Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Bia zimeandikwa Haziuzwi kwa Mtu mwenye Umri Chini ya Miaka 18
Kumbi za muziki zimeandikwa hivo hivo. Lakini bado unakuta vitoto vidogo viko bar vinagonga ile mambo alafu ukiingia kumbi za...
Taarifa, Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP) Eliezer Mbuki Feleshi atakua mgeni katika kipindi maalamu
kitakachooneshwa na kituo cha Televisheni cha ITV muda mfupi kuanzia sasa.
Kuna rafiki yangu kapewa barua na mwajiri kuwa anahamishwa kituo cha kazi kwa kuwa ni mtovu wa nidhamu. Tafsiri yangu huu ni uhamisho wa adhabu. Na ati hatakiwi kulipwa stahili zozote za uhamisho...
Nina mshikaji wangu huu mwaka wa tano anateseka kudai mtoto wake bila mafanikio. Stori ilikuwa hivi:
Yeye kaoana na mmarekani walikutana alipoenda huko kimasomo, bahati mbaya mkewe aligundulika...
Habari za mwisho wa wiki wana JF,
Naomba msaada wa kisheria kuhusu hili:
Kaka yangu alizaa mtoto nje ya ndoa, na akamtambulisha huyo mtoto kwetu sote hadi kwa wazazi wetu na ndugu wote...
Hi,
I am an owner of an IT start-up in Tanzania. I cannot afford to keep people on the payroll so I want to make use of a freelancing model. In this model, I get people to work on some project...
Majuzi nimeingia makao makuu ya tanesko kilimamnjaro nakakuta muziki wa injili unapigwa kwa sauti ya juu sana ofisini. Naomaba kujua sheria za kazi zinasemaje juu ya uhuru wa mfanyakazai anapokuwa...
Wadau naomba mnisaidie hii. Nilisimuliwa tu wakati naanza maisha ya ukanda huu wa pwani na nikaona baadaye kwa rafiki yangu. Sijui "mila" au utaratibu wa "sheria za nchi" au "sheria za...
Wadau habari zenu?
Naomba wataalamu wa sheria wanijulishe kuhusu haki ya mfanyakazi kupata bima ya afya (yeye mwenyewe, mke/mume wake na watoto).
Sehemu nyingi nilizopita kufanya kazi, hususan...
Jamaa alioa mke kwa ndoa kanisani yapata miaka mitano iliyopita huko kijijini na kuhamia Dar kikazi, wakabahatika mtoto mmoja. mwanamke alianza kubadirika baada ya kufika mjini ugomvi ndani...
Obama tries to stop execution in Texas of Mexican killer US president warns Texan authorities that execution would put America in breach of international legal obligations...
Heshima yenu wakuu,
Naomba kufahamishwa kama NGOs zinalazimika kuwa audited kama yalivyo Makampuni. Pia naomba mwenye Non Governmental Organizations Act, No. 24 of 2002 atuwekee hapa nasi tuisome...
Casey Anthony found not guilty of murdering daughter Caylee
Florida jury acquits mother of killing 2-year-old toddler who went missing in 2008 and was found dead six months later...
leo nilikuwa nafatilia bunge wakati linapitisha sheria ya fedha ya mwaka 2011 lakin mwenendo alioutumia Mweshimiwa Makinda kukataa mabadiliko yaliyopendekezwa na Dhambi na Tundu Lisu na Mnyika...
Katika pitia yangu ya magazeti ya bongo nimeona picha ya mtu aliejeruhiwa katika ya ajali ya gari, chini yake kuna maelezo kua jamaa anakimbizwa Polisi kupatiwa cheti ili akatibiwe....... Hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.