Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Haya ndio walioshauri mawakili:
OBSERVATION
48. As you will have noted in our Opinion thus far, we have noted and we hope you have also noted, our analyses to most of the issues (if not all)...
Jana kwa mara nyingine tena kumetokea vurugu kati ya raia na polisi ambayo yalisababisha mtu mmoja kujeruhiwa na risasi. Hapa nitatoa maoni yangu kwa kuangalia suala moja ambalo ndilo naliweka...
MSAKO KALI WA POLISI MKOANI TANGA WAFANIKISHA UPATIKANI WA BAADHI YA VITU VYA SHARO MILIONEA VILIVYOKUWA VIMEIBIWA
Watu wasio na huruma walishindwa kutoa msaada kwa marehemu sharomilionea...
Source: washington post
Adults in Washington state will be able to smoke marijuana legally when it is officially decriminalized Thursday, even though the Justice Department has offered no...
Hii ni kauli aliyoitoa alipokuwa anaongea na waandishi wa habari leo. Dr.Edward Hoseah amesema ushiriki wa jamii ya Watanzania katika vita dhidi ya rushwa umekuwa mdogo..."watu...
Habari wadau,naomba mnijuze hili suala,askari polisi anapokuja kukukamata kwa kosa lolote kwa sheria zetu hapa Tanzania ni lazima awe na hii "warrant of arrest",na hii hati inatolewa na mamlaka...
Tanzanian media owner faces £1.9 libel costs payment By Corporate Reporter Tanzanian media baron Reginald Mengi has been ordered by the High Court in London to pay a whooping Tsh4.7 billion...
KWA UFUPI
Kamanda Athumani alisema kuwa mbali ya kufukuzwa kazi askari huyo tayari amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mbozi ili sheria iweze kuchukua mkondo wake.
JESHI la Polisi mkoani...
Habari zenu wadau Naomba kujuzwa juu ya hili. Mimi niliajiriwa sehemu fulani na nimefanya kazi kwa takriban mwaka mmoja. Lakin sikuwa nimepewa contract zaidi ya offer letter na confirmation...
Wakuu shalom! Jana tar 30 Novemba 2012 katika mahakama kuu kanda ya Sumbawanga, ilitolewa ruling kuhusu hoja ya bw Aeshi aliyevuliwa ubunge kwa kukutwa na kasoro katika mchakato mzima wa uchaguzi...
Friday, November 30, 2012Bonyeza VidioZanziNews : Serikali yawasilisha pingamizi kesi ya viongozi wa uamsho
Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, Mkusa Isack Sepetu amekubali ombi la upande wa...
Wana JF,
Nipo hapa Mahakama Kuu DSM ambapo nimekuja kuhudhuria kesi ya mteja wangu. Kesi zote hapa zinaahirishwa kwa kuwa Majaji wote wapo Ikulu ambapo wamekwenda kuhudhuria uapishwaji wa...
Imeandikwa tarehe 30 Novemba 2012 na Gloria Tesha | HabariLeo
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni katika Mkoa wa Dar es Salaam, Jordan Rugimbana ameiomba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kubana...
wataalam wa sheria naombeni mnijuze jinsi ya kumchukulia hatua daktari aliyesabisha kifo cha mgonjwa kwa uzembe
yaani mgonjwa mahututi anapaswa kupewa dawa (morphin) alafu hajampa hiyo dawa kwa...
ASKARI JESHI watatu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua kwa kukusudia ya Swetu Fundikira wamekata rufaa kupinga hukumu hiyo
Wanajeshi hao walipewa...
Good afternoon wanajf. ninapenda kujua maoni ya watu kuhusu dhamana kwa watuhumiwa wa mauaji. kama tujuavyo murder cases hazina bail na suspect hulazimika kukaa rumamne mpaka uchunguzi ukamilike...
Wana JF. uelewa wangu mdogowa sheria ni kwamba bara zinatakiwa kufungwa saa 5 na grocery haziruhusiwi kuuza bia na badala yake zipo kumuwezesha muhitaji wa bia/vinywaji anunue na kupeleka hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.