAL BED
By Tundu AM Lissu (MP)
I
INTRODUCTION
More than sixty four years ago, on 21st September 1953, Nelson Mandela, then serving a ban...
Wakubwa,
Sioni tena zile cheche za wapinzani, mijadara mbadala ya kuikosoa na kuishauri serikali inapotea kwa kasi. Sioni mijadara ya watu wanaopinga kwa hoja na kuirekebisha serikali.
Sasa...
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn...
Nimeona tangazo kupitia luninga ya ITV likisema leo saa 3.00 usiku kutakuwa na matangazo ya moja kwa moja kutathmini utendaji wa mkuu wa mkoa wa Dsm, mh Paul Makonda. Karibu kwa maoni! Up dates...
wakuu.
hii kasumba ya kutaka tulazimishane kuunga mkono kila kitu sio sahihi.
Kwa mfano mbaazi zangu zimeozea ndani bado mnataka tuwaunge mkono wakati soko mlilivuruga wenyewe.
Bei ya mahindi...
ASKOFU Msaidizi wa Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini, amesema mwenendo wa matukio ya kuteka na kutesa watu yaliyoripotiwa kutokea hivi karibuni yanawatia hofu viongozi wa dini.
Akizungumza...
Baada ya kufanya uchunguzi wa kina kwa kuzingatiasiasa za Tarime pamoja na tamaduni za wanatarime nimegundua mambo yafuatayo;
1. Wanatarimehawachagui chama bali wanachagua mtu. Hii inatokana...
Habari wanabodi ni takribani miaka miwili na mienz kadhaa toka ile nguvu ya umma peoples power iliyokuwa inajenga cdm kupotea makamanda wa leo sio wa zamani makamanda wamepoteza imani kwa wananchi...
Askofu Zakary Kakobe mpuuze na hoja igeuze. Huna haja wala hoja ya kutubu kwa toba kwakuwa unatoa tiba kwa miiba ya Tanzania. Unatibu bila tabu yaliyokuwa majaribu mujarabu kwa watanzania...
Kenya imepokea mwaliko kutoka Marekani kuhudhuria katika hafla ya kuwashukuru kwa kuendeleza urafiki itakayofanyika Januari 13, 2018
Ni baada ya Kenya kuwa miongoni mwa nchi ambazo hazikupiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.