Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

  • Sticky
Mkataba wa ajira, kama ilivyo desturi kwa mikataba mingine kwa mujibu wa sheria, huzaliwa, huishi na kufa; kama ilivyo kwa binadamu na viumbe hai vingine. Unazaliwa mara baada ya mwajiriwa na...
13 Reactions
725 Replies
319K Views
  • Sticky
Raia ana haki ya kumwomba askari ajitambulishe kwako. Mwulize jina lake Mwulize namba yake ya uaskari Raia ana haki ya kujulishwa kwanini anatiliwa mashaka ama kukamatwa. Raia ana haki ya...
107 Reactions
601 Replies
224K Views
  • Sticky
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k. Binafsi nina e-library kubwa...
67 Reactions
995 Replies
207K Views
  • Sticky
Asha Mkwizu Hauli akipelekwa Mahakamani R. v. Asha Mkwizu Hauli, Crim Sessions Case No 3 of 1984 (DSM) (unreported).[/COLOR] Mnamo tarehe 19 Novemba , 1983 mwanamke mmoja aliyejulikana kwa...
82 Reactions
272 Replies
148K Views
  • Sticky
"Why do we Kill People who Kill People to Show that Killing People is Wrong ?" Je ni sawa kuwa na Hukumu ya Kifo? Baada ya yule Chizi wa Norway kuua kadamnasi ya watu (ukizingatia Norway life...
16 Reactions
329 Replies
94K Views
  • Sticky
When I was in secondary school, the girl used to sit next to me died after performing illegal abortion. It was very sad because it happened a week before we started our final exams. Women who...
9 Reactions
153 Replies
72K Views
  • Sticky
  • Redirect
Wana-JF, Karibuni hapa kwa maswali mbalimbali yahusuyo Sheria ya Ndoa,1971.Wale wote waliopo kwenye ndoa na wanaotarajia kuwa kwenye ndoa wanakaribishwa hapa kuuliza na kujibiwa. Nitashirikiana...
13 Reactions
Replies
Views
  • Sticky
Ndugu zangu mliopita au mliopo kwenye uwanja wa mapambano(Law school) tujuzeni hali halisi ya pale..naanza kwa kuuliza maswali yafuatayo; 1.Ni kozi ngapi zinafundishwa 2.Utaratibu wa malipo ya...
6 Reactions
104 Replies
51K Views
  • Sticky
SURA YA KWANZA HISTORIA YA MFUMO WA MILKI YA ARDHI Chimbuko na misingi ya mfumo wa umiliki na matumizi ya ardhi yaliyopo sasa umepitia katika vipindi vifuatavyo:- A. MFUMO WA MILKI YA ARDHI...
11 Reactions
18 Replies
11K Views
Maana ya ndoa Kwa mujibu wa Sheria ya ndoa ya mwaka 1971, ndoa ni muungano wa hiari kati ya mwanamme na mwanamke unaokusudiwa kudumu kwa muda wa maisha yao. Aina za ndoa Kuna aina mbili za...
8 Reactions
1K Replies
261K Views
  • Redirect
Naomba kama kuna watu humu ndani wanazijua sheria zinazohusu talaka hapa tanzania.wanifafanulie kidogo. Je, kuna sheria moja kuhusu mgawanyo wa mali kwa ndoa zote, I mean za Kiislam, Kikristo na...
0 Reactions
Replies
Views
Ukiwa na nyumba au kiwanja bila hati miliki haiwezi kukusaidia kupata mkopo, naomba wakuu mnisaidie mchanganuo wa gharama za kuipata hati miliki na taratibu zake, ninaanzia wapi na kuishia wapi...
4 Reactions
142 Replies
102K Views
Tukio lenyewe lilitokea hapo majira ya asubuhi mnamo Februari 21, 1978. Ni baada ya kuambiwa mumewe wakati anaenda kazini kwamba akirudi asimkute hapo nyumbani, na kama akimkuta, atamtoa hapo...
53 Reactions
287 Replies
89K Views
Naomba ufafanuzi wa hii skendo kwa wale waijuao. Je hii ni dalili ya nguvu mpya dhidi ya ujambazi au over confidence ya ma afande imezua soo...
