Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
MAHAKAMA ya Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, imewahukumu kifungo cha maisha vijana wawili kwa makosa mawili ya ubakaji na kumuambukiza ugonjwa wa ukimwi mtoto wa miaka minne.
Akitoa hukumu hizo kwa...
Masoud Ali|Mahakamani vuga|22-11-2012
viongozi wa uamsho ambao kwa sasa tayari wameshakaa rumande kwa muda wa mwezi mmoja wamefikishwa tena katika mhakama kuu ya vuga asubuhi ya leo kwa lengo la...
Hali isiyo ya kawaida polisi wa kituo kikuu cha Rombo wasababisha kifo cha kijana Massawe katika maeneo ya rombo baada yakuombwa rushwa ya Tsh laki tatu kwa lengo la wao kumsamehe kumpeleka...
Katika hali iliyonistaajabisha wanawake waislamu walikuja juu na kuivunjilia mbali hoja ya kuanzishwa mahakama ya kadhi kwa sheria ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hali hii ilitokea...
Nafikiri kuna kitu kimenipita. Kuuwa ni kosa baya na kubwa sana, ila hukumu ya kunyongwa lazima kosa lithibitishwe kwa ushahidi usio na mawaa wala chenga chenga, sasa jaji kuhukumu kunyonga kwa...
VURUGU kubwa kati ya askari wa Jeshi la Ulinzi la Watanzania (JWTZ) Kikosi cha 44 KJ, mkoani Mbeya na wananchi wa eneo la Mbali zinadaiwa kusababisha kifo cha mtu mmoja. Vurugu hizo, zilizotokea...
Kwa wale waliopitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wanajua fika faida ya jeshi hilo kwa nchi yetu.
Nina mawazo kuwa kuwe na kipengele katika katiba mpya ikisisitiza kuwa ni wajibu kwa kila...
Wanajamvi heshima kwenu,
Napenda kuuliza ile hukumu ya mbunge wetu Godbless Lema ni lini maana tunasubiri kwa hamu maana tunaona kimya kimezidi.
Kwa anayejua ni lini makamanda tupashane ili...
Naomba msaada wa namna ya kusajili:
Ukweli ni kuwa nataka kusajili chombo ambacho kimsingi nikutoa huduma ya elimu, kama kampuni. Lakini wakati huo huo niweze kupatamisaada kama ambavyo NGO...
Kesi inayowakabili viongozi wa Uamsho imeendelea leo katika mahakama ya Vuga huku Zanzibar ambapo imeelezwa mahakamani hapo kuwa upelelezi bado unaendelea. Kesi imeahirishwa hadi Rat 29 mwezi huu...
MKUU wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (RCO) Mkoa wa Kilimanjaro, Ramadhan Nganzi, ameingia katika kashfa akihusishwa na tuhuma za kuwalinda na kuwakumbatia wafanyabiashara wanaojihusisha na...
Mahakama ya Wilaya ya Mwanakwerekwe mjini Zanzibar leo (Nov 21, 2012) imepunguza masharti ya dhamana kwa Viongozi saba wa Jumuiya mbili za Kiislamu Zanzibar, wanaokabiliwa na mashtaka ya...
MAHAKAMA Kuu ya Vuga, mjini Zanzibar, imetoa ushauri kwa viongozi wa Jumuiya mbili za Kiislamu Zanzibar, wanaotuhumiwa kwa makosa ya kuhatarisha usalama wa Taifa, wanaodai kutotendewa haki wakiwa...
Ndugu wanajamvi kweli ule usemi wa ukitaka kujua shida ziko wapi nenda hospitalini(za serikali), mahakama na polisi.Hali iliyopo Oysterbay polisi ni zaidi ya huko kote.
Binafsi nilipata fursa...
Wakuu naomba msaada wa kisheria mimi nimeagiza tablets tatu, smartphone moja na laptop moja kutoka China thamani halisi ya mzigo ni dola 680 watu wa custom Tanzania wananiomba dola 300 kama ushuru...
Viongozi wa kikundi cha kiislamu cha uamsho cha zanzibar wamefikishwa tena leo ktk mahakama ya mwanakwerekwe znz na kururudishwa rumande kwa kuendelea kukosa dhamana.
Wakili wao ameendelea...
Kwa hakika kitendo cha Serikali kuamua ku-centralise mambo ya kuomba ruhusa kwenda nje ya nchi kinatuvuruga sana sana. Suala la kwamba kila mfanyakazi wa serikali ni lazima apewe ruhusa na IKULU...
Habari za muda huu wakuu..
Shemeji yenu mtarajiwa ni binti wa Kikenya. Anasoma sheria (LLB) huko huko Kenya. Ila tuna mpango wa kuja kuishi pamoja huku Bongo.
Yeye mwenyewe anasema angetamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.