Nimewaona makada Wa chama John Magufuli na Wassira wamemaliza zoezi la kusaka wadhamini na kurejesha fomu.
Swali likanijinia kwanini Lowassa anastruggle kukamilisha zoezi hilo jepesi tu licha ya...
Zaidi ya nusu ya watu waliotarajiwa kuandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga kura katika mfumo wa Biometric VotersRegistration -BVR, wilayani Arumeru lililomalizika leo hawakujiandikisha...
Wakuu ningependa kujua hivi first lady ni lazima awe mke halali wa ndoa ya kimkataba? Hilo jina lina masharti yeyote kwa anayelibeba? Je mchumba tu wa kawaida anaweza kuwa first lady? Wenye uelewa...
Ukweli utatuweka huru, leo kuna wanaCCM wanasema eti wanamuenzi baba wa Taifa, S Wassira alimkimbia Nyerere akaishi NCCR Mageuzi aliposikia tu kafariki akarudi. Kwanini Wassira alikuwa haelewani...
Eti safari ya matumaini, hivi kweli Tanzania iliyojaa kila aina ya madini na utajiri wa kutisha halafu tunasema safari ya matumaini badala ya vitendo? Watanzania tumechoka na kauli za...
Mdahalo utakaorushwa kesho kuanzia saa 1 hadi saa 4 na Azam Tv unaoandaliwa na CEOrt chini ya kiongozi wao Ally Mufuruki, Dr Slaa amesema wao hawatashiriki Mijadala mpaka watakapomaliza kura za...
Je! umesubiri muda mrefu kwenye foleni kusubiri kujiandikisha.
Je ulilazimika kuamka mapema alfajiri au kulala kituoni ili ujiandikishe.
Je mashine za BVR,zinaharibika kila mara ukiwa kwenye...
Homa ya uchaguzi inazidi kupanda siku hadi siku ndani ya vyama vya siasa nchini,si urais si udiwani si ubunge. Shinikizo linapanda siku hadi na rafu za hapa na pale zinaendelea kuonekana. Kilicho...
Mwenyekiti wa Tume ya taifa ya uchaguzi(Nec))Jaji Lubuva ameyasema hayo alipoongea na waandishi wahabari.
Jaji huyo amesisitiza kuwa CHADEMA wanaingilia mchakato wa uandikishaji.
My take: Huyu...
Mimi kwangu kwa sasa hoja si hii miswaada wala sheria tunazoletewa bali hoja ya msingi kwa sasa tunapaswa kujiuliza ni taarifa na ushauri gani serikali inapata kutoka vyombo vyake vya ulinzi na...
Hofu ya kutojua Rais ajaye atakuweje ndio inasabisha wafanyabiashara kuamua kusaka dola kwa udi na uvumba ili wawe na dola mkononi ili likitokea la kutokea watimke kirahisi.Hivi sasa hata kama...
Baada ya kuzunguka katika mikoa yote Tanzania kwa usafiri wa njia ya barabara na kufikia wanachama moja kwa moja ktk maeneo yote ya mjini na vijijini..hatimaye mtia nia wa Urais wa CCM Mh.Steven...
Africa Day Lecture, 2014.
Introduction of the Africa Day Lecturer, Dr Salim Ahmed Salim, by the Patron of the TMF, President Thabo Mbeki.
The 5th Thabo Mbeki Foundation Africa Day Lecture, 23...
CCM ni lazima ijivue magamba ili kushinda kwa kishindo Mwaka 2015, ni lazima ifike mahali Lowassa na Chenge waondolewe katika nafasi zozote za uongozi wa chama. Lengo la CCM ni lazima liwe...
Kwanza Kabisa niwatakie Waislamu Wote Mfungo mwema.
Kwa Mara ya kwanza Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinakuja na Mpango mpya Kabisa Wa Operesheni Itakayojulikana kwa kauli Mbiu ya...
Wadau,
Nimetumiwa meseji na rafiki kuwa Bashe anahojiwa Clouds FM kujibu mashambulizi ya Nape juzi...Mwenye access na hiyo redio tafadhali tuambie amejadili kitu gani.Hii redio wengine tulishaipa...
UMASKINI WETU UTATOWEKA KWA VITENDO: Kilimo, Ufugaji, Uvuvi, Viwanda vya kisasa na Ukuaji wa Uchumi wa kisasa maana yake ni matumizi makubwa ya sayansi, teknolojia na ubunifu. Mwaka 2020, Nchi 5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.