Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Suleiman Yusuph Mwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Iramba
Aidha, Lupakisyo Andrea Kapange ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
Mbowe amteua Katibu Mkuu mpya wa CHADEMA. Mh Mbowe amesema kuwa amefanya uteuzi huu kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA.
- Mh. John John Mnyika Katibu Mkuu
- Mh. Singo Benson Kigaila Naibu Katibu...
Rais Magufuli amempokea waziri wa maliasili na Utalii Hamis Kigwangala alipokuwa akipokelewa katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili,
Rais amesema waziri huyo ni mchapakazi na amepata ajali akiwa...
Unajaribu kumuua Tundu Lissu kwa sababu zako binafsi.
Kwa sababu ya ushetani wako, hofu yako, woga wako na udhaifu wako.
Halafu unatumia nguvu nyingi kupotosha. Unawatuma watu waropoke uongo...
Diwani wa Kata ya Kagondo Anatory Amani na Diwani wa Kata ya Hamugembe Muhaj Kachwamba wamejiuzuru nyazifa zao zote katika vyama vyao na nafasi ya Udiwani na kurejea Ccm
Shughuli ya uapishwaji wa Viongozi wapya walioteuliwa na Rais John Pombe Magufuli mnamo tarehe 28.07.2018 inaendelea Ikulu, Dar es Salaam. Shughuli iko live TBC.
====
Alichoongea rais Magufuli...
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) tayari kimeingia katika kashfa iliyoleta mgawanyiko baada ya viongozi kutofautiana juu ya nguvu na jeuri inayotumika kukamua wafanyabiashara na wawekezaji wa kigeni kwa...
iko mubashara tbc, rais magufuli anawakabidhi hati za viwanja mabalozi mbalimbali kwa ajili ya kuanza ujenzi wa ofisi za mabalozi na hatimaye kuhamia rasmi.
fuatilia uzi huu kwa updates
Salaam Wakuu,
Jeshi la Polisi linawashikilia Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA waliofika Mahakamani Kusikiliza kesi Mbowe.
Leo Kisutu ulinzi ni Mkali, Hawaruhusu watu kuingia, isipokua wachache tu...
Msemaji wa Polisi, Lucas Mwakalukwa amesema kauli iliyotolewa na waziri wa mambo ya ndani kuwa kuna mbwa wa polisi aliyepotea bandarini si ya kweli
Mbwa huyo ambaye waziri alimtaja kama Hobby...
Mwennyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM, Kheri James ametoa onyo kali kwa wananchi kuwa wanaochagua upinzani maendeleo yatazuiwa
Amesema CCM ndiyo inayoamua maendeleo yafanyike ama yasifanyike, na...
Rais anasema kuwa kwa sasa kenya na india ndio wanufaika wakuu wa madini ya Tanzanite wakati hapa Tanzania pekee ndio yanapatikana madini hayo. rais anasema umefika wakati sasa tunufaike sote...
#MAKAVU Live
Uzwazwa wa Chama cha Kijani ni Kuendelea Kumshambulia MBOWE Kuwa ni Mwenyekiti DHAIFU; Eboo! ADUI akiwa DHAIFU sio ndiyo unaweza ku-capitalize katika udhaifu huo?
Amini nawaambieni...
Habari zilizothibitishwa Zinasema Mchekeshaji na Muigizaji maarufu Mzee Majuto amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Majuto amekua aligua kwa muda mrefu
More to follow including social...
Unajaribu kumuua Tundu Lissu kwa sababu zako binafsi. Kwa sababu ya ushetani wako, hofu yako, woga wako na udhaifu wako.
Halafu unatumia nguvu nyingi kupotosha. Unawatuma watu waropoke uongo ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.