Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
MSAADA TUTANI
Hello folk!
I'm humble, asking for your legal help!
I may be ignorant of the right path of legal procedure in handling this case!
Mr X come to my shop one day and he asked for some...
Habari wanaJF.
Naomba kujulishwa juu ya haki zetu wateja was hivi visimbuzi vilivyopigwa pink kuonyesha chaneli za ndani.
Je Kwa sisi tuliolipia gharama za mwezi,ili kupata huduma za ndani alafu...
Naomba msaada wa kisheria kuhusu kupigwa tochi sehemu zenye zebra na hazina vibao vya udhibiti mwendo na kuna sehemu zingine hata kibao cha pedestrian crossing ahead hakuna , msaada tafadhali...
Kwanza kabisa nitangulie kusema andiko hili linaweza kuibua mjadala mkubwa na malumbano. Lkn itapendeza kama mjadala huo utakuwa wa kujenga, na malumbano yatakuwa ya hoja na sio hisia.
Mimi, kama...
Napenda kuuliza hii ikoje
Nina kesi mahakamani ambayo nimeikatia rufaa kutoka mahakama ya wilaya kwenda mahakama kuu niliwasilisha rufaa yangu mwezi 10/2017
Nikapangiwa tarehe yakuludi mwezi...
Wanajukwaa naomba ushauri wa kisheria. Nilinunua kiwanja kabla ya kuwa n.a. mchumba. Baadae nikapata mchumba lakini kabla hatujafunga ndoa nikawa nimejenga nyumba hadi kiwango cha Renta. Baadae...
Katika agizo la or-tamisemi la kuwaagiza wakurugenzi kuwarejesha watumishi wote wa darasa la vii walio waondoa kazini kwa makusudi na kwa manufaa yao binafsi,hadi kufikia leo hakuna utekelezaji...
#Nimeona niongee kidogo kuhus hili la Maandamano.
Nimekuwa nikisikia kuwa kwa Tanzania maandamano ni haki ya kikatiba. Nimewahi kuisoma katiba yote ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania sijawahi...
Habari zenu? Leo napenda tukumbushane mambo muhimu kidogo ya kisheria kwa ajili ya utendaji wa kazi kitaalamu wa polisi.
1.k/f 19 CPA,CAP 20 1985 R:E 2002. Kinampa mamlaka askari polisi kumkamata...
Wakuu leo imehukumiwa Kesi ya Bw mdogo mmoja ambae amempa Mimba Mwanafunz na Kahukumiwa kifungo cha Miaka 30 na fain ya pesa Taslim Tsh 4M
Kiukweli nimejaribu kuwaza kwa Sauti
Binafs sipingani...
Kuna mfanyakazi wa Kampuni ya Sukari Kilombero alisimamishwa kazi,,,,,kwa madai eti alipost taarifa ya kampuni kwny mtandao bila kibali.
Ni kwamba kulikuwa na mvutano Wa nyongeza ya mshahara...
Wakuu eti wakili anaweza kukugeuka au kwa makusudi akasababisha ushindwe kesi kwa kushindwa kukutetea?
Nilipata kusikia wakili anavujisha siri na ushahidi wa mteja wake baada ya aliyekuwa...
Kumekuwepo na kesi nyingi dhidi ya serikali ktk mahakama/tume za usuluhishi watumishi wakidai kufukuzwa kazi kwa uonevu na hivyo kuhitaji wakulipwa fidia na stahili zao kwa uonevu na...
Shambani kwangu nimepakana na Mjumbe,huyu bwana na mke wake wamekuwa wakiwalaghai wafanyakazi wangu kila Mara ninapopata mfanyakazi mpya na kupelekea wao kuondoka,na kuna taarifa pia wamekuwa...
Wasaalam..
Habari ya wakati huu wan JF..
Naomba kupata msaada..
1. Ikiwa Hakimu amekataa kusaini hati ya hukumu ni nini naweza kufanya kisheria
2. Mda wa rufaa wanaanza kuhesabu toka siku ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.