Mgombea Urais wa ACT, Mhe Khamis Iddi Lila akiwasili katika viwanja vya Afisi ya Tume ya Uchaguzi ziliko katika hoteli ya Bwawani Zanzibar kwa ajili ya kurejesha famu yake ya kugombea Urais wa...
Hata ukawa wanalindana kama ndio maana ya mfumo, mfano mzuri huyo lowasa alikuwa mbaya alipokuwa ccm amekuja ukawa mnamuona mwema, mnamlinda. Sumaye anaonekana mwema mnamlinda, hata Dr. Slaa...
Niko nafuatilia matangazo ya Moja kwa Moja ya kituo cha luninga cha ITV kinachorusha uzinduzi wa ilan ya uchaguzi ya asasi zisizokuwa za serikali kiukweli zijaelewa kwanini haya yasingefanyika...
Ukiangalia kwa undani utagundua kwamba Chadema ilikuwa inaonekana km chama cha kikanisa kwa sababu ya image ya Dr Slaa. Ccm waliweza sana kutumia propaganda hii kufanya kundi kubwa la Waislamu...
Hatudanganyiki. Tumechoka kulaghaiwa. Lowasa mmemfuga nyie, nanyi mkaimba wimbo uleule wa fisadi. Wengine wote mme wa-retain then yeye ndo anakuwa conspicious vile kakataa mfumo wenu wa kupeana...
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake...
CCM ina wachama milioni 6.
Mwaka huu watanzania waliojiandikisha kupiga kura ni milioni 23.
Tangu uhuru wastani wa wapiga kura niasilimia 75,japo mwaka 2010 waliopiga kura ni asilimia 42.6...
Kama tunavyofahamu kiongozi wa ACT bwana ZZK anafungua rasmi kampeni zake katika mkoa wa Kigoma na kumtambulisha mgombea urais mama Anna yeye kama mgombea ubunge jimbo la Kigoma mjini pamoja na...
Nimekuwa nikifuatilia kwenye vituo mablimbali vya habari na kuona makundi ya vijana na wazee wakijinasibu kutoendelea kuburuza na uongozi wa Chadema kwa kile walichoita kuwakaribisha watu wenye...
By mkulima wa zao la Pamba.
Wakulima wa zao la Pamba kanda ya ziwa tumekuwa WATANI wa serikali iliyomikononi mwa CCM kwa zaidi ya miaka 50. Ndugu watanzania wenzangu (hasa wakulima wa zao la...
Wananchi Wa Morocco wameweza. Chama tawala sasa kimekuwa chama cha upinzani. Opposition wameshika dola. Chama hicho tawala kilikuwa na mamlaka ya tume ta taifa ya uchaguzi, vyombo vyote vya dola...
habari wakuu
Serikali ya awamu ya nne chini ya rais Jakaya Kikwete wakati inaanza pamoja Waziri mkuu Edward Lowassa hadi leo natamani ingekuwepo jamaa walijitolea kweli yani na ile kauli mbiu ya...
Mengi yanasemwa kwamba kuna wizi wa kura ... hebu tufahamishwe mbinu, ujanja na jinsi wizi huo unavyofanywa ili kwa wale ambao hatuna elimu hiyo tuweze kufahamu na kuukwepa ikiwezekana tuufichue
Mgombea Ubunge Jimbo la Ukonga anayewakilisha UKAWA Mwita Mwikabe Waitara jana alizindua rasmi kampeni za Ubunge jimbo la Ukonga kwa kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika uwanja wa Pugu...
Kulikuwa ni sintofahamu ktk jamii na mimi mwenyewe nikiwa miongoni mwa watu hao.
Juu ya uhakiki,usahihishaji, na uhamishaji wa taarifa za mpiga kura.
Mimi ninaishi Dar ila nilijiandikisha Mbeya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.