Nashangazwa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Z,bar Ali Vuai anapotowa sifa ya Muungano kwa kusema kuwa Zanzibar inafaidika zaidi kwa kutowa mfano wa kulipiwa mkopo wa masomo kwa wanafunzi kutoka Z,bar...
Chadema - Wikipedia, the free encyclopedia
Wikipedia ni kamusi elezi ya kimtandao.
Kamusi hii inataarifa na habari mbalimbali ambazo huwekwa humo bila gharama yeyote.
Nimesikitika nimeingia...
Ihanja; Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), kimepata pigo kubwa katika kampeni zake za kutetea kiti cha udiwani wa Kata ya Iseke, Singida Magharibi, baada ya Katibu wake wa Kata...
JESHI la Polisi wilayani Igunga, mkoani Tabora, linashikilia malori nane mali ya Kampuni ya Kichina ya Sun Shine Mining Ltd, kwa kosa la kusafirisha shehena ya mchanga wenye madini bila kibali cha...
Jana mawasiliano ya barabara yalikatika kati ya Morogoro na Chalinze kutokana na ajali mbili mbaya.
Kilichosababisha usumbufu ni magari yaliyopata ajali kuziba barabara.
Ninawaomba wabunge...
Pale Iguguno leo saa 11.30 hivi jioni doct Kitila Mkumbo wa UDSM na kamanda mwandamizi wa CHADEMA alikuwa Iguguno kuongea na wananchi nao kutoa kero zao.
Walimtaka angalau awasalimu kidogo kwa...
OCD na mkuu wa kituo cha police bomangombe HAI wamekuwa tatizo kwa wananchi wa wilaya ya Hai kwa ujumla. Sis mwananchi wa wilaya ya hai imebidi nijitokeze kwani kwa muda mrefu sasa tumevumilia...
DARUSO NI CHAMA GANI?
Mwaka 1966 unabaki kwenye kumbukumbu katika vitabu vyetu vya historia.Mapema mwaka 1966 wanafunzi wa UDSM walifanya mgomo mkubwa ambao ulitikisa Taifa.Mgomo huu unabaki...
JULIUS MTATIRO NA CUF.
Julius Mtatiro ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Tanzania Bara.Nilikutana na Julius Mtatiro mwaka 2006 nilipojiunga UDSM.Tukio la kwanza llilonifanya...
wakuu, inarushwa hivi sasa kutoka viwanja vya karimjee jijini DSM, ni uzinduzi rasmi wa rasimu ya katiba mpya, mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete.
KATIBA...
Hiv karibuni kumekuwa na mtiririko wa hoja za wanasiasa kadhaa kutaka baadhi ya mitandao ya kijamii hasa jamiiForum.. ifungiwe kwa madai kwamba wanatukanwa sana, kudhalilishwa na mambo kama hayo...
Leo ni uzinduzi wa rasimu ya katiba mpya. Uzinduzi huo unafanyika viwanja vya karimjee. Kuna vituo ya tv kama itv na tbc vinaonyesha live. Mgeni rasmi ni makamu wa rais na makamu wa kwanza wa rais...
HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI MHESHIMIWA SUSAN JEROME LYIMO (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KATIKA WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KWA...
Julius Mtatiro ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Tanzania Bara.Nilikutana na Julius Mtatiro mwaka 2006 nilipojiunga UDSM.Tukio la kwanza llilonifanya kumfahamu zaidi Julus Mtatiro...
tarehe mosi juni,2013, dk slaa alihutubia umma mjini morogoro. Aliongea mengi sana ambapo alitumia ada ya kalamu yake kuungopea umma mjini hapo. Slaa alisikika akisema kuwa "siwezi kumzungumzia...
Leo kuna mkutano wa mbunge wa kigamboni na wana nchi wa kibada jamaa anazungumzia masuala mengi nilichojifunza.
1. Hakukuwa na nyimbo za komba na ccm hazikuwa zikipigwa tofauti na wabunge wengine...
Dar es Salaam. Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Wananchi (JUVICUF), imetishia kuandamana nchi nzima ikiwa haki haitatendeka kwa mwenyekiti wao, Katani Ahmed Katani aliyekamatwa na na polisi kwa...
Nianze kwa kutambua umuhimu wa sisi wananchi kutambua na kutimiza wajibu wetu kwani ukweli ni kwamba ukiwa hutimizi wajibu wako unakosa sauti ya kudai haki yako. Hii ni kwa wakulima, wafanyakazi...
HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI MHESHIMIWA SUSAN JEROME LYIMO (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KATIKA WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.