1 Reactions
396 Replies
71K Views
Wakuu, nilipewa offer ya employment na kampuni moja miaka mitatu iliyopita. Offer hiyo ilieleza kuwa baada ya mwaka nitasaini mkataba wa miaka miwili ambao unaweza kuhuhishwa (renewable) Baada ya...
0 Reactions
137 Replies
57K Views
Marital Rape: Je, Mume anaweza kumbaka mke wake? Ni ukweli unaokubalika ya kwamba Mume na Mke katika zama hizi za kisasa wako sawa kama ‘partners na kila mmoja akiwa na haki iliyo kamili...
0 Reactions
277 Replies
56K Views
Ndugu watanzania, Redio kadhaa na magazeti zimetuambia tar 30 Oct wana review tena kesi ya Babu Seya na wanae waliofungwa maisha milele kwa kubaka. Tukisubiri usanii tena wa serikali...
1 Reactions
347 Replies
56K Views
It is sad to concede that in NECTA there is no comprehensive privacy legislation. To disclose the names and results of students NECTA go against the constitution of URT . It brings bad picture to...
10 Reactions
442 Replies
52K Views
HAKI NA WAJIBU WA MUME NA MKE KATIKA NDOA KISHERIA SEHEMU YA 1 Maana ya ndoa Ndoa maana yake ni muungano wa hiari kati ya mwanaume na mwanamke unaokusudiwa kudumu kwa muda wa maisha yao yote...
3 Reactions
24 Replies
52K Views
Naomba kuwafahamisha kilichotokea leo with regards and respect. =================== ONLINE REPORTER, 11th February 2010 Daily News THE Court of Appeal has sustained both conviction and life...
1 Reactions
262 Replies
50K Views
Nikirejea Ibara ya 19 ya Katiba yetu ya JMT ya Mwaka 1977 inatoia Uhuru wa Mtu Kuabudu. Hali kwa Chuo Kikuu cha Theophile Kisanji ni Tofauti kwani wanafunzi wapatao 8 wamefukuzwa Chuoni hapo kwa...
10 Reactions
424 Replies
49K Views
Wana JF naomba mnifahamishe kuhusu sheria ya upangaji kama mpangaji anataka kuhama. Je anatakiwa amjulishe mwenye nyumba muda gani kabla ya kuhama? Au mwenye nyumba akitaka kuchukua nyumba yake...
0 Reactions
14 Replies
44K Views
DHAMANA NI NINI? Dhamana ni hatua ambayo mtuhumiwa wa kosa fulani huachiwa huru kwa muda, ili kusubiri hatua za kufikishwa mahakamani, au kama tayari amefikishwa mahakamani husubiri kuendelea na...
46 Reactions
72 Replies
43K Views
UMEWAHI KUKAMATWA NA POLISI BARABARANI? Je, umewahi kukamatwa na polisi wakati ukiendesha gari, pikipiki au baiskeli? zijue haki na wajibu wako ! Bila kufuata sheria na kanuni za usalama...
2 Reactions
26 Replies
43K Views
Heshima zenu wakuu, na poleni na majukumu ya wiki nzima. Kuna jambo naomba kujuzwa kuhusu kubadili jina. Hii inatokana na ukweli huu "nilipokuwa std 4 tz nilihamishiwa shule huko kenya ambapo...
0 Reactions
76 Replies
42K Views
Habari zenu wandugu! Kuna jamaa kaniuliza swali kuwa RB ile ambayo mtu akiripoti tukio polisi huwa anapewa kirefu chake ni nini? Sikuwa na uhakika na jibu langu lakini nilijibu nadhani itakuwa...
0 Reactions
29 Replies
42K Views
Kumekuwepo na utata mkubwa kuhusu urithi wa mali za marehemu hasa inapotokea kuwa marehemu alikuwa na mke zaidi ya mmoja na hapohapo watoto wanaotokana na mama tofauti...
5 Reactions
105 Replies
42K Views
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS Telephone: 255-22-2114512, 2116539 E-mail: press@ikulu.go.tz Website: www.mawasilianoikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425...
0 Reactions
325 Replies
39K Views
========= ILANI: Makala hii hailengi wale wasio na leseni kabisa. Aidha, unashauriwa kupiga picha leseni yako ili angalau uwe na kumbukumbu ya namba ya leseni ========= Kusimamishwa na trafiki...
72 Reactions
145 Replies
39K Views
Back
Top Bottom