Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Ni ipi course nzuri na yenye ajira kati ya BED in psychology na BCS.in chemistry and physics na zote zinahusiana na nini na field zake zipo wap msaada jaman kwa mwenye uelewa na haya mambo[/QUOTE]
0 Reactions
2 Replies
239 Views
Shemeji yangu alichukua mkataba wa pikipiki dada yake akamdhamini baada ya muda miezi sita ikatokea ajari ikapelekea kifo cha abiria pikipiki ikakamatwa kituoni shemeji yangu, ambae ndiye aliepewa...
0 Reactions
10 Replies
744 Views
Habari wanajamii, kuna rafiki yangu (raia wa Tanzania anataka kufunga ndoa na mpenzi wake ni raia wa Marekani anayeishi nchini kwa kufuata taratibu zote . Hivyo nahitaji kufahamu ni taratibu zipi...
0 Reactions
5 Replies
547 Views
Wakuu kuna mwanamke nilizaa nae mwaka 2007, wakati nikiwa na mke wangu, na sikuwai kuishi nae zaidi ya kuwa nilikuwa naenda alikopanga mara moja moja, na mara nyingine akishindwa kodi ya nyumba...
1 Reactions
9 Replies
586 Views
Hakutembelea Makumbusho ya Vita ya Majamaji bali alitembelea makumbusho ya Uhalifu wa Kikoloni. Hivi ndivyo inavyoitwa duniani, ni uhalifu wa Kikoloni "Colonial Crimes'. Na hivihivi tumwambie...
0 Reactions
2 Replies
251 Views
Habari zenu wakuu. Nimekuwa naona nyuzi nyingi sana watu wakilalamika wanawake wao kuchepuka nje ndoa na kupelekea ndoa kuvunjika. Mimi ni kijana ambae nina mpango wa kuoa huko mbeleni (Sio leo...
0 Reactions
2 Replies
271 Views
Hello, leo nakuletea summary ya kesi maarufu ya mauaji, ambayo iliwahi kuitikisa Tanzania enzi hizo (2006). Ni kesi ya ‘Abdallah Zombe na wenzake 12.’ Hii ni summary (muhtasari au dondoo) kwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Sasa ni miaka 62 tangu MORTGAGOR a- mortgage eneo lake la ardhi kwa mtu (mortgagee) kwa kiasi pesa ambaye ana miaka 44 amekufa . Mortgagor amekufa some 27 years back . Watoto wa Mortgagor leo...
0 Reactions
4 Replies
707 Views
Nimekuwa nikifuatilia hukumu anazotoa judge Matuma. Ni Judge wa haki with higher power of reasoning. Judgment zake zinatokana na use higher mental faculties in dealing with the law, and evidence...
1 Reactions
8 Replies
432 Views
Ndugu wa JF hapa kuna Mvulana ( Sio Mwanafunzi) alikamatwa na Msichana (Mwanafunzi). Alipokamatwa akaitwa mtendaji wa kata pamoja na baba mzazi wa binti. Kesi ikapelekwa Polisi then mahakamani...
8 Reactions
166 Replies
5K Views
Napenda kujua, Je inakuwaje kama nimeomba mkopo Benki na afisa utumishi ameidhinisha maombi ya mkopo lakini Benki wakachelewa kunipa mkopo ule. Hadi wakaanza kunikata makato, kisheria imekaa vp km...
1 Reactions
10 Replies
377 Views
Usiposomewa Maoni ya Wazee wa Baraza kwenye kesi za ardhi, hiyo kesi nzima ni batili Bashir Yakub, WAKILI +255 714 047 241 Kwa wale ambao mna kesi za ardhi katika mabaraza/mahakama za wilaya...
3 Reactions
7 Replies
588 Views
Naomba kufamaham kuwa kisheria inakuwa vp km afisa utumishi ameidhinisha maombi ya mkopo wangu kutoka Benki na Benki hawajaniwekea fedha ktk akaunti. Je, naweza nikawashtaki na wakapatikana na hatia?
0 Reactions
6 Replies
385 Views
Habari waungwana. Jamani naomba kujulishwa ninavyojua mimi kuwa Bima (Insurance) ni makubaliano baina ya mwenye mali anaehitaji bima na mtoa huduma. Kwa kawaida kwa vyombo vya moto bima ya third...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Wanasheria,swala la mtu akishindwa kulipa deni la taasisi fulani na Taasisi hiyo kuandika barua ya mnada kunadisha mali za mhusika na hiyo barua haijaandikwa na mahakama hilo swala limekaaje kisheria
0 Reactions
4 Replies
559 Views
u
4 Reactions
18 Replies
871 Views
  • Redirect
FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU. Sehemu Ya 4 Katika uislamu Kuna aina mbalimbali za TALKA, Kwa mujibu wa sheria ama shari'a. Nazo ni kama zifuatazo, (i). Talaka ya kutamka...
1 Reactions
Replies
Views
FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU. Sehemu Ya 1 ‏اَلسَلامُ عَلَيْكُم وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ‎) As-salāmu alaikum wa-rahmatullahi wabarakātuh. Peace be upon you as...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
  • Redirect
FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU. Sehemu Ya 6 Utaratibu wa TALAKA katika uislamu, umeleta debate mbalimbali baina ya majaji na Mahakimu. Baadhi wametofautiana katika...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU. Sehemu Ya 5 Sehemu iliyopita tulianza kuangalia aina mbalimbali za TALAKA katika sheria za dini ya kiislamu. Ufuatao ni mwendelezo wa aina...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom