Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Natatizwa na unadishi na matamshi ya hili neno, tujuzane hapa
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naombeni tafsiri ya sentensi hii 'Vukami aha! Nzo ule washe wandungu'. Kuna mtu kanitumia ni demu wangu sasa sijaelewa
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada wenu kwani nimekua katika hali ya kujiuliza swali hili kwa kipindi kirefu bila jibu. nimekua nikisikia kua kuna watu ni wasufi, mara dini flani ina usufi ndani yake n.k...
1 Reactions
14 Replies
10K Views
COMPROMISE. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
7 Replies
16K Views
habari za asubuhi wana jamvi nimatumaini yangu kwamba hapa ndo mwisho wa suluhisho la tatizo langu kuna maneno mpaka sasa hivi sijapata maana yake naomba kusaidiwa. Kwa moyo mmoja nayawasilisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
...Haya wana Jamvi,Tiririikaa... Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
0 Reactions
1 Replies
722 Views
Tumeshindwa pahali. Thanks in advance comrades.
0 Reactions
4 Replies
6K Views
"Upo mwenyewe nyumbani usiku unaingia, unaogopa kulala ndani mwenyewe, unaenda kwa jiran kumtafuta mtu wa kuwa nae ndani ili usiogope " maelezo hayo kwa msamiati mmoja tunasemaje. Saidia jamani.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Soma hii kwa swahili, 12000 na 10002. Thanks in advance.
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Ambassador of house ten ten!
1 Reactions
19 Replies
13K Views
Msaada jamani
0 Reactions
12 Replies
13K Views
Kiingereza gani ni sahihi zaidi kuuliza 'Rais atakaye kuja ni wa awamu ya ngapi?'
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukiangalia katika nchi za Afrika ya mashariki ni Tanzania pekeyake mtu anayeongea english uitwa msomi. Hii inapelekea watu kuanza kuchanganya lugha anapoongea ili haonekane msomi. Ukienda...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Nelidaiye isanga langu tanzania.....isanga ijenye lejaiye vakea...,vakea vajenye verindwa ni MFUMWA...HEllow ..hellow tz...hellow hellow lukundo lwa ukweri....oka mzalendo.....KUNDA ISANGA LAKO...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Tujikumbushe kuhusu "tongue twisters" kwenye lugha ya Kiswahili. Hivi kuna neno la kiswahili la haya maneno "tongue twister" Nakumbuka tongue twister moja ni hii: WANAWALI WALE WA LIWALI...
0 Reactions
5 Replies
10K Views
Naomba mwenye beti zote za wimbo wa halaiki audondoshe hapa.nauhitaji tafadhali wadau.
0 Reactions
0 Replies
937 Views
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Wakuu na wataalam wa lugha yetu ipi ni kauli sahihi inyapaswa kutumiwa kati ya hizo mbili, mara nyingi nimewasikia viongozi akiwemo waziri wetu mkuu wakipenda sana kuitumia kauli moja kati ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau wa lugha naomba mnisaidie juu ya neno hili 'worry out' maana naona limeshika kasi sana kwenye mazungumzo na maandishi yasiyo rasmi(informal writings). Nashindwa kuelewa kama ni sahihi ama si...
0 Reactions
6 Replies
15K Views
Neno Washenzi asili yake haswa lilikuwa likimaanisha watu wote wanaotoka Bara yaani katikati ya Ziwa Tanganyika na ukanda wa Pwani, kwa maana wakati huo walikuwa hawajastaarabika na hivyo Watu wa...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Back
Top Bottom