Wana bodi mimi nina mtazamo tofauti kuhusu uteuzi wa mgombea mwenza wa Mh. Magufuli na ningependa pia nipate mtazamo wenu kuhusu hili. Kwanza nampongeza kwa mpangilio mzuri wa speech yake katika...
Kuna baadhi ya watu "wachache" ambao wameonyesha wazi kutokuwa na huruma na hii nchi. Watu hao ni wale ambao bado wanakikumbatia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Chama ambacho kimewaongezea umasikini...
Huyu jamaa siku hizi amekuwa akijitenga sana na mambo ya CCM ,sio kama pale mwanzoni ,kila akiangalia wazee wanaikimbia CCM na kinachomtia hofu kuja kuachiwa CCM ,kwani wazee dawa sasa ikiwa akina...
Lazima tuwe wakweli watajwa hapo juu hawajawahi kuwa msaada kwa bunge wala wananchi, wasirudishwe tena, Mrema na Cheyo wamekuwa wasaliti wakubwa wa wananchi ndani na nje ya bunge, Chenge ametajwa...
KAtika siku za kuanza kampeni za ccm mwigulu nchemba alionekana akitumia chopa ya ccm kumfanyia kampeni magufuli. Lakini kwa sasa haonekani wala kusikika kbs..ametoswa au jimboni kwake hali mbaya????
heshima kwenu wakuu..
kila mtu anatambua historia ya siasa ya MH.e.lowasa.aliingia kwenye siasa tokea 1977.mwaka 1995 alijaribu kutaka kugombea uraisi kupitia ccm lkn akakatwa.mwl.nyerere...
=====================
Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amebainisha mambo saba yaliyopo kwenye Katiba Pendekezwa ambayo anasema yataiangamiza Zanzibar endapo Katiba...
1. Watu kusombwa na malori huku wakilipwa posho kwa lengo la kutengeneza tunachoshindania kwa siasa za sasa " mafuriko!".
2.Kundi watu waliopatikana kwa mtindo hapo juu kutegeshwa njia anayopita...
Mtu mmoja ambae ni mkazi wa Murgwanza Wilayani Ngara mwanachama wa ccm amekutwa akiandika namba za Vikatio amepgwa na wanamabdiko nusu apoteze maisha! Jamani Nguvu yamabadiliko haizuiliki...
KUFA KWA NYANI MITI YOTE HUTELEZA!
Kuna swali muhimu sana la kujiuliza na kupata ufafanuzi ikiwa tunaelekea kwenye tukio muhimu la upigaji kura.
Kulishawahi kuwa na tetesi hapa jamvini kuwa...
Mkongwe wa siasa nchini aliyewahi kuitumikia TANU na CCM kwa miaka 61na kisha kujitoa rasmi ndani ya chama hicho hivi karibuni ndugu Kingunge Ngombare Mwiru ameionya CCM kuwa isithubutu kuwahujumu...
~Mfumo usio wa kifisadi
~Mfumo usio na CCM
~Mfumo unaojali na kuckiliza maoni ya wananchi si kama ule uliominya maoni ya wananchi katika tume ya Warioba.
~Mfumo utakaoleta adabu na nidhamu si...
Nimekuwa najiuliza hvi tatizo la Tanzania ni kukosa viongozi wasafi? Jibu likawa sio wapo wengi tu hasa kabla ya kuonja madaraka. Nikamkumbuka Mkapa. Mwaka 1995 alipoingia madarakani alikuwa msafi...
Habari zenu wakuu
wakati nazunguka na baiskeli yangu kumtafutia lowassa kura vijijini, nimeskitishwa na baadhi ya kauli walizokuwa wanatoa watanzania ambao pia ni wapiga kura, wengi walidai eti...
POLISI WAVURUGA MATEMBEZI YA AMANI...
Katika hali ya sintofahamu leo imetokea pale polisi walipovamia matembezi ya Amani yaliyokuwa yanaongozwa na Mama Regina Lowassa pamoja na Baraza la Wanawake...
Ukiwa umefuatilia utagundua kuwa chadema wamezitupa zile nyimbo zilizokuwa zinahamasisha jamii ichukie ufisadi na mafisadi sasa hivi kumpamba tu fisadi wao
Ndugu wana jamvi kwa muda mrefu ukianzia na nyomi/mafuriko ya wananchi wanaowaunga Ukawa siku ya Mgombea wao alipoenda kuchukua fomu tume ya uchaguzi, na mpaka sasa. Kumekua na kauli kuanzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.