Wakuu
Najaribu kutafakari na kuiomba tume ya taifa ya uchaguzi kuweka kwa heshima iwatendee haki wagonjwa wote siku ile ya uchaguzi kuweka vituo vya kupigia kura mahospitalini kwani kuna watu...
"Ni nyembamba na waionayo nakupita wachache.Njia ya upotevuni ni Pana na waionayo na kuipita ni wengi"
Samahani wanjamvi nimetumia maneno yaliyotumiwa na nabii katika kitabu kimjawapo kitakatifu...
Siri ya Edward Lowassa nje
Na Jabir Idrissa - Imechapwa 09 March 2011
MBINU za Edward Lowassa kutaka kurejea kileleni katika ulingo wa kisiasa zimemnasa mbunge wa Kilindi (CCM), Beatrice...
Kwa wanaofahamu utendaji kazi wa engine safi, wanaelewa kuwa huwezi kutumia oili chafu na bado ukapata matokeo mazuri.
UKAWA katika siku za hivi katiribuni waliamua kufanya service ya gari lao...
Wandugu kuna tetesi kuwa waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania anaishi hotelini yeye pamoja na familia yake. Analipiwa kila kitu na serikali, kisa hakuna nyumba za watumishi wa umma. Nipo busy...
Nimekuwa nikiangalia matokeo ya POLLS mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF. Pote nimeona UKAWA ukiongiza kwa asilimia nyingi dhidi ya CCM na vyama vingine. Hali hii imenikumbusha...
Chama kinanuka hiki,huko Rufiji wagombea wawili wote wanatamba kushinda,hii ni kutokana na mamlaka kutaja mshindi zaidi ya mmoja katika mda tofauti.Kila mtu anakomaa kushinda.Mwingine kwa nguvu ya...
Wanajukwaa!
Habari ya ITV saa mbili sasa hivi wameonyesha wanachama wa ccm wakifanya maamuzi ya kuhama kutoka CCM kwenda chadema! Maamuzi haya yameongozwa na Diwani wa kata ya Mateves!
kauli ya goli la mkono aliyotoa nnauye kwa ushindi wa ccm ilifaa huyu jamaa kufungiliwa mashitaka dhidi ya utata wa kauli yake ili atuweke wazi wapiga kura alimaanisha nini kutoa kauli hiyo...
Wakuu habari zetu, naulizia kuna mwenye taarifa yoyote juu ya Mheshimiwa Edward Lowasa kuchukua fomu ya Uraisi maana naona tarehe zinasogea na hakunafeedback au taarifa yoyote kwa wanachama na...
UKOSEFU WA AJIRA
Kiwango cha ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana wenye umri wa kati ya miaka 15 24 ni asilimia 13.45. Ukosefu wa ajira pia uko juu zaidi miongoni mwa wasichana (asilimia 14.3)...
jamani hizi ni taarifa za ndani kabsa hili swala la watumishi wa majeshi kupewa amri kutoka mamlaka ya juu kukusanya shahada zao za kupigia kura linaleta taswira gani katika uchaguzi mkuu wa oct...
Hivi karibuni pembe za ndovu zinazokadiriwa kuwa na thamani ya Tshs.800,000,000 zilikamatwa nchini uswisi zikiwa zinasafirishwa kwenda China. Pembe hizi zilipita kwenye uwanja wa JNIA ambapo kuna...
Najitanabaisha kwa wasio nifahamu mimi si Mwanachama wa Chama chochote kisiasa, mimi ni Taifa kwanza vyama baadae.Kwangu CDM, CCM, CUF au NCCR wote sawa tunajenga Nchi.
Lakini humu JF kama...
Wataalamu hivyo huyo Lowasa akishindwa uchaguzi October 2015 atahama nchi au ataondoka Chadema na kujiunga na CUF maana hawana Mwenyekiti. Tena kwa ushauri wangu nafikiri angehamia CUF mapema...
Kwa wale wenye mitizamo isiyo badilika ,
Hv mmewahi kufikilia lengo la chama cha siasa?
Wengi mtasema ni kushika dola, lakn ni zaid ya hapo!!
Mtizamo wangu chama cha siasa lazima kiwe na...
Tumshukuru mungu Tanzania kuwa mwanachama wa mahakama ya kimataifa ya makosa ya kihalifu dhidi ya binadamu maana uchaguzi wetu mwaka huu unaonyesha dalili za kufikishana huko. Watu wameacha...
hili sasa limedhihirika, kila mitaa
kwa chama cha mapinduzi, kupenyeza choko choko
kutugawa kwa makundi.
Wagawe uwatawale, ndivyo wafanyavyo
kwa ukanda na ukabila, tusikubali.
kwa udini na kwa...
Wakuu jf imevamiwa!
Kuna kundi kubwa la vijana waliohamia kutoka Friends of Lowassa na 4u Movements wamekuwa wakipinga vikali sana tuhuma za mgombea wao aliyekatwa kutoka CCM kwa mtu yeyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.