Katika kipindi hiki cha kampeni tumeshuhudia CCM ikifanya vituko vingi katika kumnadi mgombea wao DK John P. Magufuli. Tumeona wameacha kusema CHAGUA CCM sasa wanasema CHAGUA MAGUFULI hii ni...
Hawa pamoja na wagombea wenza wao wameteka nchi. Wameteka media. Wameteka majimbo na kata. Wameteka mikutano na hata fikra za wananchi. Watawaponza wengi. Watawaponza waliotingwa na kampeni za...
Watanzania wenzangu tunaelekea katika wakati muhimu wa taifa letu. Tunatakiwa kuwa makini na watu tunaowachagua. Ngoma ya Ukawa imeshikwa na Wachaga na ambao walitumia kila mbinu kuhakikisha...
Hadi sasa score sheet inasomeka Lowassa 95% Magufuli 3%
Weapon kubwa ya wana CCM ni kuwagawa ukawa/chadema. Of koz wameshindwa kabla hawajaanza! Mbinu ile ile expecting different results...
Tukieelekea uchaguzi tunaitaji.toba na.msamaha wa dhambi kwa ajiliya taifa letu
Kingine n.kuona uhuru wa mtandao..nimekuwa.nikiona.malalamiko.mengi juu ya kufhtwa.ama kutokuwepo thread za...
Zitto kabwe ni kiongozi mpenda maaendeleo kwa taifa lake, anapingania kila Jamii katika Taifa lake,
Wanyonge,
Masikini,
Wakulima, Wafanyabiashara, Wanamichezo, Mataajili,
Wasanii, n.k...
WANANCHI HAWATAKUBALI, MH LOWASSA HATAKUBALI PIA.
Kwanza naomba niaze kwa kuwapongeza wananchi wote waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura mwaka 2015 na pia waliohakiki...
Kuna watu walianza eti kushangaa iweje Lowasa alikuwa mmoja wa viongozi wa CCM, leo anawakosoa? Nimeona niwakumbushe hao wanaoshangaa haya machache. Lowasa amekuwa kipinga sera za serikali ya...
Mgombea kwa tiketi ya CCM mambo yamemzidi baada ya kuonekana sasa yeye ni kama vile mpinzani wa chama chake ama anagombea kama vile mgombea binafsi, baada ya kuwa anatoa kauli zinazozalilisha CCM...
Mke wa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, Janeth Pombe. KUMEKUCHA! Siku chache baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli kuteuliwa na Chama Cha...
Wengi walihisi n comedy.lakin kwa mnaojua.siasa kutokea mawaziri zaidi ya kumi wanagombes urais ile ilikuwa n shds kuna udhaifu sehemu mkubwa tu na.pengine wamekuwa wakivumilia huko waliko...
Leo jioni, mjini Iringa kwenye viwanja vya Mwembetogwa, Mh Mwigulu Nchemba alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, alisema kuwa Watanzania wana uhuru mkubwa sana wa kuongea mpaka wanakosa adabu...
Nipashe limeandika hiyo stori. Nimenakili.
Lakini kwa kifupi wametaja mikoa tisa:
1. Dar es Salaam milioni 2.85
2. Mwanza milioni 1.44
3. Arusha milioni 1
4. Tanga milioni 1
5. Dodoma milioni...
Kama ilivyotokea 2010 ni wazi viongozi wa UKAWA wameshindwa kushika mawili.
sasa mgombea wa UKAWA amebaki kujipigania mwenyewe kwenye kampeni.
Hii inatokana na ukweli kuwa wengi wa wapiga...
kinachoendelea sasa hivi Meatu kwa CCM ni maigizo hivi sasa gari ya matangazo ya CCM linapita maeneo mbalimbali ya wilaya ya Meatu ikiwatangazia wananchi kuwa kesho 12/9/2015 mgombea uraisi wao...
Magufuli anavyompigia kampeni Lowassa
Ahmed Rajab Toleo la 422 9 Sep 2015
DK. JOHN Magufuli, mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) siku hizi anabeba vikapu vingi vilivyojaa...
If Tanzania govt is going to restrict you from job which you where given by international community /
Is much better for you to go back!
why?
because,nothing that what expected should happen...
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amesema amechoshwa na manyanyaso wanayoendelea kuyapata wakulima hapa nchi kwa kukopwa mazao yao na kutozwa ushuru na serilkali bila ya wao...
Mkutano mkuu wa ufunguzi rasmi wa kampeni jimbo la Segerea uliofunguliwa tarehe 9 september 2015 na mgombea mwenza wa chadema Mzee Duni ulikosa watu. Pamoja na uwepo wa Mzee Duni na makamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.