Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Tarehe 30 July 2012 SSRA wametuma barua Resolute Mining kuhusiana na sakata la fao la kujitoa
Kumb. Na.CB75/396/VOL.II/13 withdraw benefit soma hiyo clip.
Je hili si changa la macho? Mbona...
Uzalishaji ndani ya mgodi wa Bulyanhulu KMCL umesimama kabisa kuanzia jioni ya leo tar.01.08.12 kufuatia wafanyakazi kutaka mpaka wapatiwe ufafanuzi kuhusu mustakabali wa fedha zao walizochangia...
Nimesoma habari hii
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/122959-gari-yenye-namba-ya-zanzibar-naweza-kuitumia-tz-bara.html
Na nimeona michango hii ambayo inanifanya nijiulize...
Katika kizungumkuti kinachoendelea baina ya sheria mpya na wafanyakazi tutegemee makubwa kwani wadau wengi wa wanataka kususa kupeleka michango kwa miezi sita mpaka hatma itakapo patikana ona hii...
NEWS
A Tanzanian farmer. Picture: File By MIKE MANDE
Posted Saturday, June 30 2012 at 12:40
An independent watchdog is piling pressure on the United States government to intervene in a deal...
Hivi ni mimi peke yangu au kuna wengine wanaodhani kwamba wanafunzi nao kuandamana ni ujinga tu...
SERIKALI imelazimika kutumia Jeshi la Polisi katika harakati zake za kudhibiti mgomo wa...
Imeripotiwa na TBC1 katika kipindi cha DIRA kwamba mkuu wa mkoa wa Ruvuma ameitisha mkutano na wakuu wa shule za msingi na sekondari ili kuwatuma wawashawishi walimu waliogoma warudi kazini.Baadhi...
Serikali imewarudisha wahamiaji haramu toka Ethiopia kwa ndege kwa gharama za serikali ya Tanzania. Maswali ya kujiuliza Je! Hizi fedha zinatoka ktk fungu gani?? Je nani anahusika na uingizaji...
WanaJF nasikia Tume ya Usimamizi na udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi za jamii (SSRA) mnamo tarehe 27/07/2012 walitoa tangazo kwa umma lililokuwa likiwalenga wanachama wa zamani wa mifuko ya hifadhi...
naomba kutanguliza samahani maana hili sio jukwaa lake lakin ni dharura...
mi na baadhi ya wenzangu tupo masomoni nje ya nchi, kuna mwenzetu mmoja ana tatizo, ni kwamba jina lililopo kwenye...
Katika kipindi cha hivi karibuni, nimefuatilia nyendo za jeshi letu la polisi na kugundua limebadili kabisa mwelekeo wake wa kupambana na uhalifu. Sasa limeanza kushughulikia raia wema.
wametajwa...
-Kwa kuwa zoezi la vitambulisho vya Taifa linawahusu Watanzania wa dini zote,
-Na kwa kuwa kupata kitambulisho kutamfanya mtu apatikane kila akitafutwa,
-Na kwa kuwa kitambulisho cha mtu...
Mgomo wa walimu una madhara ya huko mbeleni ila serekali haitambui hili. Kwa mfano; waalimu waanze kudanganya wanafunzi kuwa raisi wa kwanza wa nchi ni mrisho mpoto, mtoto atakua akifahamu hilo tu...
Nimemsikia kamanda mmoja huko Ruvuma anaongea eti kuna walimu wanawafanya wanafunzi waandamane na eti ana wataka walimu waache. Swali ameambiwa na watoto kuwa wametumwa na walimu au ndo...
MWALIMU mmoja wa jinsia ya kike aliyefahamika kwa jina moja la Kahimba wa shule ya msingi ya Kambarage iliyopo Kata ya Msamala katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mkoani...
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein Mwinyi
Serikali inakusudia kutunga sheria mpya ya madaktari, kutengeneza kanuni za kuwasilisha malalamiko dhidi ya wanataaluma wa afya pamoja na...
Ndugu zangu MwanaHalisi kuvunjika kwa pakacha si mwisho wa uchukuzi. Nashauri yafuatayo ili mwendelee kutuhabarisha:
1. Fanya MwanaHalisi liwe linachapishwa mtandaoni tu kwa sasa kwani zuio la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.