Hongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania.
Sasa baada ya Tanzania kupata uzoefu wa kutosha kutokana na awamu zake za uongozi, na tukaona mazuri na mapungufu yake, na wewe pia...
Ndugu wana JamiiForums,
Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama Watanzania ambayo...
Hapana shaka kuwa kutakuwa na maoni na mawazo anuai juu ya masuala mbalimbali yanayojadiliwa katika Jukwaa hili. Washiriki hawatarajiwi kukubaliana na kila jambo linalojadiliwa! Kwa msingi huo...
Je umeielewa hii tweet ya msemaji mkuu wa serikali?
Je sasa Dollar moja ya Marekani ni TZS 2500?
Je kwa exchange rate hiyo $300M ni TZS 500B?
======
#MALIPOKUTOKABARRICK Wizara ya Fedha na...
Salam wanabodi,
Naona joto la propaganda na uratibu wa visa vya kuandaa "watu fulani" wajitokeze kwenye mambo fulani umeanza kwa kasi!!!
Uzi huu hapa chini umenisukuma kutaka kumjua zaidi mmama...
Leo katika pitiapitia ya magazeti nikaona bango moja kati ya yale ya Jangwani limeandikwa "Heri Musa kuliko Firauni"
Kwakweli bango hili limenifanya nijiulize maswali mengi sana ambayo kwa hakika...
Akiwa live kupitia line ya simu katika East Africa Radio mtia nia wa kugombea urais kupitia CHADEMA, Mayrose Majinge amesema yeye amejiunga Chadema toka mwaka 2013 hivyo sio mgeni ndani ya...
Serikali ya Tanzania imemuita na kumhoji balozi wa Marekani Tanzania juu ya kile kinachoitwa travel alert iliyotolewa na ubalozi huo.
Serikali imemtaka kuandika habari zilizothibitishwa na...
balozi huyo ameitwa Wizarani kwa lengo la kutoa ufafanuzi masuala mbalimbali ambayo Ubalozi huo umekuwa ukiyaandika katika mitandao yake ya kijamii bila ya uthibitisho. Mazungumzo halo yamefanyika...
Madiaspora wanapesa za kutumia na kusaidia watu.
Tutapata kijiofisi cha kudumu japo hata kijengwe Kibaha.
Vijana wa Zitto wamezidi kutusimanga kwa mammbo ya ajabu.
Tusifanye kosa kama pesa ya...
Waziri wa maliasili na utalii Dr Kigwangalla amedai huko Twitter kwamba watalii wameanza kuja kwa wingi nchini kwa sababu yeye ni Kijukuu cha mtume.
Hakika hili ni taifa la wachamungu.
Maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.