Ndugu wana JamiiForums,
Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama Watanzania ambayo...
Hongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania.
Sasa baada ya Tanzania kupata uzoefu wa kutosha kutokana na awamu zake za uongozi, na tukaona mazuri na mapungufu yake, na wewe pia...
Hapana shaka kuwa kutakuwa na maoni na mawazo anuai juu ya masuala mbalimbali yanayojadiliwa katika Jukwaa hili. Washiriki hawatarajiwi kukubaliana na kila jambo linalojadiliwa! Kwa msingi huo...
Tayari DP World wameshachukua udhibiti wa bandari ambayo ni urithi wetu kutoka kwa Mungu.
1. Mpaka sasa Rais hajaweka wazi Tanzania itapata Tsh. ngapi kwa mwezi kupitia mapato ya bandari ambayo...
Baada ya mwenyekiti wa Chadema taifa kutangaza maandamano ya amani January 24, 2023 ilichukua dakika 40 tu kwa mkuu wa mkoa Dar kujibu maandamano hayo ya CHADEMA. Tena alilazimika kutumia...
Silaha ya kivita inamilikiwa na serikali Ole Sendeka kashambuliwa na silaha ya kivita ila anadai waliomshambulia si serikali. Katika mazingira hayo nimejikuta najiuliza maswali yafuatayo:
๐ทSasa...
Jana wakati wa ibada ya kumuingiza kazini Askofu Malasusa nilishangaa kuona tena Rais Samia akiingia na jukwaa lake la kimamlaka pamoja na kiti chake cha kimamlaka licha ya kwamba tulishawahi...
๐๐ TUOMBEANE KWA MAANA ZIARA HII IMEWAVURUGA KWELIKWELI WALE WOTE WANAOUTAKA URAIS 2025 NA KUIVURUGA CCM - MWENEZI MAKONDA
"Hayati Mwalimu Nyerere alisema CCM kiwe Chama Cha Sauti ya Wanyonge...
Amani kwako.
Nakumbuka wakati ule wa kampeni kwa aliyekuwa meneja kampeni wa mgombea Ubunge wa Arumeru kwa wakati ule Vicent Nyerere aliibuka na hoja ya kifo cha Father of Nation Mwalimu Julius...
Dodoma: Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ameuliza serikali imefikia wapi kutafuta soko la Mbaazi baada ya msimu uliopita matatizo ya soko kushusha bei kutoka Tshs 2,000 mpaka 150. Amesema serikali...
Wanabodi,
Uongo ukisemwa sana na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, mwisho wake hugeuka ukweli, baada ya kutokukemea magazeti ya nje kuandika uongo kumhusu rais wetu na kumuita majina ya...
Tamko la Sumatra kuwa abiria wa mabasi ni marufuku kuzungumza kuhusu siasa limewashangaza wengi.
Hawa Sumatra wanachangamoto nyingi sana, na wamekuwa ni mamlaka yenye mizozo Mara kwa Mara na...
Heshima kwenu wakuu,
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amempongeza Maxence Melo muanzilishi wa Mtandao wa JamiiForums kwenye mkutano wa AU. Ni jambo jema kwa waanzilishi wa JAMIIFORUMS na Tanzania...
Rais John Magufuli ni mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa 33 wa kawaida wa Jumuia ya Tawala za Mitaa (Alat).
Mwenyekiti wa Alat, Gulamhafeez Mukadam amesema, awali mkutano huo ulipangwa kufanyika...
RAIS AWASILI BUKOBA: Rais John Magufuli amewasili mjini Bukoba kuwatembelea wananchi waliopata maafa ya tetemeko la ardhi mwaka jana.
-------
Hatimaye Rais John Magufuli amewasili mjini Bukoba...
Mbunge wa Arusha mjini Mhe.Godbles Lema amekamatwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa madai ya kuzidisha muda katika mkutano wake kwa dakika saba (07).
Polisi wanadai Lema amemaliza mkutano saa...
Leo Mwenyekiti wa Chadema Mhe Freeman Mbowe pamoja na viongozi waandamizi wa Chadema wanatarajia kufikishwa Mahakama ya Kisutu Kwa ajili kusikiliza shauri la dhamana leo
======
UPDATES:
======...
Kesi namba 458 ya mwaka 2016 (Jamhuri dhidi ya Mkurugenzi wa Jamii Forums na Mwanahisa wa Jamii Media) imetajwa tena leo 25 Juni 2020 mbele ya Hakimu Huruma Shaidi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...
Wakuu,
Leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, kesi namba 457 ya Jamhuri dhidi ya JamiiForums imeendelea mbele ya Hakimu Godfrey Mwambapa.
Katika kesi hii, kampuni za CUSNA Investment na...
Jukwaa la wahariri limepokea kwa masikitiko taarifa za kufukuzwa kwa waandishi wa habari wa kituo cha runinga cha TBC wakati wakitekeleza majukumu yao.
Wamesema kwamba vitendo vya kuwabugudhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.