Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.6K
Threads
7.6K
Posts
193.6K

JF Prefixes:

  • Closed
  • Sticky
Hapana shaka kuwa kutakuwa na maoni na mawazo anuai juu ya masuala mbalimbali yanayojadiliwa katika Jukwaa hili. Washiriki hawatarajiwi kukubaliana na kila jambo linalojadiliwa! Kwa msingi huo...
294 Reactions
0 Replies
1M Views
  • Sticky
Ndugu wana JamiiForums, Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama Watanzania ambayo...
58 Reactions
1K Replies
469K Views
  • Sticky
Hongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania. Sasa baada ya Tanzania kupata uzoefu wa kutosha kutokana na awamu zake za uongozi, na tukaona mazuri na mapungufu yake, na wewe pia...
69 Reactions
6K Replies
424K Views
Kwa muda mrefu sana imekuwa ikinisumbua kuelewa hasa dhumuni la nchi hasa za kiafrika kudai uhuru wetu ikiwa matokeo ya uhuru huo umekuwa na matunda mabaya sana kwa raia wake kisiasa na kiuchumi...
32 Reactions
69 Replies
23K Views
There are no hard distinctions between what is real and what is unreal, nor between what is true and what is false. A thing is not necessarily either true or false; it can be both true and false.'...
23 Reactions
27 Replies
9K Views
Huu ni wakati wa kuhinua uchumi wa nchi yetu TANZANIA. Lazima Serilikali hitumie kila mbinu kuhinua hali ya maisha ya wananchi. Kwa sasa hivi Tanzania uchumi wetu mkubwa unatokana na kilimo...
19 Reactions
3 Replies
5K Views
Eti mwenzenu mimi sioni kama tunaweza kujenga uchumi imara bila kuwa wazalishaji. Biashara sioni kama ni muhimili wa jishikilia. Mimi nikiangalia nchi nilizochagua (sijui zingine) zimepanda kwa...
8 Reactions
7 Replies
4K Views
Kama wazee wanapima vijana kwa kipimo walichopimiwa wao then kiwango kimeshuka, kama vijana wanaopata elimu wanaona wenyewe kuwa inawasaidia then hakijashuka. Japo si mzee wala kijana najua kuwa...
20 Reactions
110 Replies
27K Views
Naam wanajukwaa Nafurahi kujiunga na JF, nachukulia jukwaa hili kama ni sehemu ya kujifunza. Takwimu za tanzania zinaonyesha kuwa kuna watanzania zaidi ya 1.2m wanaoishi nje ya nchi [rejea...
19 Reactions
480 Replies
70K Views
Hapa panaweza pasiwe mahala muafaka kwa kujadilia suala hili, lakini katika sehemu zote nilizoangalia, angalau hapa panaelekea kidogo...Nashauri wamiliki wa bodi hii waongeze kipengele cha...
10 Reactions
2 Replies
6K Views
Naamini tutakapopata uelewa halisi wa democrasia na soko huria na kujenga mazingira sahihi kwa haya kukua basi tutakuwa tumepata jibu. Swali lina baki ni vipi? Mimi naweza jibu simply time...
27 Reactions
43 Replies
9K Views
jamani kuna habari zimezagaa kwenye mtandao kwamba Naibu waziri wetu ni tapeli na ni "kihiyo", kwamba elimu aliyoandika kwenye CV si ya kweli, sasa hili mie linanitatiza. David , Dr. David M...
23 Reactions
9 Replies
8K Views
Nina idea moja ambayo kama serikali ikiamua kuifanyia kazi a. Itainua jina la Utalii wetu b. Itaingiza fedha za kigeni kuliko mahali popote Afrika c. Na itaifanya Tanzania kuwa katika hadhi ya...
26 Reactions
27 Replies
8K Views
Ndugu, as the globe in general is taking measures towards combatting the effects of money laundering and financial crime due to its paramount effect on a nations economy, one cant help to wonder...
18 Reactions
5 Replies
5K Views
Mheshimiwa Rais, nimefurahishwa vilivyo na jinsi ulivyoanza uongozi wako wa awamu ya nne kwa ziara za kushtukiza unazozifanya sehemu mbalimbali ambazo unahisi kuna matatizo yanayowaelemea...
26 Reactions
14 Replies
7K Views
a. Sababu ya kwanza na ya msingi ni kuwa Mzee JM ni kiongozi aliyeshindwa. Hakuna kiongozi mwingine yeyote katika historia ya Jamhuri yetu ambaye ameshindwa kiuongozi kuliko Mzee JM. Katika muda...
1 Reactions
225 Replies
29K Views
Kuna suala hua linaniumiza kichwa nikiwa najiuliza kila wakati juu ya viongozi kuwa wakweli ktk kutaja mali walizonazo.serikali imekua ikilifumbia macho jambo hili huku uchumi ukididimia pasi na...
1 Reactions
458 Replies
74K Views
tumejaliwa hazina za kila namna, eneo zuri la kijiografia, watu wakarimu na wafanya kazi hodari, lakini sisi bado ni masikini. Viongozi wetu wamekosa kitu gani? Ninachambua sifa nane za kiongozi...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kwa muda mrefu tumeilalamikia katiba yetu kwamba inabana demokrasia. Hata hivyo ni mara chache mno tumeweza kutaja vipengele ambavyo ni tatizo. Leo nimeamua kwa kuanzia kutajia ibara angalu mbili...
3 Reactions
104 Replies
11K Views
Jamani wanajumuiya ya Wa-Tanzania tuishio British Virgin Islands tumeshutushwa na habari kuwa kuna baadhi ya viongozi wetu serikalini wana shahada za PhD kutoka kisiwani hapa. Ukweli hapa hakuna...
3 Reactions
747 Replies
148K Views
Naomba wenzangu kama mkipata nafasi mngejaribu kuangalia documentary movie kuhusu uvuvi wa smamaki mkoani Mwanza. Mimi nieiangalia na kuna mengi sana nimegundua yanatakiwa yajadiliwe Nchi yetu...
4 Reactions
82 Replies
11K Views
Freedom in Education We do not want bureaucrats in the Ministry of Education taking over control of private schools. Above all, we resent the recent announcements by the President and by the...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Mwelekeo wa uchumi wa Tanzania baada ya miezi 3 ya utawala wa Rais Kikwete ni mbaya kuliko tulivyohofia! Quartely Econmic Review iliyofanywa na BoT pamoja na wanauchumi wengine wa Afrika Mashariki...
4 Reactions
62 Replies
12K Views
Back
Top Bottom